Tuko wengi mkuu...maumivu ni makali sana nikikumbuka sitaki hata kusikia habari za wanawake tenaNilipoteza al
Most 15milion baada ya kumuoa mwanamke asiye na future wala nini! Mungu mlaani but now nazidi kurecover
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuko wengi mkuu...maumivu ni makali sana nikikumbuka sitaki hata kusikia habari za wanawake tenaNilipoteza al
Most 15milion baada ya kumuoa mwanamke asiye na future wala nini! Mungu mlaani but now nazidi kurecover
Walio okoka hawako duniani.Hata Mimi nilichelewa kuijua kweli.
Nimeokoka na kumjua Mungu nikiwa na miaka 20. Sasa Nina miaka 10 ya wakovu.
Mjueni sana Mungu Ili muwe na Amani ndivyo Mema yatakavyowapata.
Ayubu20:21.
Wakujue Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristu uliyemtuma.
Yohana 17:3
Aisee kwa sasa umeamua uwe chawaKuuza drugs.
Niliacha baada ya kuwekwa bondi ughaibuni.
Hiyo picha inanitesa kwa miaka.
Nashukuru Mungu sasa hivi unifanyishi dili haramu. Never ever
Mkuu fafanua zaidiSio mbaya kuonyesha uwezo wako mbele za watu, ila kuwa makini kwani wengine si wema.
👉Uwezo in term of👉
👉Akili,kipaji,kazi au hata mafanikio
Imenikuta hii, na nimejifunza aisee. Hope nitachomoka katika hilii
Sasa kama unajitambua si uacheNajutia kusoma Seminary , nimekuwa mpinga Mungu.
Wasia wangu kwa vijana wenzangu, tumieni umri wenu vyema kila moyo wako unapopiga basi umeshapunguza idadi katika ile hesabu maalumu uliyoandikiwa, msihangaikie sana hii dunia kwani kwa namna yeyote hamuwezi kutoka hapa mkiwa hai.
Jambo la pili, mkitaka amani ya kudumu katika nyoyo zenu toeni viumbe wote na mumtie mola wenu aliyewaumba peke yake, hapo atawapatia wenza wazuri na wenye mapenzi kutoka kwake, atawapatia maisha mazuri na yenye kuwatosheleza, atawazidishia furaha na baraka katika maisha yenu, lakini mkirundika virus na bakteria wa kila aina humo ndani mtajuta na mtazidiwa na stress mpaka kupoteza muelekeo jumla.
Mwisho, ninajuta sana kuchelewa kugundua siri ya maisha ya furaha, nimetumia umri wangu kwa sehemu kubwa kuhangaika kuokota mawe kumbe pana mahali almasi zimejaa tele, kwa hasara hii kila mara nawaeleza watu wa karibu na ndugu jamaa na maraf
Wewe mwenyewe hujatoa ya kwako,then unataka wengine watoe...si kuchorana huku?Habari zenu wananchi wa Taifa la Jamii Forum, Leo katika kutafakari kwangu nimewaza sana haya maisha kuna ups and down nyingi sana ambazo zingine zina utata sana kutokana na makosa tuliyoyafanya huko way back na unatamani kuwasaidia wengine wasirudie makosa hayo, Ni kosa gani kubwa ulilifanya kipindi cha maisha yako na ungependa wengine wajifunze wasikosee ?
Nilipoenda na furushi langu la bangi Oysterbay Polisi, ili niwauzie FFU, maana niliwaona sehemu wakilipuliza, hivyo nikaona ni busara nikiwapelekea mzigo wa jumlaHabari zenu wananchi wa Taifa la Jamii Forum, Leo katika kutafakari kwangu nimewaza sana haya maisha kuna ups and down nyingi sana ambazo zingine zina utata sana kutokana na makosa tuliyoyafanya huko way back na unatamani kuwasaidia wengine wasirudie makosa hayo, Ni kosa gani kubwa ulilifanya kipindi cha maisha yako na ungependa wengine wajifunze wasikosee ?
Acha tu ndugu yangu maumivu niliyonayo wallah ni funzo tosha binadamu ni viumbe ambao ukiwaamini saana na kuwapenda saana basi jiandae kutendwa tena tendo moja takatifu.Kosa kubwa sana hil, dah kweli binadamu unamwambia mwenzio huna mbelw wa nyuma kama mche wa sabuni! Hakika kumpenda yule mwanamke ndio lilikuwa kosa kubwa sana
Kwa hili mkuu, wacha nikuunge mkono. Ningekuwa mbali sana kimaishaKusoma mpaka chuo kikuu badala ya kwenda VETA.
I regret this too! Bora ningelisomeaga kitu nachopenda VETA au chuo chochote cha kawaida mradi nitimize malengo kuliko kusoma mpaka University nimewaste time sana kwakweli... But now ndo nmekuja kustuka nilikosea..Kusoma mpaka chuo kikuu badala ya kwenda VETA.
Kamwe ucjutie maamuzi ykoI regret this too! Bora ningelisomeaga kitu nachopenda kuliko kusoma mpaka University nimewaste time sana kwakweli... But now ndo nmekuja kustuka nilikosea..
Hawa jamaa
WanachukizaTuko wengi mkuu...maumivu ni makali sana nikikumbuka sitaki hata kusikia habari za wanawake tena
Wewe ndo wale wanaoamini umasikini na utajiri ni mpango wa Mungu?Mim sijutii kitu, Namshukuru Mungu kwa kila hatua nayopitia cz ndio njia niloandikiwa.