James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Hayana, maji meupe yapo fresh tu .... Mwasonga Dar es salaam zoo, maji uhai, uwanja wa Yanga mitaa ile unajichukulia kiwanja na kusubiri.
Huo ndiyo ujanja.
Buy land and wait .... Don't wait to buy land
Kwa hiyo mwenzetu bado unaishi kwenye nyumba ya udongo?Vitu vingine ni kujitafutia tu kurogwa
Chuga.Ni sehemu gani hiyo
Kwani ghorofa haliwezi kues na vyumba vya chini?? Au ghorofa inaanzia juu moja kwa mojaKujenga gorofa labda apartment upangishe vinginevyo ni kusababisha ugomvi wakati ukifa na kila mmoja atataka gorofa lako.
Pili unapozeeka una sukari, pressure, moyo,mguu kwishney yaani utatesa tu watu kukubeba.
Jenga nyumba ya chini tu bana.
Njoo Pangani Maeneo ya Boza nikutatie kipande cha 20*30 kwa 7MilWengine tunawahi mwambao wa bahari kuelekea Pangani maana mpaka Bagamoyo kuko full
Naishi kwenye mansionKwa hiyo mwenzetu bado unaishi kwenye nyumba ya udongo?
Utajiri ni vitu viwili tuu hapa duniani....afya na hekima basi. Vyengine vyote mbwembwe na ubatili
Utajiri ni vitu viwili tuu hapa duniani....afya na hekima basi. Vyengine vyote mbwembwe na ubatili
Kwanini sasa hukai hapo ( balcony) au umelogwa mwenzetu?Mie nimejenga ghorofa kwa kuwa niliweka nadhiri toka mtoto. Enzi hizo dingi alikuwa anatuchukua krismasi anatupeleka kwenye swimming pool pale Police Officers Mess Oysterbay, sasa nilivyokuwa naona mijengo maeneo ya kule nilijiwekea nadhiri nikipata hela lazima nijenge ghorofa.
Niliweka ki-balcony cha kunywea wine nje ya chumba changu juu toka nihamie sijawahi kukaa hapo zaidi ya kupasafisha tu mavi ya njiwa wa jirani ambao wamepageuza kama kijiwe chao
Sio kweliFor sure, kwanza kutandaza nyumba ni kutamu zaidi kuliko ghorofa
Nikikaa naona kila kitu anachofanya jirani yangu hata wakichinja Kobe usikuKwanini sasa hukai hapo ( balcony) au umelogwa mwenzetu?
Hakuna lolote..hao watu wengi wanakuja kwangu kufanya niniGhorofa zinabana matumizi.
Namanisha unaweza ku'accomodate watu wengi kwa kipande kidogo cha ardhi.
Hence matumizi mazuri ya ardhi