Wewe umeshikilia referendum ikiwa wakati wa kuchagua viongozi wanaowataka kisheria , Jeshi la Tanganyika pamoja Na usalama wao wa Taifa huwafanyia unyamar huu
Hiyo referendum itafanyika vipi?
Hivi huko ndani ya CCM hakuna viongozi toka Zanzibar?
Hawa viongozi hawana lolote wanalochangia ndani ya chama hicho na kuyasimamia maamuzi yanayochukuliwa?