Sikatishi mtu tamaa bali naeleza uhalisia.Ingelikuwa ndio hivyo huku Africa watu wachache wangezaa. Usimkatishe tamaa mwenzio kama huwezi kumtia moyo basi
Upo sahihi jmn hiki kipindi nilikipitia nashukuru sana Mungu nilikuwa naongea na mama akili yangu ilikuwa inapata ahueni nilikuwa nahisi dunia inaniangukia.Nilikuwa na sali na mama yangu pia alikuwa ananiombea ile shida iliishaCheka sana
Kejeli sana
Simulia sana
Ila usiombe yakukute
Ukifikia kipindi hiki kigumu faraja Pekee inatoka kwa mke labda na wazazi pekee
Mimi mke wangu alikua anashangaa kila mvua ikinyesha usiku Mimi ndio wa kwanza kwenda kukinga maji hata iwe saa ngapi mpaka ananiuliza hivi wewe hulali?
Kweli nilikua silali hata ustuke saa tano usiku basi huwezi kupata usingizi mpaka majogoo yanawika.
Hakuna kitu kinatia uchungu kama kuona watoto wako wamelala kitandani lakini baba yao hujawaandalia future yao yoyote
Mtoa post kama mkeo yuko pamoja na wewe kipindi hiki kigumu unachopitia ni ushindi tosha
Mungu akupe subra na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu unachopitia
Kwa nini unazaa watoto bila kuandaa future yao kwanza?Cheka sana
Kejeli sana
Simulia sana
Ila usiombe yakukute
Ukifikia kipindi hiki kigumu faraja Pekee inatoka kwa mke labda na wazazi pekee
Mimi mke wangu alikua anashangaa kila mvua ikinyesha usiku Mimi ndio wa kwanza kwenda kukinga maji hata iwe saa ngapi mpaka ananiuliza hivi wewe hulali?
Kweli nilikua silali hata ustuke saa tano usiku basi huwezi kupata usingizi mpaka majogoo yanawika.
Hakuna kitu kinatia uchungu kama kuona watoto wako wamelala kitandani lakini baba yao hujawaandalia future yao yoyote
Mtoa post kama mkeo yuko pamoja na wewe kipindi hiki kigumu unachopitia ni ushindi tosha
Mungu akupe subra na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu unachopitia
Nashukuru nipo nae napambana. Imekua ni kipndi cha miezi mitano lakini hekaheka za mabalaa zinaumiza sana. Kama umewahi kupitia Hiki kipindi najua unaelewa. Yaani akiba zinakata zote na matatizo bado yanagonga Hodi.Cheka sana
Kejeli sana
Simulia sana
Ila usiombe yakukute
Ukifikia kipindi hiki kigumu faraja Pekee inatoka kwa mke labda na wazazi pekee
Mimi mke wangu alikua anashangaa kila mvua ikinyesha usiku Mimi ndio wa kwanza kwenda kukinga maji hata iwe saa ngapi mpaka ananiuliza hivi wewe hulali?
Kweli nilikua silali hata ustuke saa tano usiku basi huwezi kupata usingizi mpaka majogoo yanawika.
Hakuna kitu kinatia uchungu kama kuona watoto wako wamelala kitandani lakini baba yao hujawaandalia future yao yoyote
Mtoa post kama mkeo yuko pamoja na wewe kipindi hiki kigumu unachopitia ni ushindi tosha
Mungu akupe subra na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu unachopitia
Nina mtoto ana shida Ana Clinic anaenda kwa sasa nikiondoka mjini hapa naweza kumpoteza.1. Omba Mungu
2. Ondoka dsm sepa mkoa wowote japo kwa mwezi mmoja
3. Fanya kazi yoyote kwa moyo mmoja
No situation permanent mkuu,mimi kuna kipindi hata buku ilikuwa ni million na ukicheki nimepanga na nina mke na watoto wananiangalia kwa kila kitu,hapo kuna mmoja wa chuo, wengine wawili darasa la tatu na mwingine nursery zote za kulipia (usishangae wawili darasa moja ni watoto wa mama tofauti wamezaliwa mwaka mmoja),Kuna muda nilikuwa natafuta sehemu tulivu natulia peke yangu nalia nafuta machozi narudi nyumbani,kila harakati zangu ziligoma kabisa kuwa sawa,ila Mungu ni mwema baada ya msoto mwingi nikaanza kurudi mdogo mdogo mpaka nikawa sawa,nikajenga kibanda cha kwanza nikapata na cha pili na ada za watoto hazinipi tabu sana kama zamani.Magumu unayopitia yatakujenga utarudi imara zaidi, trust me bro!!Duniani Kuna Changamoto sana, kuna wakati unapitia Changamoto kubwa unatamani hata Kuitelekeza Familia.
