Ni kisa au mkasa gani uliwahi kufanyiwa na ndugu au mtu wako wa karibu?

Hapana mkuu sio mimi...[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Duuuh....hichi kisa kinanihusu kabisa... ila mi sikufanikisha kama wewe mkuu... Mimi nilifanya na Wakenya , tena ni mwaka jana tu miezi ya mwishoni... tulikorofishana sana , mimi ilikuwa issue ya malipo... daaaah...
Pole na hongera sana mkuu...
 
Hapana mkuu sio mimi...[emoji28][emoji28][emoji28]
Ndio wewe bana toka kule! 😂😂😂

Umepotea kwenye game mdogo wangu kwa kuendekeza mitungi na papuchi a.k.a mbususu za wanawake warembo... Nimenukuu maneno ya baba yako mlezi Mkubwa fella 😅👍🏾
 
Upo sahihi kabisa mkuu! Ni watu wa hovyo sana linapokuja suala la kukubali utendaji mzuri wa mtu mweusi.
 
Jina langu linatosha kukueleza nini ndugu walinifanyia kwa mujibu wa Biblia Takatifu. Kumbuka tu Kaini alimuua ndugu yake Abel kutokana na wivu. Sadaka ya Abel ilikubalika na ya Kaini ikakataliwa. Kwa ufupi maisha kwangu yamekuwa ya misukosuko kutoka kwa ndugu wa karibu.
 
Daahhh .. aseehhhh enhee what was your response?!!!
 
Iv hizi issue za kutesana kwa kukaa aakwa ndg ziko kweli?
Nimekua ndg wanasomea kwetu(ndg wa upande wa mama) sikuwan ona shida yoyote wamepata
Sisi wenyewe tumesomea kwa ndg baba wadogo hapa dar hatujawah pappta shida yoyote
Now kwangu ndg wamepita kibao wengine kusoma na wengine wanakuja mjini kutafuta mishe ya kufanya sijawah ona shida sometime nakaaga na watu siwajui but amna shida
Najiuliza iv unamtesaje mtu? Kama hutak kukaa nae si umwondoe tu ? Na unapomtesa mtu iv kesho yako unaijua kweli?
Baba mdogo aliwah tuambiwa wakat huo tunakaa kwake vijana kama 7 iv wite tunasoma " ukipokea wagen ndani kwako hutakaa upungukiwe chakula kamwe" huu msemo haujawah toka kichwan na niwe mkweli sometime nakaaaga na watu kwangu na hali inakuwa haiko poa biashara haziend but hatujawah kupungukiwa chakula ndani kamwe.
 
Nilijitoa sana hasa kwenye kusaidia ndugu mfano kwenye sherehe zao nilitoa mpaka laki 3 kama mchngo ,cha ajabu siku naoa mimi hakuna aliyetoa hata mia zaidi ya mama aliyetoa akiba yake yote .


Wengine hata kufika hawakufika...
Weka hii kwenye akili yako "usichangie watu ukifikiri na wewe ukitaka kuoa utachangiwa"
 
Nilijitoa sana hasa kwenye kusaidia ndugu mfano kwenye sherehe zao nilitoa mpaka laki 3 kama mchngo ,cha ajabu siku naoa mimi hakuna aliyetoa hata mia zaidi ya mama aliyetoa akiba yake yote .


Wengine hata kufika hawakufika...
Mkuu kweli ukakubali maza atoe akiba yote Kisa shehere ?
 
Ndugu yangu wa mbali kaja mjini kakaa kwangu miezi 2. Cha ajabu alivyoondoka kaenda kunianika kijijini kuwa tunakula wali maharage Kila siku jioni....na Dagaa kabichi mchana na kwamba wife atakua mchoyo!
Aisee
 
[emoji1545][emoji1545]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…