Hawajawahi kusema hawataki muungano! Kumbuka Maalimu kafariki hakuwahi kusema hataki
Kwasasa wanaweza kuvunja kwani Marais wote ni Wazanzibar, kwanini wanashindwa.
Kwanini wasisuse kuja Dodoma, waondoka katika nafasi za JMT ili muungano ufe
Nitajie Mzanzibar mmoja tu wa ndani na nje anayesema hataki muungo (siyo waarabu )
Ndio maana tuna wa encourage, fursa ya kuvunja muungano ni sasa. SSH na Mwinyi itisheni referendum haraka sana Zanzibar, fanyeni mnavyoweza , vunja muungano! hakuna tatizo. Wanasita nini
Hii prestige ni kweli lakini sasa ni too much. Watu chini ya milioni wanapewa resources nyingi kuliko mamilion ya watu. Hili linakera sana. Halafu hata mchango hawana, na kile chao wanakimbiza kama mafuta, umuhimu wa resources kuelekezwa huko ni upi?
Muungano ni nguvu za kiuchumi na kiusalama.
Watanzania bara hawana tatizo na Wazanzibar ndio maana wanawakubali huku bara ila ubaguzi wala masharti
Mbegu chafu ya ubaguzi inapandwa na Wazanzibar wanaoamini Uzanzibar ni ubora
Hilo ndilo linawatibua Watanganyika hasa wakijua ubora wa Zbar ni kivuli cha Tanganyika!
Waulize Wazanzibar ambao hawautaki Utanzania bali pale tu wanapoona kuna mafao
Mbegu ya ubaguzi wanaipanda wao na itawatafuna sana maana nje ya muungano kuna kipili pili na mashombe
Mbona Tanganyika inapakana na nchi 8! kwani tuna masilahi sawa?