Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Oy big bro Analyse leo ndo nimejua kwanini mwenyekiti wa chama Cha sheria mkononi dronedrake huwa ana makasiriko juubya ndoaniliona ni upumbavu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oy big bro Analyse leo ndo nimejua kwanini mwenyekiti wa chama Cha sheria mkononi dronedrake huwa ana makasiriko juubya ndoaniliona ni upumbavu,
Yeah, me mwenyewe leo ndio nimejua. Japo amejaribu kukataa 😅😅Oy big bro Analyse leo ndo nimejua kwanini mwenyekiti wa chama Cha sheria mkononi dronedrake huwa ana makasiriko juubya ndoa
Kilikukuta nini tena ??, Young princess arianakuwa mtu wa haki..
Dunia haina haki ukipata nafasi ya kufanya jambo kujinufaisha jinufaishe tu kwakweli..
Legacy ya ndoa ili msurubisha msalabani AnalyseYeah, me mwenyewe leo ndio nimejua. Japo amejaribu kukataa 😅😅
hapana, ila ilikua bado kiduchu tu, na ningeingia humo, wallahi yule takataka angerudisha mahari na pesa za shereheYeah, me mwenyewe leo ndio nimejua. Japo amejaribu kukataa 😅😅
Mkuu, huko juu kuna mwamba inaonekana currently ndoa yake inamtesa. Kaja ananiwakia sana, kisa nimemwambia uoe 😅😅hapana, ila ilikua bado kiduchu tu, na ningeingia humo, wallahi yule takataka angerudisha mahari na pesa za sherehe
nawaonea huruma sana ME walio kwenye ndoa
nimeona, wala simlaumu, hawezi chomoka kuogopa assets splitMkuu, huko juu kuna mwamba inaonekana currently ndoa yake inamtesa. Kaja ananiwakia sana, kisa nimemwambia uoe 😅😅
Mwamba anajazba za kiwango cha sgr 😅😅nimeona, wala simlaumu, hawezi chomoka kuogopa assets split
japo ana lengo zuri, asiyeingia ASIINGIE
Ahsante sana ...Niliwahi kukosea pia hapa nilikuwa talented kwenye fani fulani nikajindai kuonyesha hadharani na kila mtu alikuwa anajua finally kilichonipata najuta.Kumbuka mafanikio ni Siri, na Siri ndo mafanikio yenyewe. Sirudii tena
Vp hii biashara?Kufanya biashara ya miamala badala ya vifaa vya umeme jumla na reja.
Hakika nakuwaga na majuto kwa kuchelewa kuianza hii biashara.
Nawaza nimepoteza 3 years kwa miamala na hakuna kitu nimevuna.
Nahitaji wakala wa SMP TAA
Hivi bado ipo hii bar pale kino?Najuta kushobokea ma baamedi 4ways Kinondoni kisa wanamakalio makubwa wanachuna bila huruma wana hakikisha umetoka na mapumbu tu huna hata mia
Heshimu mmeo kazi unaweza kufukuzwa hata kesho ila mmeo atabaki na weweNajuta kumthamini mume kuliko Kazi, ningekuwa mbali sana kwenye Kazi yangu, Ila nikajifanya naendekeza mapenzi....
Ipo sana hata ukijifanya mgumu wana mbinu nyingi za kukujaza kwenye 18 zao mhudumu pisi kali kavaa ki shot paja nje anakuhudumia huku anakusiginia tako lakeHivi bado ipo hii bar pale kino?