Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

Upuuzi mtu.. hakuna vita ambayo israel imewahi kushinda.

Vita 2006 ilikua ni stargically kuua uchumi wa lebanon ambapo hadi leo lebanon haijaamka bado inajijenga.. na ndio sababu hezbollah hadi leo hawadhubutu kuanzisha vita na israel pamoja na mauaji ya viongozi wao yanayo fanywa na israel.


 
Si kweli, soma chanzo cha vita mbona uzi nimeweka hapo.
 
ni kweli israel hajawahi kujisahau kwenye suala la intelijinsia na ndio maana nikasema israel anasurvive pale mashariki ya kati sababu ya nguvu yake ya intelijinsia kwani ndio inaplay part kubwa sana kuliko hata nguvu yake ya kijeshi.

pili suala la kutojua intelijinsia yote ya hezbola hilo ni suala ambalo linaweza kuwepo kwani kuzidiana uwanjani hua kunakuwepo hata timu mbili zinapokua zinacheza hua zinazidiana ufundi na ndio maana zote zinaweza kufungana magoli sema hua kunakua na mshindi wa jumla anayechukua point, mfano timu inaweza fungwa goli tatu kwa moja haimaanishi ile iloyofungwa haijawa na ufundi kushindwa ile ingine lazima nayo ilikua na ufundi wake wa ziada na ndio maana iliweza kufunga lile goli moja.

tatu hezbolah sio wanamgambo kama unavyotudanganya yule ni muiran kamili aliyepo lebanon sasa ili ujue kwamba israel amemzidi akili muiran baada ya perfomance aliyoionesha kwenye vita hiyo ndo akatengeneza proxy kule syria kwa hyo iran na hezbolah nguvu yao ya kupigana wakaihamishia syria na sio israel tena. narudia tena hapo mwenye akili nani?

syria ndio ilikua kiungo ama daraja kwa iran kuweka infuence yake lebanin, kwa hyo israel akaja na strategy ya kuvunja vunja daraja, ambalo ni syria, sasa hivi syria kabaki magofu tupu mpaka pesa anatengenezewa na urusi. myahudi sio kama unavyomfikiria wewe. jamaa pale middle east huwezi kuwafanya chochote
 
pia nikusahihishe hapo lengo la hezbolah na iran ni kuifuta israel hapo middle east na sio kuachiwa kwa mateka wao, mbona israel anao mateka wengi tu na bado anawashikilia na hezbolah wengine amewafanyia assasination? kwa nini hezbolah basi hawajaanzisha vita ingine ya kulipiza kisasi baada ya kuuliwa kwa yule mughnyeh na mtoto wake? unaambiwa yule chief commander alikua ni very bright so ilikua ni pigo sana kwa hezbolah, na nafasi yake mpaka tunavyoongea hapa haijapatikana, kwenye ile nafasi nasrala kaweka watu watatu kuziba pengo la mtu mmoja, so kama sababu ya hezbolah kuanzisha vita ilikua ni mateka basi alivyouliwa jamaa walitakiwa kuanzisha vita inginee kali zaidi.kwa hyo hapo hezbolah kwa israel bado sana...
 
mkuu chanzo cha vita israel na hezbolah sio hicho fuatilia historia kwa nini hezbolah ilianzishwa, hezbolah ilianzishwa ili kupambana na israel bada ya israel kuteka maeneo ya southern lebanon, na vita zao zipo kidini zaidi so usifikiri wataacha kupigana leo wala kesho, hyo sijui kuachia wafungwa ni danganya toto .

na lengo la hezbolah na washia wenzake wote ni kuifuta israel, yani siku hezbolah akiifuta israel ndo atasema sasa kashinda vita, na ndio mana iran ahangaika ili apate nyuklia halafu afunge kwenye makombora halafu awapatie hao "vichaa" halafu ndo uone moto wake, kama unasema hiyo ya mwaka 2006 ilikua ni vita basi hujawahi ona vita wewe. hapo ni walikua wanasalimiana tu.
 
Kwani HIZBU imekufa ?!

Mwenye akili IRAN sababu kaweka proxy puani kabisa kwahuyo myahudi hata ikitokea vita na IRAN sasa hivi ISRAEL itabidi apigane kwanza na HIZBU HAMAS na JIHAD ISLAM wapale GHAZA kabla yakuja kukutana namkubwa wao IRAN

ISRAEL kama anaakili kubwa kama IRAN akaanzishe wanamgambo wake mpakani mwa IRAN kama walivyofanya IRAN mpakani mwake[emoji23]

ISRAEL ana akili nae [emoji23]

Pia hakuna nchi inayoitambua HIZBULLAH kama ni IRAN labda nchi wewe wale niwanamgambo nawatabakia kua wanamgambo
 
Mbona hueleweki chanzo hasa cha second Lebanon war in 2006 ndio nazungumzia wewe unazungumzia chanzo cha Hezbollah kuanzishwa.
Sikuelewi.
 
Proxy wa Israel wanaitwaje?
Walianza operation zao lini?
Mkubwa wao nani?
Wana achievement IPI?
Kwa maana nijuavyo US na Israel mpaka sasa mission failed.Syria sio Libya, Iran imeweka ngumu wanadunda.
Syria inarudi.
 
