Ni kheri ufiwe na mzazi kuliko kufiwa na mume/mke

Maneno mazito hayo!

Mkuu natambua upweke ndio janga kubwa KWA sisi wanaume!

Mwanamke yupo tayari aishi na WATOTO wake kama tu mwanamme umeshajenga nyumba !

WANAWAKE ni wabinafsi sana huku wanamme tukisumbuliwa na tamaa!!!!

Jamaa atafute mwanamke mwingine tu!!!!
 
Kama bado wazazi wako wapo hai, endelea kuwaombea sana Mwenyezi Mungu azidi kuwatunza,, baraka walizobeba wazazi wako kwenye maisha yako ni kubwa sana,, all in all pole sana kwa kilichokutokea.
 
huezi kupata ahueni mpaka upate replacement yake, huezi
 
Pole sana mkuu Mungu akupe amani ya moyo wako.

Ila hapo kwa wazazi umezingua kdogo ma'ke wanasemaga mama na baba ndio Mungu wako wa pili baada ya Mungu wa mbinguni.
Wazazi Ni Bora kuliko hata wanao.
 
Baba yupo wapi?

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana
 
Kifo ni Kifo ni mtu alieondoka ambae hutokuja kuonana nae tena

huo uafadhali unatokea wapi sasa na wewe mkuu,kweli ushavurugika

afya yako ya akili inahtaji msaada mkuu,sikulaumu hata kidogo ila naweza

kusema wewe ni mgonjwa kama wagonjwa wengine unahtaji msaada na uangalizi wa karibu sana,sikupuuzi Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…