Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Lakini kuna makabila ambayo wazee wana bidii sana na ukiwa mzembe kijijini watu wanakucheka, wengine wanalazimisha watoto wao kusoma sana ili wafaulu wawe na kazi nzuri serikalini na wengine hawajali kama watoto wanasaidia kazi au la, au wanasoma au la wao ni bora liende tu.
Upo sahihi
 
Licha ya umasikini wetu wa taifa hapakosekani kundi la watu wenye nafuu, Tukigusia makabila yenye asili ya hapa kwetu, jamaa wapo mbali mno.

Kunaweza kuwa na makabila yanayowafatia ila ni gepu refu mno.

1.Elimu: Hawa watu wamesoma sana na shule zipo huko kwao tangu zamani sana, sehem zao kuna shule nyingi sana, hapa wenzao ni wahaya lakini tatizo wahaya wana shule chache sana huko kwao na sehemu waliyosifika ni kwenye elimu tu.

Biashara - Ni kama kipaji chao cha asili hata kwa ambao wameishia darasa la 7 wapo wanaofanya makubwa, ukija kwa wasomi nako wamejaa wamefungua makampuni, najua kuna wanaofatia wapo wakinga, waha, wasukuma, n.k ila wameachwa mbali sana.

siasa - ukiachana na ccm hawa ndio waasisi wakubwa wa vyama vingi maarufu vya upinzani kuanzia tlp, nccr, chadema, vyote vina asili ya wachaga,

kuendeleza na kujenga kwao hawana mpinzani, nimeona makabila mengine wengine wanajaribu jaribu wanajenga nyumba za kisasa huko vijijini kwao ila unakuta kijiji kizima nyumba hizo zinahesabika,

Kwenye system na political positions hawajajaa sana
ila kila ofisi wamejaa, mashirika ya uma na kimataifa wapo.

kuridhika kwa wachaga ni ngumu sana, mtu alieridhika mara nyingi huonyesha majigambo na sifa, kuna baadhi ya watu wakipata hela basi wataanza laki si pesa, ist gari za watoto, n.k kwa wachaga mtu anaweza kuwa na pesa kibao ila bado ana nidhamu ya pesa laki 1 anaipangia bajeti, ataendesha hata passo ilimradi ajenge kwao nyumba nzuri, n.k.

Ni nadra sana kusikia mambo ya uchawi uchagani kwamba flani kamtupia jini jirani kisa mtoto wake kapata kazi, kurogana kisa ndugu kapiga hatua, n.k. uchawi ni adui mkubwa sana wa maendeleo na kwa kiasi kikubwa wamejitahidi kuukwepa, just imagine nina rafiki yangu wa huko Geita vijijini alitaka kuwajengea wazazi nyumba ya kisasa, watakataa, mwengine rafiki wa Njombe aliniambia huko kijijini kwao hata kuweka bati ni ishu nzito kwasababu majirani wanaweza kuchukia maendeleo wanaroga.

Wanaheshimu mila na desturi zao: kifupi wanajua wapi wametoka na wapi wanaenda, wachaga ikifika december kuna mtu asiejua balaa lao ? huwa ni kama waisrael wa sehem mbali mbali wanarudi kwao, hii pia inafanyika na kabila lililofanikiwa zaidi Nigeria waigbo hurudi kwao kila mwisho wa mwaka.
..........................

Kwa wengi unaweza kukuta kwenye elimu wapo ila kwengine zero

wengine unaweza kuta wanajitahidi biashara ila huko kwao hakutamaniki na elim bado sana

n.k.
kwa dunia tunayoelekea, hayo mambo utayasikia tu kwenye historia. ndio maana hata ukienda kariakoo sasaivi, anayesifika ni mkinga na mbena, mchaga anatafutwa.
 
kwa dunia tunayoelekea, hayo mambo utayasikia tu kwenye historia. ndio maana hata ukienda kariakoo sasaivi, anayesifika ni mkinga na mbena, mchaga anatafutwa.
Mwambie huyo yeye alishakariri story za maiaka ya nyuma huko! Saizi kila mtu anapata mafanikio bila kujali anatokea wapi wala kabila gani!
Wao wanajionaga Superior kuliko wengine lakini hawana maajabu ni kawaida tu na kwa sehemu kubwa mfumo wa miaka ya nyumba uliwafanya wabebane lakini saizi lazima wapambane sana!
 
