DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Kuchelewa kuja dsm hakika ningebidi Kupata PhD 2021
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kampeni yetu,Ile Ile ya ubachela suguKATAA NDOA KIJANA.
NDOA NI UTUMWA.
Ndoa niliyowahi kufunga.Habari zenu wananchi wa Taifa la Jamii Forum, Leo katika kutafakari kwangu nimewaza sana haya maisha kuna ups and down nyingi sana ambazo zingine zina utata sana kutokana na makosa tuliyoyafanya huko way back na unatamani kuwasaidia wengine wasirudie makosa hayo, Ni kosa gani kubwa ulilifanya kipindi cha maisha yako na ungependa wengine wajifunze wasikosee ?
Kwani umefungiwa hapo mbona kuacha ni vyepesi sana kama umejipanga .wanaacha sana tuKukimbilia kuajiriwa Serikalini na kuacha kabisa mishe nilizokuwa nafanya kabla ya kaujiriwa
Kuamini ana chura kufika ndani kumbe kavaa kigodoro.
Hii imewakumba wengiKukimbilia kuwa na familia mapema kabla sijajiweka vyema kifedha.
Nimekwama mambo mengi ada unastruggle , chakula unastruggle, kodi unstruggle.
Huwezi kujilipua tena unakuwa na limit ya tyme in short ukishakuwa na familia maisha yanabadilika sana.
Bado napambana nije kuishi maisha ya ndoto yangu ingawa mpambano ni mkali sana.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]kushawishika kusomea kozi mpya ya procurement kwa kigezo chakupata ajira kirahisi[emoji28][emoji28]
kudate mwanaume asie na ela kwa kuamini tutachuma wote [emoji31][emoji31]
Chura acha uongo!Kushabikia Simba,
Ila asaivi nime silimu nimekuwa mwananchi
Most 15milion baada ya kumuoa mwanamke asiye na future wala nini! Mungu mlaani but now nazidi kurecoverHabari zenu wananchi wa Taifa la Jamii Forum, Leo katika kutafakari kwangu nimewaza sana haya maisha kuna ups and down nyingi sana ambazo zingine zina utata sana kutokana na makosa tuliyoyafanya huko way back na unatamani kuwasaidia wengine wasirudie makosa hayo, Ni kosa gani kubwa ulilifanya kipindi cha maisha yako na ungependa wengine wajifunze wasikosee ?
Na naniMim sijutii kitu, Namshukuru Mungu kwa kila hatua nayopitia cz ndio njia niloandikiwa.