Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

Kumuoa mke wangu
 
Sasa mlikuwa mnagegedanaje...maana bila hisia ata mbususu hailowi 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hii nambari 3 ndio yenyewe. Aisee vijana tukipataga hela kwanza tu atakaga kupoza machungu ya kutoswa na mademu wakati tulikuwa hatuna ndalama...hapo wee ni mbususu mbususu na wewe. Usemalo kweli kabisa tunadhani zitakujaga tuu ila ukweli maisha ni kupanda na kushuka. Vijana tuwe makini na hizi mbususu, tamu kweli kweli na zichakate kweli kweli upatapo nafasi ila Fanya hivyo kulingana na urefu wa mfuko wako.
 
Halafu mbususu zinatabia ya kuleta mikosi hela zinakatika!!

Hasa mbususu za malaya, ogopa sana malaya!!
 
Halafu mbususu zinatabia ya kuleta mikosi hela zinakatika!!

Hasa mbususu za malaya, ogopa sana malaya!!
Hamnaga kitu kama hicho wewe....hela zinakata kwa sababu unawekeza hela nyingi huko kupitia uwezo
 
Ni kosa gani kubwa ulilifanya kipindi cha nyuma cha maisha yako na ungependa wengine wajifunze ili wasikosee?
Usijiddanganye mwanamke akuambie anakupenda, ukaingia kwenye 18 zake ukampa mimba ...utadata
 
Kuna mwanamke mmoja nilimpenda kupita kiasi. Hili ni moja ya kosa kubwa nililowahi fanya maisha yangu yote. Kuachana nae ilichangia sana kuharibu maisha yangu. Japokuwa sasa niko sawa kiana, Ila huyu kiumbe alijua kunitesa.
 
Kuamini kuwa mwanamke anayejibu kwa dharau na matusi kuwa ipo siku atabadilika. Sintasahau maisha yangu yote ila sasa maisha yanaendelea. Mwanamke akikupenda huwa ananyenyekea hadi basi jamani.Sasa hivi nafirahia maisha nawasihi vijana usijaribu kuvumilia mwanamke ambaye unategemea kuanza nae maisha akikudharau kwa namna yoyote, kimbia na usigeuke nyuma.
 
Kutengeneza kibubu cha chuma, sintasahau kilichonitokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…