Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Ulipigwa tukio au?niliona ni upumbavu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipigwa tukio au?niliona ni upumbavu,
hapana bana, sikuwahi oa, nimejarib kuvaa viatu vya jirani zangu hapaUlipigwa tukio au?
Sio kweli mkuu. Kosa lako kubwa umesema ni kuoa, na wala sio jirani yako kuoa 😅😅😅hapana bana, sikuwahi oa, nimejarib kuvaa viatu vya jirani zangu hapa
mi ni smart, siwezi nunua kiumbeSio kweli mkuu. Kosa lako kubwa umesema ni kuoa, na wala sio jirani yako kuoa 😅😅😅
Kushabikia Simba,
Ila asaivi nime silimu nimekuwa mwananchi
Kuna binti nilikutana nae miaka miwili iliyopita sasa hivi najuta kukutana nae, najuta kumfaham, najuta kumuingiza kwenye maisha yangu. Japo tumeshaachana lkn mpaka leo najuta
Kaishi kwa demu uliyemuhonga nyumbaNmejuta kuna kipind nlikuwa na hela mpk nkamuhonga nyumba demu ila ss ivi nakaa chumba kimoja cha kupanga tena kila kitu ndani humo kama stoo 😢😥😢😥
Mliooa ndo mnagongwa kwelikweliKAMPENI YAKO SIO NZULI KIJANA. AKIKATAA KUOA UNATAKA AOLEWE YEYE AFANYWE PAPAI
Unawaangalia kwa mbali wakiteseka 😅😅mi ni smart, siwezi nunua kiumbe
naishi na majirani ambao wana ndoa, wana maisha ya ovyo sana, hadi unashangaa ni mkewe au dada yake
yaani ilimradi tu siku ziende
kibunda changu cha mahari naenda kukamua Makange ya Mbuzi kila Ijumaa Tabata, swaafi kabisaUnawaangalia kwa mbali wakiteseka 😅😅
Unawaacha wao wanagombana kila siku, lakin bado wanalazimika kuendelea kuishi pamoja 😅kibunda changu cha mahari naenda kukamua Makange ya Mbuzi kila Ijumaa Tabata, swaafi kabisa
hahaha jamaa anachimbiwa beat anaenda lala lodge ( tena kwa mkopo )Unawaacha wao wanagombana kila siku, lakin bado wanalazimika kuendelea kuishi pamoja 😅
Kupanga ni kuchagua lakini. Jamaa labda anavitu vinavyomfanya avumilie hayo 😅hahaha jamaa anachimbiwa beat anaenda lala lodge ( tena kwa mkopo )
hapana aisee, mimi ningeshachinja mtu na kwenda kuwa nyapara kule Segerea
anaogopa pasu kwa pasuKupanga ni kuchagua lakini. Jamaa labda anavitu vinavyomfanya avumilie hayo 😅
To think that my father was wrong, sasa nimejua kuwa he was right wakati tayari nina mtoto anayefikiria kuwa her father is wrong. 💥Habari zenu wananchi wa Taifa la Jamii Forum, Leo katika kutafakari kwangu nimewaza sana haya maisha kuna ups and down nyingi sana ambazo zingine zina utata sana kutokana na makosa tuliyoyafanya huko way back na unatamani kuwasaidia wengine wasirudie makosa hayo, Ni kosa gani kubwa ulilifanya kipindi cha maisha yako na ungependa wengine wajifunze wasikosee?
😅😅😅 Noma sanaanaogopa pasu kwa pasu
maana wana kiwanja+kibanda jirani, na uchumi wenyewe tia maji tia maji
anaona bora liende
Yaani najuta hahahahaaa....Ukome