Ni sawa Iran kaweka Proxy kwenye mipaka yote ya Israel, ila swali ni je mbona Iran haanzishi hyo vita.? HA HA HAA... Israel keshaanzisha vita Syri a, hawezi kwenda kuanzisha iRAN sababu yeye anadeal na wale maadui zake wanaomzunguka, SERA YA ISRAEL NI KUJILINDA DHIDI YA MAADUI WANAOMZUNGUKA NA SIO KUANZISHA VITA, NA NDIO MAANA KILA SIKU ANAUA WAIRAN NA HEZBOLAH WALIOPO NCHINI SYRIA KWA MUDA ANAOTAKA YEYE NA HAKUNA ANAYEMFANYA KITU

Iran’s Generals Are Dying in Syria

Iran: List of IRGC commanders killed in Syria - NCRI

Kama Iran angekua ana akili ina maana proxy wake ambae ni hezbolah angekua keshaivunja vunja israel kama proxy wa Israel walivyoivunja vunja syria, Nasralah kabaki tu kurusha makombora na kujificha kujificha kwenye mahandaki, sasa hapo mwenye akili nani?
 
Proxy wa Israel wanaitwaje?
Walianza operation zao lini?
Mkubwa wao nani?
Wana achievement IPI?
Kwa maana nijuavyo US na Israel mpaka sasa mission failed.Syria sio Libya, Iran imeweka ngumu wanadunda.
Syria inarudi.
kama huwajui proxy wa Israel, walianza lini? Mkubwa wao nani? nenda kamuulize Bashir Assad atakupa jibu kamili.

Eti SYRIA inarudi? HA HA HAA..SYRIA ile ndo kwisha habari yake sio ya leo wala kesho, na Wamshukuru sana Mrusi maana hezbolah na Iran walikalishwa chini mpaka wakaomba poo

Syria’s ruined cities will need decades, not years, to recover from war
https://www.washingtonpost.com/news...l-need-decades-not-years-to-recover-from-war/

"Even with heroic assumptions, Syria will remain weak in the near- and mid-term, and probably even a decade out or more"

Can Syria return to the regional stage?
 
Mbona hueleweki chanzo hasa cha second Lebanon war in 2006 ndio nazungumzia wewe unazungumzia chanzo cha Hezbollah kuanzishwa.
Sikuelewi.
chanzo cha
Mbona hueleweki chanzo hasa cha second Lebanon war in 2006 ndio nazungumzia wewe unazungumzia chanzo cha Hezbollah kuanzishwa.
Sikuelewi.
chanzo cha hezbolah kunzishwa ndicho kilicholeta hiyo vita, kama huelewi tulia taratibu tu dozi itakuingia...kumbuka dozi ni mara tatu kwa siku.
 
Nimekuuliza proxy wa Israel ni nani hapo Syria? Naomba jibu acha janja janja.
Nimekuuliza wamefanikisha lipi hapo Syria?
Mkubwa wao nani?
Wameanzishwa lini?

Hezbollah infos zao zipo mwanzo mwisho.
Iran walikalishwa chini lini na Israel?
Kwenye vita ya mwaka 1980 - 1988 Mbona USSR,US,Europe,Saudia,Israel e.t.c walikuwa wanampa support Iraq na bado walifeli? Iraq kuzidiwa wakaanza kupiga sumu.
UN wakaingilia kati.

USSR walikuwa na nguvu kuliko hii Russia ya sasa.
Iran achana nayo , alipewa support na Syria na Libya tu.
It doesn't matter Russia atakuwa upande gani but Iran kumtuliza Israel middle east ni uwezo wa Iran na proxy wake.

Israel na uoga wao wa kufanya mashambulizi ya kuvizia kama Al shabaab, hawana tofauti na fisi wanao kaa pembeni kuvizia nyama aliyowinda simba.
 
chanzo cha

chanzo cha hezbolah kunzishwa ndicho kilicholeta hiyo vita, kama huelewi tulia taratibu tu dozi itakuingia...kumbuka dozi ni mara tatu kwa siku.
One more question, hivi kwa nini Israel inakubali Ku recruit askari mashoga na Netanyahu anaya tetea?
 
Yaani shoga wampige Iran?
Haupo Serious.
Commanders wa Iran kufa ni matokeo ya vita.
Haya wamewaua kwani wameshinda?
Wamemtoa Assad madarakani?
Hata kama Syria ikichukua miaka 100 itarudi tu.
 

Nawaonea huruma Israel, maana hawa Hizbulah walipo Syria kwasasa, wakija kurudi nyumbani na uzoefu mpya wa vita pengine na vifa avipyaa watakuw amoto wakuotea mbali zaidi.
 
One more question, hivi kwa nini Israel inakubali Ku recruit askari mashoga na Netanyahu anaya tetea?
ha haa haa... unachange topic... ushahamia kwa mashoga sasa mashoga wapo kila sehemu..hata iran wapo. point yako hapa ni nini?
hili hapa chini ni shoga la kiiran


 
Nawaonea huruma Israel, maana hawa Hizbulah walipo Syria kwasasa, wakija kurudi nyumbani na uzoefu mpya wa vita pengine na vifa avipyaa watakuw amoto wakuotea mbali zaidi.
watarudije wakati wanakufa kila siku huko syria? au unaongelea mizimu yao?
 
Yaani shoga wampige Iran?
Haupo Serious.
Commanders wa Iran kufa ni matokeo ya vita.
Haya wamewaua kwani wameshinda?
Wamemtoa Assad madarakani?
Hata kama Syria ikichukua miaka 100 itarudi tu.
ha ha haaa... iran yenyewe ina mashoga kibao.
Iran na hezbolah vita ile walishindwa vibaya sana na walichinjwa kama kuku urusi ndo akaenda kuwatetea... isingekua urusi sasa hivi IS wangekua wako tehran wanakula "tigo" ya ayatolah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…