Mwambie huyo yeye alishakariri story za maiaka ya nyuma huko! Saizi kila mtu anapata mafanikio bila kujali anatokea wapi wala kabila gani!
Wao wanajionaga Superior kuliko wengine lakini hawana maajabu ni kawaida tu na kwa sehemu kubwa mfumo wa miaka ya nyumba uliwafanya wabebane lakini saizi lazima wapambane sana!
elimu na kuona mwanga mapema ndio kulifanya yote hayo. it is good for them kufanikiwa kwasababu kufanikiwa kwao ndio kulileta mwanga kwa wengine kuja kufanikiwa pia. kwa sasahivi, kila mkoa ukiondoa ile ya pwani watu wanasoma na ukiona kuna mahali watu wanaenda sana shule, competition ya maisha hapo haitajalisha kabila. wakinga kwamfano, hata kama wanatumia sana uchawi kwenye biashara, lakini wanapeleka sana watoto wao kusoma, na kwa sasa wanapeleka sana watoto kusoma china na uturuki, na watoto wakimaliza hawaombi kazi serikalini, wanaenda kwenye biashara zao, inakuwa rahisi kwao kusafiri kwenda china walikosoma. kuna wakinga niliwasikia wamefungu amakampuni watoto wao wanaishi china kabisa iwe rahisi kufunga mzigo kule na kuutuma huku ili waswahili msambaziwe. itafika mahali, hata hao watu wa pwani watafumbuka macho hawatafanya biashara za kuridhika tena, kutakuwa na competition kila kona kwasababu kila mtu amepata mwanga.
 
kwa dunia tunayoelekea, hayo mambo utayasikia tu kwenye historia. ndio maana hata ukienda kariakoo sasaivi, anayesifika ni mkinga na mbena, mchaga anatafutwa.

Huu mjadala wa mkinga na mbena dhidi ya mchaga hapo kkoo na dar mzima ulishafungwa ni kwamba hawana ubavu wa kushindana na kina mangi wao ni wachuuzi tu ndio maana utawakuta kwene nguo tu kwingine hawapo. Kkoo wakumkalisha mchaga ni mhindi na mwarabu basiii wengine tia maji tia maji.
 
Mwambie huyo yeye alishakariri story za maiaka ya nyuma huko! Saizi kila mtu anapata mafanikio bila kujali anatokea wapi wala kabila gani!
Wao wanajionaga Superior kuliko wengine lakini hawana maajabu ni kawaida tu na kwa sehemu kubwa mfumo wa miaka ya nyumba uliwafanya wabebane lakini saizi lazima wapambane sana!

Sambulugu kwa kichaga ni “mavi ya mchawi”. Kamwe wasukuma hawatakaa wawazidi wachaga maendeleo na utajiri kamwe. Hizo sijui dhahabu sijui kilimo na ujinga mwingine bado hauwafaidisha na ndio maana kanda ya Ziwa licha ya migodi lakini wananchi wake kwa 90% ni hoe hae hawana maisha. Wachaga kwa sasa ni wamiliki wa viwanda mbalimbali nchini. Kwasasa wanamakampuni China [emoji630], ulaya, uturuki na huko UAE [emoji1256] subsidiaries wa hizo kampuni wanaishi huko pia. Fuatilia trends za wafanya biashara wa nje na walio na ubia wa viwanda vya huko china utagundua kitu hata kwene mataasisi ya kimataifa. Madini ya tanzanite yamewanufaisha sana wachaga kuwa mabillionaire kuliko gold ya huko usukumani. Kilimo chenyewe mnacholima ni upuuzi mtupu wenzenu tunalima mbogamboga na matunda tunauza ulaya na kwene mahotel ya kitalii nchini. Chai na kahawa tunaexport nje ya nchi. Kwasasa tupo uchumi wa viwanda na mabiashara makubwa makubwa huku duniani. Wasukuma ni jamii masikini zaidi mchini. Ukitoa mhindi na mwarabu anaefuatia kwa umiliki wa viwanda vikubwa ni wachaga huko logistic na cargo ndio balaa, transports je. Broo acha ujinga acha kulalia ngozi, mavi ya n’gombe na mikojo kama babu zako.
 
