Ni Kiongozi gani nchini aliingiza Malori 500 Mwezi Machi?

mi nataka hii hali iendelee hiivi au izidi, maana nyinyi watz maskini mlikuwa mnafuata mkumbo pasi kutumia akili. sasa watu wanalamba asali mnabaki kupiga kelele. sasa hamna maji wala umeme.
DUNIANI hauwezi kupendwa na wote hivyo usitulaumu Sana Kwa kumkosoa magufuli
 
Kwenye uzi wa YOGA alimaliza kila kitu kuhusu BORN TOWN.
 
Tuwekee code tuifungue mkuu
 
 

Attachments

  • 372E68F4-0CDC-44AE-A0F3-4B40AA4E8B29.jpeg
    87.7 KB · Views: 2
Huwa napenda mno Watu 'Intelligent' kama Wewe hapa JamiiForums na ambao huwa mna Akili za haraka za Kunielewa GENTAMYCINE.

Mkuu hao ( hawa ) akina MSG siyo tu Chaka la aliyeyaingiza hayo Malori 500 bali pia ni Chaka Kuu za yule Mr. Smiling Mswahili.
Dogo kafungua code
 
Huwa napenda mno Watu 'Intelligent' kama Wewe hapa JamiiForums na ambao huwa mna Akili za haraka za Kunielewa GENTAMYCINE.

Mkuu hao ( hawa ) akina MSG siyo tu Chaka la aliyeyaingiza hayo Malori 500 bali pia ni Chaka Kuu za yule Mr. Smiling Mswahili.
KJM[emoji1787]
 
hahahaha,nimekuelewa chief.hata baadhi ya madereva wanahizi tetesi za mmliki
 
Kuna vyuma vinashushwa vingi mno afu vipya

Angalia SHTL, Ruvuma Coal, Blue Coast, Africarriers, GSM, Usangu, Transcargo

Hawa kwa ujumla wameshusha zaidi ya lori mpya 2000+
Kiongozi hapo ana 50% Share, Mshauri wake Mswahili ana 20% shares na Wageni ( Investors ) wana 30% share yao.
 
hahahaha,nimekuelewa chief.hata baadhi ya madereva wanahizi tetesi za mmliki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…