Pole inabidi upunguze mremboMimi udhaifu wangu ni wivu + hasira mixer kulia yaani nikipiga simu haijapokelewa roho inakua juu akijapokea baadaye naanza hadi kulia nikihisi alikua anachepuka huko then natangaza tuachane tu, baadaye hasira zikiisha ndiyo naanza kujiuliza hivi why nimemwambia tuachane wakati nampenda sana hivi ?narudi namwandikia gazeti la kumuomba msamaha tena na kusisitiza nampenda ni wivu tu wa upendo asiniache. Hamuwezi amini ila niliachwa sababu ya wivu na kulia. Nikabembeleza sana aah hakurudi ng'oo.🤔
Yani tupo sawa sawa yaniUpo kama mimi, mpaka masela kitaa huwa wanajua mimi labda nina matatizo lakini ndivyo nilivyoumbwa. Nikimpenda mmoja basi ni huyo huyo mpaka tu break up! Ila nakua na marafiki wa kike baadhi ili kuyeyushia stress kwa stories tukiachana na nimpendae japokua kumsahau ni mpaka ipite miezi mingi mno, afu siachagi mwanamke mara nyingi mpaka anichoke yeye tu labda.
Yes nimeona inanicost maana nimempoteza kipenzi sababu ya wivu tu😪Pole inabidi upunguze mrembo
Na tatizo la kuachwa halitaisha kwa style hio! Tabia ya kususa susa mtu mzima inanikeraga kichizi 😹😹😹 jifunze kuwa calm! Kila ukipigiwa simu unaleta maswali ya polisi 😅Mimi udhaifu wangu ni wivu + hasira mixer kulia yaani nikipiga simu haijapokelewa roho inakua juu akijapokea baadaye naanza hadi kulia nikihisi alikua anachepuka huko then natangaza tuachane tu, baadaye hasira zikiisha ndiyo naanza kujiuliza hivi why nimemwambia tuachane wakati nampenda sana hivi ?narudi namwandikia gazeti la kumuomba msamaha tena na kusisitiza nampenda ni wivu tu wa upendo asiniache. Hamuwezi amini ila niliachwa sababu ya wivu na kulia. Nikabembeleza sana aah hakurudi ng'oo.🤔
Haujampoteza sababu ya wivu bali nae jamaa alikuwa anatafuta sababu mimi nina wivu kama wako sema kuna siku babe aliniwakia akanipa onyo nisirudie nipunguze sasa hivi naugulia kumoyo😅😅Yes nimeona inanicost maana nimempoteza kipenzi sababu ya wivu tu😪
Dah haya basi naacha jamani, mimi kiukweli now nimeacha siulizi chochote na hata usipopokea simu week haina shida eeh furahia sasaNa tatizo la kuachwa halitaisha kwa style hio! Tabia ya kususa susa mtu mzima inanikeraga kichizi 😹😹😹 jifunze kuwa calm! Kila ukipigiwa simu unaleta maswali ya polisi 😅
Hiyo inatokea tatizo kujizuia ufanye juhudi hasaaaNa tatizo la kuachwa halitaisha kwa style hio! Tabia ya kususa susa mtu mzima inanikeraga kichizi 😹😹😹 jifunze kuwa calm! Kila ukipigiwa simu unaleta maswali ya polisi 😅
Week mimi siku moja kwangu haiwezekani nitalalamaDah haya basi naacha jamani, mimi kiukweli now nimeacha siulizi chochote na hata usipopokea simu week haina shida eeh furahia sasa
Nahisi maana eti ameniacha sababu ya wivu na kulia tu kweli haimake sense kabisa. Basi tu muacheHaujampoteza sababu ya wivu bali nae jamaa alikuwa anatafuta sababu mimi nina wivu kama wako sema kuna siku babe aliniwakia akanipa onyo nisirudie nipunguze sasa hivi naugulia kumoyo😅😅
Hio hali inakera yani, mwanamke wa aina yako ndio wale mkizama penzini mwanaume hutaki atoke ndani sababu unataka mkae wote muda wote!Nahisi maana eti ameniacha sababu ya wivu na kulia tu kweli haimake sense kabisa. Basi tu muache
Ngoja akakutane na vicheche atarudi kwako kwa kilio si bora sie wenye wivu ila watulivu kwenye mahusiano😜Nahisi maana eti ameniacha sababu ya wivu na kulia tu kweli haimake sense kabisa. Basi tu muache
Kama weekend anaenda wapi kwa mfano😜Hio hali inakera yani, mwanamke wa aina yako ndio wale mkizama penzini mwanaume hutaki atoke ndani sababu unataka mkae wote muda wote!
Mmh nisijipe moyo hapo dear! Hawezi kurudi amepata mwingine bonge la pisi mtoto mzurii, hawezi kurudi kwa mkulima mimi😂😂Ngoja akakutane na vicheche atarudi kwako kwa kilio si bora sie wenye wivu ila watulivu kwenye mahusiano😜
Duh ndiyo usitoke ndani ama utoke ila uwahi kurudi nikuogeshe na machicha ya nazi, nikumarinate kama makange,nikukande mgongo😂😂😂 yaani mwenyewe utawahi kurudi homeHio hali inakera yani, mwanamke wa aina yako ndio wale mkizama penzini mwanaume hutaki atoke ndani sababu unataka mkae wote muda wote!
Unazungumzia uzuri wa nje au ndani mapenzi yana vitu vingi mtu akikukumbuka anasema yesssMmh nisijipe moyo hapo dear! Hawezi kurudi amepata mwingine bonge la pisi mtoto mzurii, hawezi kurudi kwa mkulima mimi😂😂
How it feels kuona Ex wako yupo na mtoto mkali kukuzidi😪😪
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmh nisijipe moyo hapo dear! Hawezi kurudi amepata mwingine bonge la pisi mtoto mzurii, hawezi kurudi kwa mkulima mimi[emoji23][emoji23]
How it feels kuona Ex wako yupo na mtoto mkali kukuzidi[emoji25][emoji25]
😀😀😀Eti mpendwa ana kuvumilia kwa kipi wifii yetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana kalumbu
Kalumbu unanicheka mwee🤔 nimesema tu ukweli mimi simfikii yule babe wake mpya hata robo yaani, ila fresh tu namimi ntapata bonge la bwana kumzidi yeye😜(najifariji)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana kalumbu
Hapo Mi nimeona uzuri wa nje dear huko ndani watu si huwa wanavumiliana tu🤔Unazungumzia uzuri wa nje au ndani mapenzi yana vitu vingi mtu akikukumbuka anasema yesss