Kwa Nini nasema haikuzidi 14m? Ni kwa sababu material yoote client alikuwa ananunua yeye. Kwa hiyo sijui gharama halisi alizotumia kununua material. Ila Kama ningesimamia kila kitu Mimi, msingi isingezidi 12M.Watu wanatumia drewa nadhan badala ya mchanga figure zako zipo sahihi sana mkuu japo bado ni on the high side sababu naamini mkuranga material zote zinatoka mbali ukiacha mchanga.
Ghorofa ya milioni 64 sidhani kama ipo legal.Mkuu tunaweza tukatofautiana kwenye exposure ya mambo flani flan ,Ila the best thing human can do ni kuwa tayari kujifunza any time , mil 45 msingi wa ghorofa sio ujenzi wa kawaida .
Moja ya mishe zangu zinaniweka karibu sana na vifaa vya ujenzi na wataalamu wake , gharama zake nazijua ,
Kuna mtu humu ni dr Kama sikosei hata kwenye uzi huu amechangia yeye alikuwa huru kutueleza ujenzi wake toka anaanza hadi anahamia kwenye ghorofa yake , japo lilikuwa halijaisha vizuri Ila alihamia akiwa amespend mil 64 .
Tanzania tuna shida ya ardhi kwani?Ghorofa zinabana matumizi.
Namanisha unaweza ku'accomodate watu wengi kwa kipande kidogo cha ardhi.
Hence matumizi mazuri ya ardhi
tajiri mfilisika wa ma bus upo?Watu wanatumia drewa nadhan badala ya mchanga figure zako zipo sahihi sana mkuu japo bado ni on the high side sababu naamini mkuranga material zote zinatoka mbali ukiacha mchanga.
Daah hili jiwe limetua utosini kwangu mkuu, yaani najuutaa kwa nini nilianza....Wengine ni hobby tu ya kuwa tofauti na hasa Kama pesa ya kujengea imekuja kimchorochoro flani hivi. Ingawa wengi Wana under estimate gharama za kujenga ghorofa as result zinawasumbua Hadi wanajuta.
Hata kama hatunaTanzania tuna shida ya ardhi kwani?
Mmmh, that's way too much. 45mil kwa foundation tu, tena nyumba ya familia tu? Hiyo imejengwa kibosile sana.Kwa watu kadhaa waliokua wanajenga nimeona msingi range 45mil to 55. Na ni hizo hizo room 4 za kulala ukiacha store na vingine. Hapa naenda site ya ndugu yangu katumia 55.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ghorofa ya milioni 64 sidhani kama ipo legal.
Tuongee tu ukeeli kwa sababu hata Brevis za milioni 3 zipo nyingi tu Ila mtu akikuuliza Brevis Bei gani tutamwambia 10mil on average kwa bongo.
Yes. Na material tunanunua wenyewe kwa watu tunaowajua. Si unajua ile cha juu? Hamna hapo. Ni ya kawaida kama zingine tu ila kila chumba masters, dinnin, store, studying room. Yaan zile.essentials za nyimba basi ndo hivyo2. Na hii ni 55 imeenda. Kama kuna utofauti basi sijui ndo najifunza sasa. Natamani kuiona hiyo ya mil 14 msingi ikojeMmmh, that's way too much. 45mil kwa foundation tu, tena nyumba ya familia tu? Hiyo imejengwa kibosile sana.
Hongereni mkuu, 55mil kwa budget zetu za mtaani nyumba ingekuwa imefika mbali mno. Ningeweka roughly 20-25mil kwa foundation tu mkuu, japo landscape inachangia, aina ya udongo, mafundi unaotumia, mazingira uliyopo nk. Factors ni nyingi.Yes. Na material tunanunua wenyewe kwa watu tunaowajua. Si unajua ile cha juu? Hamna hapo. Ni ya kawaida kama zingine tu ila kila chumba masters, dinnin, store, studying room. Yaan zile.essentials za nyimba basi ndo hivyo2. Na hii ni 55 imeenda. Kama kuna utofauti basi sijui ndo najifunza sasa. Natamani kuiona hiyo ya mil 14 msingi ikoje
Usikubali kujengewa foundation ya ghorofa kwa 14mil. Ghorofa ni foundation.Yes. Na material tunanunua wenyewe kwa watu tunaowajua. Si unajua ile cha juu? Hamna hapo. Ni ya kawaida kama zingine tu ila kila chumba masters, dinnin, store, studying room. Yaan zile.essentials za nyimba basi ndo hivyo2. Na hii ni 55 imeenda. Kama kuna utofauti basi sijui ndo najifunza sasa. Natamani kuiona hiyo ya mil 14 msingi ikoje
20-25 Mbona kawaida. Hi nakubaliana nayo lakini 45 sishangai hata kidogo.Hongereni mkuu, 55mil kwa budget zetu za mtaani nyumba ingekuwa imefika mbali mno. Ningeweka roughly 20-25mil kwa foundation tu mkuu, japo landscape inachangia, aina ya udongo, mafundi unaotumia, mazingira uliyopo nk. Factors ni nyingi.
Unataka kuwachungulia majiraniSio kweli
Ghorofa tamu wewe[emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23]Vitu vingine ni kujitafutia tu kurogwa
Mkuu 55mil ni kibosi sana, au mazingira yanachangia pia, manake gharama za nyumba inayojengwa Masaki ni tofauti kabisa na ile inayojengwa Kiluvya, hata ukiweka vitu vingi constant.20-25 Mbona kawaida. Hi nakubaliana nayo lakini 45 sishangai hata kidogo.
Na ndo nachokijua. Ndo maana nasema nimetaman kujua hiyo foundation ya mil 14 imefananajeUsikubali kujengewa foundation ya ghorofa kwa 14mil. Ghorofa ni foundation.
Ukiharibu hapo, utajuta.
Hii ni mbezi beach makondeMkuu 55mil ni kibosi sana, au mazingira yanachangia pia, manake gharama za nyumba inayojengwa Masaki ni tofauti kabisa na ile inayojengwa Kiluvya, hata ukiweka vitu vingi constant.
Tanua mabawa mkuu, utanishukuru baadaye ,winners don't do different things , they just do things differentlyGhorofa ya milioni 64 sidhani kama ipo legal.
Tuongee tu ukeeli kwa sababu hata Brevis za milioni 3 zipo nyingi tu Ila mtu akikuuliza Brevis Bei gani tutamwambia 10mil on average kwa bongo.
Mkuu wapi nilikwambia namiliki basi?tajiri mfilisika wa ma bus upo?
pemba mnazi kigamboni sio?View ya bahari.
Mfano mzuri Pemba Mnazi saa hizi ni kama Mbweni mpya. Watu wenye beach Front wana ghorofa kwa hiyo ukisogea nyuma kidogo na ukajenga ghorofa moja unaiona bahari ingawa kiwanja siyo beach front.
Hata Salasala hivyohivyo.
Ukitoka balcony unaiona bahari, au ukiwa bedroom.