Ni halali Wazanzibari kufanya kazi za Watanganyika?

Ni halali Wazanzibari kufanya kazi za Watanganyika?

CHAKO CHETU SOTE , Hi Tanganyika yetu sote. Ndo maana Serka li ya Tanga Nyika ni yetu soto kwa jina La Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
CHANGU CHANGU PEKE YANGU-Hi Zanzibar yetu peke yetu Wazanzibari, ndo maana Tuna serikali yetu peke yetu
This is not fair at all! 🙁
 
Mfano, Zanzibar wanapewa 21% ya ajira za muungano wakiwa watu milioni 1.2 tu.
Ikiwa ajira za muungano ni 100,000 tunaongelea 21,000 mara mbili ya ajira za SMZ takribani 10,000.

Jambo la kushangaza kodi wanazolipa zinapelekwa Zanzibar! Yaani wanapewa ajira za bure za Watanganyika halafu SMZ wanalipwa kwa kupewa ajira hizo na kupunguziwa unemployment!

G55 wakati wa Mwinyi waliona upendeleo na matatizo makubwa. Yamerudi sasa hivi kila kitu Zanzibar hata majaji wa mahakama kuu wanateuliwa kutoka Zanzibar , mawaziri, viongozi wa Taasisi n.k.

Warioba kasema ni mambo 7 tu, mengine kila mtu aangalie utaratibu wake.

Watanganyika endeleeni kutoa hisani! kule Zanzibar Rais Mwinyi kasema ninyi ni sawa na wageni wengine
Duh, inatisha!
Tanganyika imekuwa shamba la bibi tena lisilo na mlinzi..
Acha wavune tu hadi pale Watanganyika watakapozinduka usingizini
 
Hii ndio hoja ya msingi ya serikali tatu, rais wa muungano na wa Zanzibar wote ni wazanzibari, nani anatetea maslahi ya Bara ndani ya Muungano? Bara inaporwa tu hakuna wa kuitetea, waliopigania Uhuru wa Tanganyika wanadhihakiwa mno
Inashangaza sana kuona leo Mtanganyika analalamikia muungano kwa hoja za kibaguzi kiasi hiki, tena baada ya kuwa kimya kwa miaka yote sitini ya muungano! sababu ni moja tu, raisi wa muungano ni Mzanzibari!
 
Inashangaza sana kuona leo Mtanganyika analalamikia muungano kwa hoja za kibaguzi kiasi hiki, tena baada ya kuwa kimya kwa miaka yote sitini ya muungano! sababu ni moja tu, raisi wa muungano ni Mzanzibari!
Hiyo sio sababu!
Ilaha wahenga wanaseme unapokula na kipofu usimshike mkono....
 
tuanze kuidai Tanganyika yetu sasa, nao tuwaachie kisiwa chao. Hatuna maslahi yao.

Kama ni suala la ulinzi na usalama, tuimalishe jeshi letu la majini, anga nk, tuweke makombora kadhaa pale tegeta juu, ununio nk. Patrol boats za kutosha nk.

Tukishindwa yote hayo, Tutumie mabavu kuifanya iwe Tanganyika, wasiwe na Rais wala serikali, mamlaka zote ziwe za bara na kule kuwe na wakuu wa mikoa kadhaa, kambi za majeshi na wanajeshi kutoka mara, mwanza na Bukoba, Askari kutoka Zanzibara wapelekwe Dodoma, Mbeya, Simiyu nk. Turuhusu muingiliano kwao na wao waje huku, wabara waajiliwe kwa wingi kule na wao waajiliwe kwa wingi huku, kuwe na intermarriage nyingi sana, At the end Zanzibara will be permanently Tanganyika.
Kulingana na historia yetu mawazo yako hayana tofauti na Iddi Amin Dada pale alipotaka kuichukua Kagera.
 
Hiyo sio sababu!
Ilaha wahenga wanaseme unapokula na kipofu usimshike mkono....
Kipofu gani unamuongelea? mpaka rais wa Zanzibar anawekwa kwa nguvu ya Tanganyika. Hoja ya msingi ni kujadili kero za muungano kwa nia ya kuweka haki na sio leo watanganyika kujifanya wanaonewa ikiwa wao ndo walioshikilia mpini miaka yote sitini ya muungano. Muungwana hasubiri kuikiri haki pale anapoikosa yeye tu bali hata jirani yake anapoikosa pia hukiri na kuwa tayari kusaidia ipatikane.

Ukweli ni kwamba kero za muungano zipo basi zijadiliwe kwa haki. Busara na misingi ya haki lazima itumike ili tuende mbele na sio upuuzi wa kuanza buguana au kuleta chochoko za kuvunja muungano.
 