Kuna wakati nilikuwa Nikiona watu hasa wanaume wametelekeza familia nilikuwa sielewi kabisa ila Ukubwa Huu una mafundisho mengi sana.
Nimekaa nimewaza sana, nimepitia Changamoto nyingi sana Tangu mwezi wa saba Nimeuza baadhi ya Mali zangu hadi sasa Hivi nimesihiwa kabisa ni kama matatizo yanaitana Likiisha hili linafuata Lingine.
Imefika wakati sasa Nikitazama watoto wangu wachanga Roho inaniuma sana maana ninawaza Vitu ambavyo Viko nje kabisa .
Unakopa hadi unaogopa Kukopa au Kuomba tena, unadhalilika.
Umasikini ni Mbaya sana, Umasikini ni fedheha na Aibu Kubwa.
Hivi ni nji gani unayoweza Kuitumia au unaweza kufanya nini unapopitia kwenye Changamoto Kama Hizi.
Ni jambo gani la hekima sana unaloweza kufanya Ili upite salama kwenye Kipindi cha aina Hii.
Aisee pole mkuu na Hongera sana. Situation hii ndio niko nayo kabsa saa hii buku tu naiona kama milioni.No situation permanent mkuu,mimi kuna kipindi hata buku ilikuwa ni million na ukicheki nimepanga na nina mke na watoto wananiangalia kwa kila kitu,hapo kuna mmoja wa chuo, wengine wawili darasa la tatu na mwingine nursery zote za kulipia (usishangae wawili darasa moja ni watoto wa mama tofauti wamezaliwa mwaka mmoja),Kuna muda nilikuwa natafuta sehemu tulivu natulia peke yangu nalia nafuta machozi narudi nyumbani,kila harakati zangu ziligoma kabisa kuwa sawa,ila Mungu ni mwema baada ya msoto mwingi nikaanza kurudi mdogo mdogo mpaka nikawa sawa,nikajenga kibanda cha kwanza nikapata na cha pili na ada za watoto hazinipi tabu sana kama zamani.Magumu unayopitia yatakujenga utarudi imara zaidi, trust me bro!!
Keep going blood!!!
Sawa mkuu.Ongea na Mungu mkuu, unahitaji kuvunja nguvu za shetani
Nunua Biblia uwe unasoma
Ukipitia kipindi ambacho juhudi na maarifa ya kibinadamu vimeshindwa mwite Mungu.
Ikiwezekana jifungie mahali umwite Mungu.
Hiyo ndio njia pekee ya kutoka kwenye jambo lililokwama kibinadamu
Wafilipi 4 : 6
Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.
For read more download the Bible using this link:
Swahili English Bible - Apps on Google Play
Yatapita usijaliAisee pole mkuu na Hongera sana. Situation hii ndio niko nayo kabsa saa hii buku tu naiona kama milioni.
Mungu ni mwema tunavuka
pamoja mkuuYatapita usijali
AseeSalini maana baadhi ya matatizo yenu yanatokana na watu wanaowazunguka au ni kipindi kigumu ambacho umeandikiwa kukipitia.Ikiwa ni option ya 2 yatapita na hali itakaa sawa na utarudi kuwa bora kuliko mwanzo ikiwa ni option ya 1 utateseka maisha yako yote hadi siku unaingia kaburini.Ingia kwenye maombi kwa imani yako sali Mungu atafungua njia.Mimi nilipitiwa wakati kama wako kwa nguvu za Mungu niliwashinda na mmoja wapo alikuja kwangu usiku kaingia hadi ndani kasogea pembeni ya kitanda na kushika mkono wangu wa kulia ila alinishidwa,shida zilipita na kazi nilipata tena dakika nne kutoka ninapokaa.Sali Mungu atafungua njia
yanachosha sana.Ila maisha haya!!!
nashukuru mwenza yupo bega kwa bega katika Kipindi hiki kuliko wakati mwingine wowote.Kubari upo kwenye kipindi cha ugumu na mapito... Kama mwenza hakuelewi.. Acha Mungu akuelewe. Kuna maisha marefu Zaid ya iyo changamoto maana haitovuka mwaka