Wachaga ni lile kabila kati ya 12 la Israel lililopotea (Lost tribe of Israel).

Kwa kifupi wachaga ni wayahudi wa Africa.

Tafiti za DNA zimethibisha kabisa.
Yaani watu wanakula damu unasema ni mmoja ya makabila 12 ya Israeli?
Wale ni Wabantu.
 
Sambulugu kwa kichaga ni “mavi ya mchawi”. Kamwe wasukuma hawatakaa wawazidi wachaga maendeleo na utajiri kamwe. Hizo sijui dhahabu sijui kilimo na ujinga mwingine bado hauwafaidisha na ndio maana kanda ya Ziwa licha ya migodi lakini wananchi wake kwa 90% ni hoe hae hawana maisha. Wachaga kwa sasa ni wamiliki wa viwanda mbalimbali nchini. Kwasasa wanamakampuni China [emoji630], ulaya, uturuki na huko UAE [emoji1256] subsidiaries wa hizo kampuni wanaishi huko pia. Fuatilia trends za wafanya biashara wa nje na walio na ubia wa viwanda vya huko china utagundua kitu hata kwene mataasisi ya kimataifa. Madini ya tanzanite yamewanufaisha sana wachaga kuwa mabillionaire kuliko gold ya huko usukumani. Kilimo chenyewe mnacholima ni upuuzi mtupu wenzenu tunalima mbogamboga na matunda tunauza ulaya na kwene mahotel ya kitalii nchini. Chai na kahawa tunaexport nje ya nchi. Kwasasa tupo uchumi wa viwanda na mabiashara makubwa makubwa huku duniani. Wasukuma ni jamii masikini zaidi mchini. Ukitoa mhindi na mwarabu anaefuatia kwa umiliki wa viwanda vikubwa ni wachaga huko logistic na cargo ndio balaa, transports je. Broo acha ujinga acha kulalia ngozi, mavi ya n’gombe na mikojo kama babu zako.
Wewe tukana ujuavyo nikwambie tu! utajiri sio kujisifu! Hizo ni projo tu kama porojo zingine! Nitajie biashara wanayofanya Wachaga wasukuma hawafanyi?
Hizo takwimu za asilimia 90 umezipata wapi? Nyinyi bakini na maneno yenu ya kufarijiana wakati hali ilishabadilika na hamtaki kukubali ukweli!
Nyinyi mna sifa za kijinga tu na upumbavu hao wachimabaji wa dhahabu na wauzaji unawaona hawana maana wewe mwenye duka uchwara unajiona unajua sana!
Wasukuma tokea lini mkawakubali maana mna wivu hamtaki wengine wapate maendeleo!
 
Huu mjadala wa mkinga na mbena dhidi ya mchaga hapo kkoo na dar mzima ulishafungwa ni kwamba hawana ubavu wa kushindana na kina mangi wao ni wachuuzi tu ndio maana utawakuta kwene nguo tu kwingine hawapo. Kkoo wakumkalisha mchaga ni mhindi na mwarabu basiii wengine tia maji tia maji.
Acha porojo Mkinga ameshawazidi ndio maana huwa nawaambia nyie growth rate yenu kwenye biashara ni ya kawaida na hamna maajabu!
Zamani mlikuwa na akicess ya kuibia serkali kipindi nchi imelala!
 
