Sijui kama ni Binti, au ni jina tu analotumia mkuu "Zawadia."Wrong! Wabara wanaweza kuamua kwa wingi wao ikawa, je hiyo italeta suluhu?
Kanuni zinasema referendum hufanywa kwa minority kama ilivyokuwa Eritrea, Timor, Quebec etc, VP OMO analalamika wingi wa Wabara unawanyima fursa? Wabara wanaweza kumchagua Rais bila Wazanzibar!
Pamoja na kuibeba Zanzibar Wabara hawakuwahi kulalamika hadi inapokuwa too much
Tatizo la muungano si Bara ni Zanzibar ambapo Uzanzibar ni bora lakini kwenye mafao Utanzania ni muhimu!
Wazanzibar wamepiga kelele miaka mingi wanakaliwa na majeshi, wanaonewa na viongozi wa Tanganyika
Mwenyezi mungu kaleta neema, Rais wa JMT ni Mzanzibar na wa SMZ ni Mzanzibar!
REFERENDUM inashindikanaje?
REFERENDUM! REFERENDUM! kwa Wazanzibar
Mimi ningependa kumsaidia hivi.
Samia kama kiongozi mkuu wa nchi, anayo nafasi nzuri sana ya kuitisha referendum juu ya Muungano. Ushiriki uwe wa pande zote mbili; na ili isionekane kuwa waTanganyika kwa wingi wao watatumia wingi huo kuwaburuza waZanzibari, basi iwekwe sheria (kama haipo), itakayosema kwamba pande zote mbili za Muungano zikikubali Muungano uendelee ni lazima wapiga kura wawe theluthi mbili za kura.
Referendum ikiamua Muungano uendelee, ni lazima haya mambo ya upande mmoja kujiona wao ni bora zaidi ya upande mwingine, na kutaka kujitambulisha kwa ubora wao huo yakome.
Niona vyo, sasa tumetoka kwenye kupiga kelele tu, ila tupo kwenye sehemu moja ya Muungano kuilalia sehemu nyingine. Hii haikubaliki hata kidogo.
Something is going to give pretty soon.