Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

Kamwe ucjutie maamuzi yko
Hayakua maamuzi yangu mkuu zilikua influences za wazazi na ndugu kwenda huko elimu ya juu.. Shule nzima niliyosoma baada ya interview tulipita wanafunzi wawili tu hiyo interview ya wale wazungu kati ya watu 200, nilipataga hiyo bahati ya nafasi ya kwenda kusomeshwa Electrical Engineering na kampuni ya madini ya Barrick daah mzazi akazingua akaforce niende University! lakini nlkua napenda sana mambo ya mechanics na umeme ila ndio hivyo tu.
 
Hayakua maamuzi yangu mkuu zilikua influences za wazazi na ndugu kwenda huko elimu ya juu.. Shule nzima niliyosoma baada ya interview tulipita wanafunzi wawili tu hiyo interview ya wale wazungu kati ya watu 200, nilipataga hiyo bahati ya nafasi ya kwenda kusomeshwa Electrical Engineering na kampuni ya madini ya Barrick daah mzazi akazingua akaforce niende University! lakini nlkua napenda sana mambo ya mechnics na umeme ila ndio hivyo tu.
Jivunie iyo elimu ya juu uliyo nayo maan siku ukitoboa uta enjoy sana ni swala la mda tuu. Maan ukiwa na elimu ndogo hata kama ukipata fursa utatumikishwa tuu ovyoovyo kwaio kaka ni swala tuu la mda. Amini utakuja kutoboa alafu hutoamini
 
Tuko wengi mkuu...maumivu ni makali sana nikikumbuka sitaki hata kusikia habari za wanawake tena
Hawa viumbe hawafai sio wa kuwapa kipaumbele

Tulikuwa kwenye long distance relationship na manzi akaniaambia atakuwa na likizo nikamtumia nauli ya kuja Dar na kurudi mkoa aliokuwa anafanya kazi ili wiki mbili za likizo niichakate mbususu.

Tukawa tunachat jinsi tutazagamuana mastyle na mautundu yote tutakayoonyeshana.

Alipofika Dar kwa wazazi wake mtu wa kwanza kumtunuku alikuwa ex wake nusura nilie mtoto wa kiume.
 
Back
Top Bottom