Ni halali kulipa mahari kwa mwanamke ambaye sio bikra?

Virginity means purity mama kubwa. Ndio maana tunasema nyie kizazi cha nyoka hamuelewi coz you ain't virgin na hamuoni maana yake, vijana waliwahadaa mkiwa wadogo hamuwezi kuelewa.
Je kabla ya kumpata uliwahi kukutana nayo? je ulimuoa? mie nilijitunza hd miaka 28 na sikuolewa inawezekana aliniacha mie akaenda kwa screpa.
 
jiulize pia ni halali kututoa bikra kabla hamjatuoa,pia no halali kutulala siye tulikwisha tolewa bikra.coz ninachokiona hapo unathaminisha.....bas kama unayemvulia nguo akaona uume wako je ni halali kumfanyia ivo be4 marriage?
Na ww kwanini ukubali kumpa kabla hajakuoa
 
Je kabla ya kumpata uliwahi kukutana nayo? je ulimuoa? mie nilijitunza hd miaka 28 na sikuolewa inawezekana aliniacha mie akaenda kwa screpa.
Umeniuliza maswali too personal. Lakini Mungu aliyeweka hymen kwa mwanamke alikuwa na maana kubwa, nyie ndio mmeamua kumfundisha kazi.
 
Umeniuliza maswali too personal. Lakini Mungu aliyeweka hymen kwa mwanamke alikuwa na maana kubwa, nyie ndio mmeamua kumfundisha kazi.
Umeona ilivyo ngumu ht sie tunapotolewa tunaamini tutaolewa watoaji ni nyie na mnaotaka mzikute ni nyie yote mawili hayawazekani Bye.
 
Tafuta aliye na bikra umtolee mahari, ukimkosa usioe na wala usitongoze course hakuna wa kukufaa !!
 
Wewe hujaelewa mada. Ishu hapa ni kulipia mahari
Usikariri mkuu...
mada inahusisha "mahari" na "Bikra"
unavyojipo "QUOTE" za watu fungua akili na ufikiriee kwanza

Kwanini mnakua wakumu na kuegemea upande mmoja?
Bikra tuwatoe sisi bado tuwadhalilishe kwenye swala la kuwaoa?
 
Kwani wapi kaidai? Kaoneshwa tu kutokuridhika kulipia mahari kitu used. Kama yeye hailipiwi mahari kwa nini mwanamke alipiwe!!

Tulia usome na kuelewa vizuri alichoandika mleta mada.
 
Kama ni screpa unamuoa wa nn???

 
Mwamke "hujamuoa" utajuaje kama ana bikra au la? Na kama umembikiri mwenyewe kabla ya kumuoa utakapokuwa unamlipia mahari "atakuwa bado bikra"?
namaanisha state aliyokuwa nayo tunapoanza mahusiano ndio namwita bikra.
 
Wanaume wa design hii wanasumbuliwa na inferiority complex kwa madai aliemtoa bikira ndo atakuwa anakumbukwa daima kuliko yeye
nadhani hata Mungu aliweka hiyo kitu ili mimi nisumbuliwe na I.complex am just playing my part.
 
mimi ni injinia usiwe na shaka na elimu yangu, nazumngumzia dhana zima ya kutoa mahari kama zawadi ya kumtunza binti haipo tujichukulie tu.
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
me nadhani mtu akikutoa bikra huyo ndio wa kumsumbua akuoe kweli,wananwake wengi wanataka kuolewa na bwanake wa 15,hao 14 amewaacha kwa nn?anakuona boya?kama co bikra ajilipie mahari mwenyewe,mahari kiislam anapewa mwanamke mwenyewe na kama sio mjane anatakiwa awe bikra,mnatandika shuka jeupe mkitokaa kina shangazi wanaingia wanakuta damu,sio wanakuta duara kubwaaa la maji ya utelezi ya maku pamoja na kusquirt!no bikra na sio mjane jilipie mahari usichezee akili za watu!
 
mkuu unawapa hasira wadau waliooa used kwa gharama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…