Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
1. Kutokupata kumaliza degree kwa muda maalum accordingly.
Nilipostpone Masomo kisa biashara. Na nilikua nimeshafika mwaka wa pili.
Nikarudi miaka miwili baadae , nilisoma kwa shida , nikamaliza kwa shida. kama una nafasi ya kusoma soma muda huo kijana usicheze na muda.
2. Ukiona unaweza kuzaa au kuzalisha. Zalisha mtu sahihi. Tuliza kichwa. Majuto yake ni hatari, haswa kama hujajipanga. Though upande wangu nilijuta kuzaa na mwanamke aliyekua wakupita tu. Nikaachana na chuma nilichokua mimekielewa na nilikua tayari nimeshawekeza maisha yangu, nilipoteza mwanamke na mali.
Nilianza upya maisha. kijana jitahidi sana hisia, kupunguza, jitahidi sana uzae ukiwa na mipango na maamuzi yako binafsi si ya rafiki wala mpenzi wako.
3. Ukipata hela miradi na mipango ni mingi usisubiri kwamba utaja pata mbeleni. Hicho ndicho chenyewe. Niliwahi pata hela nyingi sana nikiwa bado 20-25 nikachezea sana.
Nilipata shida sana kuzipata after miaka hiyo, bata la kila aina. Wanawake, roadtrips na marafika starehe za sinza zilinikoma. Kijana kua makini na starehe, fany huku unawekeza. Laki ni pesa kubwa sana.
4. Na mwisho, ujanja ujanja, umenicost sana, mbele ya wazazi ndugu na marafiki, kijana usiwe much know. Hii hupoteza sana muda, uwongo. Umenicost sana. Kijana jitahidi sana hapo.
Zaidi Thread tamu sana hii.
Nilipostpone Masomo kisa biashara. Na nilikua nimeshafika mwaka wa pili.
Nikarudi miaka miwili baadae , nilisoma kwa shida , nikamaliza kwa shida. kama una nafasi ya kusoma soma muda huo kijana usicheze na muda.
2. Ukiona unaweza kuzaa au kuzalisha. Zalisha mtu sahihi. Tuliza kichwa. Majuto yake ni hatari, haswa kama hujajipanga. Though upande wangu nilijuta kuzaa na mwanamke aliyekua wakupita tu. Nikaachana na chuma nilichokua mimekielewa na nilikua tayari nimeshawekeza maisha yangu, nilipoteza mwanamke na mali.
Nilianza upya maisha. kijana jitahidi sana hisia, kupunguza, jitahidi sana uzae ukiwa na mipango na maamuzi yako binafsi si ya rafiki wala mpenzi wako.
3. Ukipata hela miradi na mipango ni mingi usisubiri kwamba utaja pata mbeleni. Hicho ndicho chenyewe. Niliwahi pata hela nyingi sana nikiwa bado 20-25 nikachezea sana.
Nilipata shida sana kuzipata after miaka hiyo, bata la kila aina. Wanawake, roadtrips na marafika starehe za sinza zilinikoma. Kijana kua makini na starehe, fany huku unawekeza. Laki ni pesa kubwa sana.
4. Na mwisho, ujanja ujanja, umenicost sana, mbele ya wazazi ndugu na marafiki, kijana usiwe much know. Hii hupoteza sana muda, uwongo. Umenicost sana. Kijana jitahidi sana hapo.
Zaidi Thread tamu sana hii.