stopperjoseph
Senior Member
- Dec 9, 2018
- 198
- 216
Kutatengenez bomo la nuclearKuchanganya pombe kali na skanka , alafu msosi adimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutatengenez bomo la nuclearKuchanganya pombe kali na skanka , alafu msosi adimu
Mkuu mi mwenyewe kwenye kumaanisha hap naona kabisaa najipiga fix...Hiv unawezaje kumaanisha chief?Kuchelewa kumjua Mungu kwa kumaanisha...
Mungu anakuona
UkomeNajuta kuwa na watoto wa nje ya ndoa yangu.
SMP TAA ndio wakala wa nini?Kufanya biashara ya miamala badala ya vifaa vya umeme jumla na reja.
Hakika nakuwaga na majuto kwa kuchelewa kuianza hii biashara.
Nawaza nimepoteza 3 years kwa miamala na hakuna kitu nimevuna.
Nahitaji wakala wa SMP TAA
Ahsante kwa ONYO mkuu.Kukimbilia kuwa na familia mapema kabla sijajiweka vyema kifedha.
Nimekwama mambo mengi ada unastruggle , chakula unastruggle, kodi unstruggle.
Huwezi kujilipua tena unakuwa na limit ya tyme in short ukishakuwa na familia maisha yanabadilika sana.
Bado napambana nije kuishi maisha ya ndoto yangu ingawa mpambano ni mkali sana.
Ahsante kwa ONYO mkuu.Kumuamini mtu kupita kiasi kujaribu kumridhisha na kumpenda mtu asieijua dhamani yako kamwe usije kufanya haya mambo utajutia kupoteza muda wako binadamu hawana shukrani
Mkuu naomba tafadhali ufafanue tujifunze..Kuchelewa kumjua Mungu kwa kumaanisha...
NAKAZIA HAPA... Hili ni jambo muhimu sana sana sana..dawa ya hii ni kuwa mkimya kupita kiasi...Kuamini watu kupita kiasi:
Naamini kabisa huwezi zungukwa na marafiki mda wote. Kuna wengine wanaokuzunguka si watu wazuri. Mfano watu ambao wanakusengenya na kukusemea mabaya. Watu ambao hawataki mafanikio yako. .
Kuruhusu watu wajue mapungufu yako:
Wanafamilia au watu wa karibu pale wanappjua mapungufu yako wanayatumia kama fimbo ya kukuchapia. Angalia sana wa kumwelexa mambo yako. .
POLE mkuu.Nmejuta kuna kipind nlikuwa na hela mpk nkamuhonga nyumba demu ila ss ivi nakaa chumba kimoja cha kupanga tena kila kitu ndani humo kama stoo
Kosa kubwa sana hil, dah kweli binadamu unamwambia mwenzio huna mbelw wa nyuma kama mche wa sabuni! Hakika kumpenda yule mwanamke ndio lilikuwa kosa kubwa sanaKumuamini mtu kupita kiasi kujaribu kumridhisha na kumpenda mtu asieijua dhamani yako kamwe usije kufanya haya mambo utajutia kupoteza muda wako binadamu hawana shukrani