Kipofu gani unamuongelea? mpaka rais wa Zanzibar anawekwa kwa nguvu ya Tanganyika. Hoja ya msingi ni kujadili kero za muungano kwa nia ya kuweka haki na sio leo watanganyika kujifanya wanaonewa ikiwa wao ndo walioshikilia mpini miaka yote sitini ya muungano. Muungwana hasubiri kuikiri haki pale anapoikosa yeye tu bali hata jirani yake anapoikosa pia hukiri na kuwa tayari kusaidia ipatikane.

Ukweli ni kwamba kero za muungano zipo basi zijadiliwe kwa haki. Busara na misingi ya haki lazima itumike ili tuende mbele na sio upuuzi wa kuanza buguana au kuleta chochoko za kuvunja muungano.
ww unaonaje kero zipo au hazipo
 
Hivi ni halali kwa Wazanzibari kuajiriwa Tanganyika kama waalimu bila ya kuwa na vibali vya kufanya kazi?

Ni halali Wazanzibari kuajiriwa kama watendaji wa mitaa na Kata?

Ni halali kwa Mzanzibari kuteuliwa kuwa Mkuu wa mkoa au wilaya huku Tanganyika?

Ni sawa kwa Mzanzibari kupewa Leseni ya biashara Tanganyika bila kwanza kupewa kibali cha kufanya kazi?

Mzanzibari anaweza kuteuliwa kusimamia wizara zisizo za Muungano?

Ni halali kwa Mzanzibari kugombea nafasi za kisiasa Tanganyika?

Kodi anayotozwa Mzanzibari inatakiwa iende nchini kwao Zanzibar ama itumike Tanganyika?
Ndio ujue uonevu na maumivu ya mme ambapo wote mme na mke wameajiriwa. Mshahara wa mme ni wa wote na mshahara wa mke ni kwake peke yake.
 
Hujajibu hoja za mleta mada
Mkuu Allen Kilewella , kwanza kazi ni kazi, hakuna kazi ya mtu, hivyo hakuna kazi za Mtanzania wala kazi ya Mzamzobari, kazi ni ya wote. Pili hiki ulichokileta ni ubaguzi wa kutaka kuwabagua Wazanzibari!. Mwalimu Nyerere alisema hii ni dhambi!. Kiukweli somo la uraia linahitajika sana Tanzania kwa watu kama wewe!. Tanzania ni nchi moja, ya JMT, yenye uraia mmoja tuu wa Tanzania, kila Mtanzania ana haki sawa na haki zote za raia wa Tanzania.

Ndani ya uraia wa Tanzania kuna uraia mmoja tuu wa Mtanzania.

Kwa vile Tanzania ni nchi moja ya JMT, ndani ya JMT kuna sehemu moja ya Zanzibar ina utawala wake wa ndani ambao Wazanzibari licha ya kwanza kuwa ni raia wa JMT wenye haki zote za uraia wa JMT, hawa wamepewa haki za ziada za ukaazi wa Zanzibar. Kitambulisho cha ukaazi wa Zanzibar sio kitambulisho cha uraia, hakuna uraia wa Zanzibar kuna uraia mmoja tuu wa JMT na ziada ya ukaazi wa Zanzibar.

Hivyo Wanzanzibari wana haki zote za uraia wa Tanzania na ziada ya haki za ikaazi wa Zanzibar.

Lile jambo langu likitimia, nafungua darasa la bure la Haki, kuwaelimisha Watanzania haki zao mbalimbali zikiwemo haki za uraia.
P
 
Hivi ni halali kwa Wazanzibari kuajiriwa Tanganyika kama waalimu bila ya kuwa na vibali vya kufanya kazi?

Ni halali Wazanzibari kuajiriwa kama watendaji wa mitaa na Kata?

Ni halali kwa Mzanzibari kuteuliwa kuwa Mkuu wa mkoa au wilaya huku Tanganyika?

Ni sawa kwa Mzanzibari kupewa Leseni ya biashara Tanganyika bila kwanza kupewa kibali cha kufanya kazi?

Mzanzibari anaweza kuteuliwa kusimamia wizara zisizo za Muungano?

Ni halali kwa Mzanzibari kugombea nafasi za kisiasa Tanganyika?

Kodi anayotozwa Mzanzibari inatakiwa iende nchini kwao Zanzibar ama itumike Tanganyika?
Mbona watanganyika wengi wapo mahotelini Zanzibar
 
Back
Top Bottom