Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wanaokunywa pombe?

Mbona unaanza kubadili gia hewani 🤣🤣🤣
Ww tuma nauli, Captain Morgan ni binamu yetu anatokea mkoani 😜
 
Sio kwel tunaweza kunywa unavyotaka tukaenda kulala , nikaishia tu mkono juu ya tako .mda mwingne na miguu nakupandishia kabisa
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Unamdanganya nani wewe😂😂 hapo bado mnaenda kujipanga restroom kusubiri wadada waende ku susu muombe namba..
 
Mbona unaanza kubadili gia hewani 🤣🤣🤣
Ww tuma nauli, Captain Morgani ni binamu yetu anatokea mkoani 😜
😀 😀 😀tsaaatsaaatsaaahtsaaahhh aise....@Lamomy kumbe....

nime google na nimemwoma huyo binamu yenu anaetokea mkoani😀 ntatuma mjienjoy nikiwafundisha...
aise kumbe nyanyi mmooeee


ineandikwa...
Waefeso 5:18 "Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe na roho."
 
Kwani wamesema wanalewa mkuu🤔
 
Wewe upo romantic?
Hio swala mm sijui, siwez kujipima, ila nisingekuwa romantic wasingekuwa wana enjoy to spend time with me.

Walevi sio romantic, pombe inaondoa aibu tuu kwa muda kwaio anaongea chochote kinachokuja akilini, swali ni je, akiwa sober(normal) bado yuko romantic??
Kama mwanaume yuko romantic bila pombe>>>>>>>kuliko mwanaume anayehitaji pombe kuwa romantic
 
Kwamba piga bia ukinunua bati likija kukukata je[emoji12][emoji12][emoji12].
Sometimes wanaume tunasota sana tunatafuta hela tunadhalilika kwenye utafutaji😂😂Kuna mda unafokewa mpaka bas.....Na ukiangalia kuna watu wanakula kwa mrija kupitia ww Sasa ya nn ujibane kama starehe yangu ni kupiga miti natumia Hela kupiga miti, kama ni mpira au pombe nalipuka bila kusahau kuna mambo ya msingi
 
Sure😁😁
 
Upo sahihi.
Ila mtoko unandana na ka wine pembeni...😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…