Iran ana malengo yapi dhidi ya Israel?Sababu ya vita ilikuwa kukomboa wafungwa sio kuifuta Israel.
Lengo lingekuwa kuifuta, wangeifuta.
Abdool kavae kanzu uende masjid ukapige madufu sina cha kujadili na wewe tena.Lakini alipigwa mpaka akasema naachia wafungwa.
Hata kama ni Mimi yaani bora uniue ila sio kipigwa na shoga.
PRUUUUUUUUUnafikiri Hezbollah ni genge la wahuni?
Wale wana mipango kama IDF ilivyo na mipango au Mossad au CIA,
Usifikiri wanakurupuka kama nyumbu kwenda kushambulia.
Pia Hezbollah inasikiliza matakwa ya UN, ndio maana waliwataarifu wakazi wa Haifa kwamba wahame dozi inaanza.
Kama lingekua genge la wahuni, Israel ingepigwa usinge amini, wangeingia tel Aviv wakalipua watoto, wazee, wanawake na hilo lingekua genge la wahuni kama west boys kule Sierra Leone.
Nchi vs Wanamgambo.Hezbollah alishambulia convoy ya jeshi la Israel kuteka na akaua. Israel wakapata kisingizio cha kuharibu miundombinu ya roketi zao za masafa marefu.
Lengo la Israel halikuwa kuondoa rocket zenye range fupi, hii huwezi labda utumie wanajeshi wa ardhini. Lengo lilikuwa kuharibu launch sites na depots za rockets zenye range kubwa.
Vita ilipoanza hakuna mpiganaji yeyote wa Hezbollah aliyeingia kwenye ardhi ya Israel, mapigano yaliishia Lebanon. Rockets ndo zilivuka mipaka.
Kwa sasa tiyari Israel wana Iron Dome air defense system ambayo ilizuia mashambulizi ya Hamas ile miaka ya 2013/14. Pia Hezbollah wana rockets nyingi zaidi na zenye uwezo mkubwa, lakini pia Israel ilijifunza kuzuia silaha zisiifikie Hezb badala ya kusubiri zifike ndo izishambulie endapo ikitokea vita.
Lebanon ndo iliumia hasa maana uchumi wake uliharibika sana.
1-Kamuulize Khamenei.1. Haya tuambie Iran ataifuta lini Israel?
2. Na Syria imerudi ilikuwa kwa nani ikaenda kwa nani na imerudi kwa nani?
3. Mikakati gani wanayo Iran we unaijua?
.
Swali lako ni zuri kwanini USA imeshindwa kumuondoa Assad?
Jibu
Kwanza lengo mama la USA kama ulivyo aminishwa ni kumuondoa Assad madarakani, sina taarifa zozote deep za jeshi la marekani ila ni kwamba marekani yuko pale kwa ajili ya mafuta tu anayachukua hachukui?
Mkuu swala la Israel kuelezwa kushindwa keenye vita vile haliusiani na udini......Lebanon ina Wakristo wengi sana na ni washirika wa hilo kundi .....na unaposema wavaa kanzu una maana gani ili hali swala la unyanyasaji wa Israel unaktaliwa Dunia nzima??Siwezi kujisumbua kusoma andiko lililoandikwa na mvaa kanzu,najua ni hisia na mihemko tu ndio imejaa.
Hakuna cha kuchekesha hapo labda uwe na matatizo ya akili, kuna kichekesho gani?Nchi vs Wanamgambo.
Wanamgambo uchumi wao ulishuka sana.
Haki ya Mungu nimecheka sana
😷PRUUUUUUUU
Kwamba uchumi wa Hezbollah ulishuka baada ya kupambana na wazee wa six days war.Hakuna cha kuchekesha hapo labda uwe na matatizo ya akili, kuna kichekesho gani?
1.Al shabab inapigwa na majeshi kibao na haijafutwa.
2. Al Qaeda haijafutwa
3. ISIS haijaisha kabisa
4. Boko Haram bado ipo
5. Hamas
6. PKK
Na makundi mengine mengi, kati ya haya kuna kichekesho gani.
Hezbollah is generally considered the most powerful non-state actor in the world, and to be stronger than the Lebanese Army. ... The group's strategy against Israel uses rockets as offensive weaponry combined with light infantry and anti-armor units to defend their firing positions in southern Lebanon.Japan na Ujerumani walishindwa kwenye vita zao na impact yake inaonekana.
.
Japan alikuwa mjeuri sana dhidi ya America hivi sasa hawezi hata kumkoholea, Germany pia alivyoshindwa vita akapoteza u-super power wake.
.
Issue ya Israel ni tofauti haihusishi uchumi wala chochote zaidi ya CHUKI za waislamu dhidi ya Israel.
Iran kama ndiye alitoa hayo makombora na yakafanya hayo maajabu mbona hajatimiza adhima yake hadi leo mbona kaiacha inapeta?
na kama kweli walipigwa na kakikundi mbona waislamu waarabu wamekalia midomo tu ooooh tunaonewa ooooh wanatulipua oooh twende UN oooh muamala wa karne kwanini wasitumie hizohizo njia wawafumue waondoke?
Pia unatakiwa uelewe sababu yakuundwa kikundi cha HIZBULLAH nikipi ?!Kumbe, unayajua malengo yao kweli na kwanini huwa wanapambana na Israel?
