baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Hivi kuna Cheo kikubwa kwenye Nchi kushinda Kiongozi wa Nchi Raisi, Sultani, Emir etc?Leo hii nchi ya arabs anaweza tokea mtu mweusi kuwa miss, Morocco tu hio walikuwa wanaongea ubaguzi tu kombe la dunia, akili hamna ndio maana mzungu anawabonda huko middle East.
Waislam tuna vigezo vya Kiislam vya kuoana.Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.
Shida inakuja kwa kina waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslaho aidha uwe na cheo kikubwa ama uwe na pesa nyingi sana.
Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwatolea nje.
Ukiwa kwenye Respectable Family unaoa familia ya kiarabu, vitu kama dini, Ukoo wako, Uwezo wako wa kifedha vina uzito sana kwenye Ndoa za Kiarabu.Ukitaka umpate muarabu kirahisi awe mjane au muarabu wa Pemba.
Fact. Ubaguzi ni kitu cha kawaida tu watu wanakipa airtime. Mimi nilibaguliwa sana nilivyobahatika kwenda nje wala nikawa sitilii maanani mpaka jamaa wakaacha kunibagua tukawa tunabonga fresh. Yaani nilikua siumii kabisaaaa mradi yangu yanaenda.Ndio iko hivyo, tit for tat,
Sio unabaguliwa unalia, ukibaguliwa na wewe bagua maisha yanaenda mbele.
Hio ni picha baada ya Ndoa ukweni, hii picha ya Tunisia kama shida ni kuona Ndugu wa MkeMbona wapo waafrika tu, binti ndugu zake walisusa kuja au?
Kuwekeza kwenye bandari sio kwamba wanakuja kutusaidia bali na wao wanataka kunufaika ndio maana wanajipendekeza kuweka picha ya SSH kwenye mnara pale Dubai, kwani wawekezaji ni wao pekee?Una chuki nao kisa hawana elimu lakini wamekupita maendeleo!! Hao wasiokua na elimu si ndio dada zako wamejazana huko kufanya kazi za ndani? Wasiokua na elimu ndio wanakuja kuwekeza kwenye bandari yenu,
Je na sisi tupo kundi gani???
Msikiti gani na uko sehemu gani?Sipo kuichafua Dini yangu ila hawa Jamaa ni next level.... niliingiaga Msikiti wao kwa kweli nilipata tabu sana... kukaa Mstari mmoja na Mtu mweusi kwao hawataki na ukikaa nao utaona wanavyosegea na kuacha nafasi kubwa kati yao na wewe.... wakiingia Msikitini wote wewe ukija wakikuona kufunga Mlango si jambo la kushangaa
Waache waendelee kukalia majungu, umbea na malalamishi mtandaoni huku wanaume wenzao wakitafuta namna ya kutawala dunia.Ila sishangai....unajua ukitaka kitu ukiongezee thamani kiwe mysterious in any way....na ndio maana dhahabu ikawa na thamani kwa kuwa kuipata kwake ni tabu....dhahabu huamsha mapenzi nayo na chuki pia kwa sababu ya kutoipata.
Watu hupenda kuyajua vyema magenge na makundi ya Siri....wasipoweza kuwepo humo...huchukia [emoji1787][emoji1787]
Ndio hao waarabu....mtoa mada kwa kuwa anawaona tu "vichuna" mabarabarani...wakiwa na vibaibui ,abaya ,nikab n.k....akiwatongoza na kumkatalia basi anajawa na chuki nao...chuki yake inawafikia mpaka hawa DP WORLD wawekezaji kutoka Dubai.
#MamaAnaupigaMwingi[emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hao ni arabs weusi wapo wengi tu, nenda ka google tena.Hivi kuna Cheo kikubwa kwenye Nchi kushinda Kiongozi wa Nchi Raisi, Sultani, Emir etc?
Kama kuna Maprince, Masultan na viongozi wengine wenye Asili yq Africa kwenye Hizo nchi kuna Cheo gani kinapita Hivyo.
Sheikh saad aliekua Amir wa Kuwait
View attachment 2656199
Qaboos Sultan wa Oman aliefariki Karibuni
View attachment 2656201
Mdosi umemsahauIla ubaguzi wa Wa-Italy, Warusi, Germany na Waarabu ni next level.
Waarabu walikubaguwa nini?Ila ubaguzi wa Wa-Italy, Warusi, Germany na Waarabu ni next level.
Mila na desturi zako tofauti. Waarabu waliopoTanzania wengi wao, mila na desturi zao ni Uislam na katika Uislam kuna vigezo vyake vya kuoana.Hata hao waarabu wa Tinde na Bukene,wanaolewa na weusi wenye mawe tu.
Na huo uzao chotara hupitia changamoto ya ubaguzi ukijumuika kwenye shughuli za ukoo wao kule ujombani.
Hakika [emoji106]Waache waendelee kukalia majungu, umbea na malalamishi mtandaoni huku wanaume wenzao wakitafuta namna ya kutawala dunia.
Ukiona wanalia lia ooh TunABaGuliWa ujue wamekosa namna ya kutembea na wanawake hao hakuna sababu nyingine ya msingi.
(Ila siungi mkono mambo ya Dp World)
Ubaguzi tu, hamna cha vigezo, usisingizie uislamu.Mila na desturi zako tofauti. Waarabu waliopoTanzania wengi wao, mila na desturi zao ni Uislam na katika Uislam kuna vigezo vyake vya kuoana.
Ukiona umekataliwa basi elewa kuwa hivyo vigezo hujakidhi. Ulie tu.
Wangekua hawana elimu wasingekuja kuwekeza kwenye bandari na mbuga zenu, ni aibu kwa mtu anayejiona ana elimu kutawaliwa na asiye na elimu tangu karne ya 9 huko hadi leoKuwekeza kwenye bandari sio kwamba wanakuja kutusaidia bali na wao wanataka kunufaika ndio maana wanajipendekeza kuweka picha ya SSH kwenye mnara pale Dubai, kwani wawekezaji ni wao pekee?
Hata arabs wamejazana sana Africa na wameajiriwa na kampuni za weusi, tena hao ndio wengi kuliko I dians, Chinese na wazungu, wamepanga huku mtaani tunaishi nao, ila mwafrika akienda kule wanampiga nyundo kichwani, kuwatesa nakuwaua, wanaona mtu mweusi ni mnyama, elimu hawana.
Tena ni ubaguzi kweli kweli, kwanini wasichuje mchele na pumba?Ubaguzi tu, hamna cha vigezo, usisingizie uislamu.
[emoji1787][emoji1787]Wangekua hawana elimu wasingekuja kuwekeza kwenye bandari na mbuga zenu, ni aibu kwa mtu aayejiona ana elimu kutawaliwa na asiye na elimu tangu karne ya 9 huko hadi leo