Maboss wengine wananongwaa yaani afisa ulezi kajisahau kidogo tu kajiropokea teyari you're fireeeeed..Juzi tukiwa job dada mmoja akasema amemwondosha afisa malezi baada ya kumuuliza mbona wewe na shem hamuendani
AhaaaaAlikuwa na wowowo kubwa mno la kinyakyusa.
Nilishangaa mno kuona AFISA ULEZI anamiliki MKUNDUH WA HAJA wakati mimi MAMA MJENGO nina vitako vidogo kama HOHO.
Nilimfukuza huku namsimanga sana.
Cc: Poor Brainfundi bishoo Mbaga Jr Half american min -me mimiamadiwenani The Icebreaker
Jamani usingerudi ingekuaje hapo? 😭😭😭watoto Mungu awalinde
Mungu ana njia nyingi sana ya kuokoa watu wake. Majirani kwa nini hawakuwapigia simu wakimuona anaondoka na mabegiNi Mungu tu alinirudisha nyumbani hiyo siku manake sijui ingekuwaje kama wote tungerudi jioni n wife, manake watoto wangeshinda njaa wangelia mpaka wangelala wenyewe tu.. ila baadae tuliweka ndugu pia japo ndugu wana maudhi lakini bora kuwa na ndugu pamoja na dada wa kazi.. akiwa mwenyewe madhara ni makubwa zaidi
Mungu ana njia nyingi sana ya kuokoa watu wake. Majirani kwa nini hawakuwapigia simu wakimuona anaondoka na mabegi
Dduuhhh. Wtt tunaowacha na afisa malezi wanakuwa kwa rehma za Mungu.kuna siku nilirudi home mara moja kuchukua pesa niliyokuwa nimeisahau ili nirudi kazini chap. Ilikuwa kama saa 5 kasoro hivi ile kufika nyumbani nikakuta watoto wangu wawili mmoja ana miezi 8 mwingine miaka 2 wapo wenyewe dada hayupo nikajua kaenda dukani labda. Nikakaa na watoto pale walikuwa hata hawajala wala hawajaogeshwa mana walikuwa bado na nguo za kulalia. Baada ya nusu saa kupita nikampigia wife kumuuliza huyu house girl vipi mbona hayupo na yeye wife alikuwa kazini, akashangaa kuwa hajamtuma popote. Nikwauliza majirani wakasema walimuona katoka asb akiwa na begi.
Kuingia chumbani nikakuta kaiba nguo na viatu vya wife na makorokocho mengine mpaka begi alilochukua ni begi letu na pesa pia nilizokuwa nimezifuata nazo nikakuta kaziiba. Hapo alikuwa ana siku 5 tu tangu aje.
Tulijifunza kutokuacha mlango wa chumbani kwetu wazi na kwa sababu tulikuwa na mtoto mdogo basi kila asb tulikuwa tunamuhamisha mtoto kwenye chumba kingine na kufunga mlango wa chumbani.. Mwanzo tulikuwa tunamuacha mtoto kalala na tulikuwa tunamwambia dada kuwa mtoto akiamka amchukue kisha afunge mlango ndio akapata chansi ya kutuibia.
Hahaha!! Aiseeeeeee!!nina vitako vidogo kama HOHO.
Mungu aliwalinda hakikaDduuhhh. Wtt tunaowacha na afisa malezi wanakuwa kwa rehma za Mungu.
Mie niliwakuta wangu wa miaka 9 na 3 wameachwa na boss wao tangu mchana mpk mie narudi saa 1 usiku. Mdogo keshakula tomato ya chips peptang nusu ya chupa. Mkubwa kalala habari hana maana alikuwa kama pono kwa kulala. Kurudi boss masaa kadhaa mbele nikampa hela yake. Nikamwambia kusanya mizigo yako urudi ulokoenda tangu mchana.
Kuwaambia majirani ndio wananipasha kumbe ndio ilikuwa kazi yake, nikitoka na yeye katoka sema hio siku ndio ilikuwa km fumanizi
Kwenye madalali hapo kazi ipo? Waongo hatariNilochogundua,
1. wazazi wa wadada wa kazi huwa wanajua kabisa matatizo ya watoto wao. Mfano tabia zosizofaa, mpaka wanaamua bora akafanye kazi.
2. Wadada wa kazi wengi tabia zao zinafanana, akili zao sawa, wana akili ndogo kuliko kawaida.
3. Umalaya
4. Ushirikina
5. Wapo wazuri na wanaofanya kazi vizuri, huishia kutoroshwa na majirani.
6. Madalali ndo wanaowaongoza, wanawapa kiburi.
SanaaaJina Zuri sana
😅😅au ungekaacha kwanzaKuna mmoja huyo aliacha sim mezani sjui ni pepo gani lilinituma nisome sms zake, baada ya kufungua sms nikakuta wanachati na Jamaa kanamwambia kuwa boss wake wa kiume anakataka hapo nikashindwa kuelewa boss yupi? Nikahisi labda ni sms za mda kabla hakajafika kwangu ila baada ya kukagua tarehe nikagundua kalikuwa kanamaanisha ni mimi... ile hali sijawahi hata kuonesha dalili za kukataka katoto kakisukuma kana sura ya baba.
Nilipata moto baadae kukauliza kakakosa majibu kakawa kanajing'atang'ata tu, nikachukua video ya ile sms maana kalikuwa na kisim cha batan nikarekodi ile Video kisha nikaitunza wife alipokuja nikamwonesha, hapo akafanya kazi yake ya kukatimua, ila hadi sasa nina shida inabidi nitafte kimeo kingine maana peke yetu hatuwezi.
Namba 5 na 6 zinanitesa sana mm n familia yangu. Kubwa kwa dada wa sasa hapa kwangu ni kugawa vitu kwa majilani sio poa. Pia anaongea na simu kuliko namba 100. Sema tumeagiza mwingine tarehe 10 anakuja watapishana na uyo kimeo w sasa.Nilochogundua,
1. wazazi wa wadada wa kazi huwa wanajua kabisa matatizo ya watoto wao. Mfano tabia zosizofaa, mpaka wanaamua bora akafanye kazi.
2. Wadada wa kazi wengi tabia zao zinafanana, akili zao sawa, wana akili ndogo kuliko kawaida.
3. Umalaya
4. Ushirikina
5. Wapo wazuri na wanaofanya kazi vizuri, huishia kutoroshwa na majirani.
6. Madalali ndo wanaowaongoza, wanawapa kiburi.
Mungu atusaidieNamba 5 na 6 zinanitesa sana mm n familia yangu. Kubwa kwa dada wa sasa hapa kwangu ni kugawa vitu kwa majilani sio poa. Pia anaongea na simu kuliko namba 100. Sema tumeagiza mwingine tarehe 10 anakuja watapishana na uyo kimeo w sasa.
All the best