Kamkoa kenyewe ukitoa upareni kadogooo. Sasa utasemaje wana maendeleo! Huko sasa hivi ni njaa tupu. Inabidi watangetange mikoani kutafuta walau wapate mlo. Sasa hayo ndio maendeleo ?
 
Mimi pia ni Manka.Kitu kimoja kuhusu sisi ni umakini katika issue za maana iwe biashara,kazi au chochote kile.Kingine kilichotusaidia ni dini wachaga ni watu wanaoamini katika neema za Mwenyezi Mungu ndio maana unaweza pita vijijini ukakutana na majority ya wabibi wamevaa rozari,wengine hupenda sana kwenda kanisani nk
 
siri iko hapa,

wajerumani walitawala maeneo ya kilimanjaro mapema sana kuanzia 1885, hivyo wachaga walikua ni moja kati ya makabila ya kwanza kabisa kuchangamana na watu weupe tanzania bara....

shughuli la kiuchumi na ile elimu ya kikoloni kwa wale wachaga wa tabaka la juu ndo ikapelekea wao kujanjaruka haraka kuliko makabila mengine....
Wewe ndiye uliyotoa sababu ya ukweli. Ni historia yetu. Kuna wanaosema sijui wezi, wengine wanasema wachawi, watambikaji. Haya yote ni uposhaji. Ukweli ni kuwa wakoloni walipokuja East Africa, walikimbilia kuishi yale maeneo yenye hali ya hewa nzuri. Huko walianzisha shule, hospital na makanisa ambayo yalitumiwa na wenyeji kujiendeleza. Na wanasema ukikaa karibu na waridi, unanukia kama waridi. Sehemu kama pwani kulikuwa na joto na mbu wengi hivyo hawakupendelea.
 
Wachaga wako kama wahindi, wanaharibu watoto wao, utakuta mmoja dishi limeyumba huwezi kumjua kirahisi...

Huyo ndio anawapa utajiri...

Kingine ni watu wa kafara za damu za wanyama kwa wafu/mizimu...
Fallacy!!
 
Wewe tukana ujuavyo nikwambie tu! utajiri sio kujisifu! Hizo ni projo tu kama porojo zingine! Nitajie biashara wanayofanya Wachaga wasukuma hawafanyi?
Hizo takwimu za asilimia 90 umezipata wapi? Nyinyi bakini na maneno yenu ya kufarijiana wakati hali ilishabadilika na hamtaki kukubali ukweli!
Nyinyi mna sifa za kijinga tu na upumbavu hao wachimabaji wa dhahabu na wauzaji unawaona hawana maana wewe mwenye duka uchwara unajiona unajua sana!
Wasukuma tokea lini mkawakubali maana mna wivu hamtaki wengine wapate maendeleo!

Maadui wa mchaga nchini ni wasukuma wewe hapa jukwaani comments zako huwa naziona hata idd amini wa chato alizihirisha hilo. Sisi hatuna maadui bali adui wetu ni kupigana sana ili kuwa na mafanikio. Hatushindani na wachawi. Dhahabu gani mnachimba nyinyi kwanza nyinyi ni wachimbaji wadogo hamna impact yoyote kwene uchumi. Hamna uwekezaji wowote wa maana kwene migodi. Kwene takwimu za madini kwa mtu mmoja mmoja kaskazini tunatisha hata masai laizer ulimsikia sasa huko mamigodi ya GGM ndio uyatolee mfano au manamba wanaookota okota gram 2 au tano ndio uwaseme hapa eti wasukuma wanadhahabu, pumbafu. Msukuma hata kkoo hayupo wala dar kwene profile za wababe hayupo. Hamna jipya wachawi nyinyi hata yulee mpuuzi aliharibu nchi mkawa mnabweka bweka. Mama samia piga spana pimbi hawa.
 
Back
Top Bottom