Ni kitu gani ulichowahi kujuta kukinunua?

Ni kitu gani ulichowahi kujuta kukinunua?

ELFU 25000 YANGUUU [emoji26][emoji25][emoji25]

Kipindi cha 2009 nilikuwa town nazungukaa mara wakapita wa mama wawili nilikuwa nimejisogeza mahali nakulaa yale matunda ya mchanganyiko ya buku. Maana jua lililuwa kalii

Basi nilivyo waona wanapita wame beba ma t shrt makalii sana kiukwelii.. Kwa nilivyo kuwa nawa angaliaa wakajua kabisaa nime yapenda yani kiukweli nilivutiwa nayoo.

Tukaongea beii ma 3 ikanitoka 25000 nikaona sawa tu haina shida nikaweka kwenye mfuko huyoo ghetto.

Nilivyo fika sijauliza nikawaonyesha majaama wakasema hapa kwelii umechagua basi nika weka kwenye ndo nikaloweka nikaja kufua baadaeee jioni sana mda umeenda.

Sasa majanga ni hapa. Natoka nje ile saa 5 sioni t shirt ikabidi niulizee manzii mmoja hivi akasema hajaona hata yeye. basi nikarudi ndani nika waambia jamaa zangu kuwa wameiba zile nguoo.

Jamaa akasema haiwezekani hapa hamna historia ya wizi na yeye akatoka nje akaangalia akaona kuna t shirt 3 akasema muulize mwenye hizi hapa atakuwa kachanganya.

T shirt moja ilikuwa ya damu ya mzee
T shirt nyingine ya kijani ile dark green
T shirt nyingine ya black

Nikasema ngoja niangalie mwenye nazoo hizi,
Sasa kuna kijana ana husika na ishu za ngombe ni kama house boy wa yule mama mwenye nyumba.
Nikamfuata na kumuuliza kuwa mbona umechukua nguo zangu. Akasema hapana yeye alifua juzii.

Kurudi dhaaaa bwana weee kumbe zanguuu yanii zime paukaaa rangi imetoka sijuiiii ziko kama za 1456 .
Yani kama kijani ndo imekuwa kijuvuuu.


Nikamuita jamaa nikamwambia akasema !!!

MR. MJINI SHULE. Akasema kunywa chai usije ukaanza kutapatapa hapa.

Kumbe hii tabia ipo town wamama wale wa mtumba wanamwagia maji nguo zinakuwa kama mbichii rangi inakuwa,imekolea.

Yanii zile nguo niliacha hapo hapo. SITA 4 GET KWA KWELI.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashine ya MAXMALIPO najuta mpaka kesho kutwa

Kadi ya MWENDOKASI hii ina salio la 47,000Tsh ambayo ipo tu

natamani kuitoa ila ndio hivyo siwezi yani hii hela naiangaliaga kwa machungu.

BUGGER niliagiza nile hiki kitu maana nimekua nikiskia tu kuwa ni kitamu sana

ila baada ya kutia mdomoni ile hela yangu iliniuma sana yani.


Kununua Wave ili niweke kichwani nywele zijinyongoroteshe niwe kama muhindi

nilipoweka Wave nywele zikalala kama paka mwenye ujauzito,asee nilivaa kofia mpk ile wave ikapotea

na lile kopo la wave nili litupilia mbali likiwa na wave yake vile vile.

Haaaaa haaaa haaa we umenifanya ni cheke kifala [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Niliwahi nunua “perfume” fulani hivi JD pharmacy pale JMo aseee laki na sitini kipindi hicho, kwa pale nilipenda harufu yake ila nilipofika home ikawa mbaya sana kwangu hata wife hakuipenda na mpaka leo ipo kwenye makorokocho. Nilijutia sana asee.

Vingine vinakuja..
nyama ya binadamu
 
pochi niliyoipenda Sana..nimenunua nikabeba Mara moja ikaja kuazimwa ..dah! Ilirudi imeharibika Sana..najuta kuinunua ile pochi Kuna wakati naiangalia nasema ile pesa ningefanyia kitu kingine nisingeumia hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndio nasikia leo watu wanaazima pochi[emoji38][emoji38]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kipindi kingine miaka ya 2009 niko ndo naingia chuoo nina kama elfu 50 najiona bonge la tajiri na nilikuwa badoo sija anza visanga vya [emoji482][emoji482].

Jamaa zangu wakasema kuwa wanaenda kufanya shopping na mimi nikaungaa sasa kufika town sijuii waliwapigia mademu zaoo wakaja na waoo tukaenda dukani moja kwa moja yale maduka ya classic wearing.

Sasa mmoja wa yule manzi akasema mbona wewe hununuii au umesindikizaa dhaaa!!!!
(Kwa uzuri walikuwa nao na ile kuwa level sawa kama zao)
Nikajikuta na nunua suruali flan matata. Kwa 45 kiukwelii nilikuwa sipo tayariii ila nili nunua.


Kufika ghetto suruari fupiii .

Sita kaa nisahauu na mfukoni nilibakii na 3000 tu

Achaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16] [emoji16] [emoji1]
 
Back
Top Bottom