Israel hawajawahi kuwa na mitazamo ya kijinga na kipuuzi kama yakishia hiyo ya KUFUTA.
.
Israel wangekuwa na mipango ya wakosa akili kama hiyo pale kusingekuwa na mpalestina hata mmoja, na wangeshajitanua sana kurejesha maeneo yao ya asili ndani ya inayoitwa Syria.
Mkuu unaiongelea IRAN ama Tunaiongelea ISRAEL vs HZIBULLAH war 2006 !?Ahahahahaha! Sasa Iran alishindwa nini kutimiza adhma yake na wakati kakikundi kadogo kalishinda kwa missiles zake?
Lebanon forms new coalition government, though one that includes Hezbollah
Nevertheless, the United States applauded the development.
Lebanese President Michel Aoun. Credit: Wikimedia Commons.
Lebanese President Michel Aoun. Credit: Wikimedia Commons.
Republish this article
(February 1, 2019 / JNS) After nine grueling months, Lebanon has formed a unity government that includes the U.S.-designated terrorist group Hezbollah, whose allies took
Hezbollah huo uwezo ni kutoka Iran.Hezbollah is generally considered the most powerful non-state actor in the world, and to be stronger than the Lebanese Army. ... The group's strategy against Israel uses rockets as offensive weaponry combined with light infantry and anti-armor units to defend their firing positions in southern Lebanon.
After the end of the war did they remained in southern Lebanon?Hezbollah is generally considered the most powerful non-state actor in the world, and to be stronger than the Lebanese Army. ... The group's strategy against Israel uses rockets as offensive weaponry combined with light infantry and anti-armor units to defend their firing positions in southern Lebanon.
Hezbollah sio Lebanon, ona hata kuzitofautisha huwezi. Mimi nimesema uchumi wa Lebanon wewe unasema uchumi wa Hezbollah.Kwamba uchumi wa Hezbollah ulishuka baada ya kupambana na wazee wa six days war.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio lebanon ni HIZBULLAH ila pia ndio aliefanikiwa sababu alianzisha vita kwamalengo fulani namalengo yake yote yalifanikiwa kwa 100% je ISRAEL alifanikiwa kipi katika ile vita baada yakuanzisha mashambulizi ?!Hezbollah alishambulia convoy ya jeshi la Israel kuteka na akaua. Israel wakapata kisingizio cha kuharibu miundombinu ya roketi zao za masafa marefu.
Lengo la Israel halikuwa kuondoa rocket zenye range fupi, hii huwezi labda utumie wanajeshi wa ardhini. Lengo lilikuwa kuharibu launch sites na depots za rockets zenye range kubwa.
Vita ilipoanza hakuna mpiganaji yeyote wa Hezbollah aliyeingia kwenye ardhi ya Israel, mapigano yaliishia Lebanon. Rockets ndo zilivuka mipaka.
Kwa sasa tiyari Israel wana Iron Dome air defense system ambayo ilizuia mashambulizi ya Hamas ile miaka ya 2013/14. Pia Hezbollah wana rockets nyingi zaidi na zenye uwezo mkubwa, lakini pia Israel ilijifunza kuzuia silaha zisiifikie Hezb badala ya kusubiri zifike ndo izishambulie endapo ikitokea vita.
Lebanon ndo iliumia hasa maana uchumi wake uliharibika sana.
Marekani anaweza akawa anachukua mafuta SYRIA halina ubishi ila mkakati Rasmi ulikua Kumtoa Assad madarakani Nandio maana Obama na Hillary wakati wapomadarakani wakawa wanasema AL ASSAD Must Go1. Haya tuambie Iran ataifuta lini Israel?
2. Na Syria imerudi ilikuwa kwa nani ikaenda kwa nani na imerudi kwa nani?
3. Mikakati gani wanayo Iran we unaijua?
.
Swali lako ni zuri kwanini USA imeshindwa kumuondoa Assad?
Jibu
Kwanza lengo mama la USA kama ulivyo aminishwa ni kumuondoa Assad madarakani, sina taarifa zozote deep za jeshi la marekani ila ni kwamba marekani yuko pale kwa ajili ya mafuta tu anayachukua hachukui?
Hujui kama bado wapo KULE ama ?!After the end of the war did they remained in southern Lebanon?
Utashushaje UCHUMI walebanon wakati tunaongelea ISRAEL vS HIZBULLAH hapa BOSSHezbollah sio Lebanon, ona hata kuzitofautisha huwezi. Mimi nimesema uchumi wa Lebanon wewe unasema uchumi wa Hezbollah.
Mashia akili zenu sijui huwa mnaweka kwenye makobaz.Mkuu unaiongelea IRAN ama Tunaiongelea ISRAEL vs HZIBULLAH war 2006 !?
Mbna hueleweki MKUU ?!
Nini hiki? Sasa kama walifanikisha haya kwa kutumia vikundi vidooogo kwanini wasiende wao Iran front wakamalize mchezo?Hanit ilipigwa kombora linalofahamika kwa jina la C-802 lililo tengenezwa China na kuwa modified na Iran, range yake ni km 120.
Ndipo kombora aina Zelzal-2 na aina ntingine za kombora toka Iran zikaanza kumiminika kwa wingi ndani ya Israel, kombora hizi zilikuwa zinafika sehemu yeyote Israel na pia zilikuwa zinabeba warhead yenye mlipuko wa hali