mmh tatizo hilo, pombe zilimzidi, kitu chochote kikizidi ni majanga, vipi alipewa kwanza haha.Hiyo siku nimeenda hospital asubuhi kaja mkaka ana pombe bado kichwani anaulizia PEP maana alilewa akalala na mdada mwenye ngoma๐๐
Bado namsubiri baba mtumishi atume nauli ili akate ticket ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃBinamu ameshaingia mjini
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Watafika na super Feo au New Force.!! Yy atume nauli asilete maneno mengi๐คฃ๐คฃ๐คฃKimsingi tuna mabinamu wawili, Captain Morgan anatokea Mbinga na John Walker anatokea Ikonda wote watapokelewa na mdogo wangu Lamomy pale Magufuli stand
SI KWELIWasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.
haha si ndio? wala bata tunajuana.Mkuu kwel wewe ni mla bata hakika , kuna code za kilevi umezifungua apa.
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Watafika na super Feo au New Force.!! Yy atume nauli asilete maneno mengi
Nyie chongeni mizinga ya nyuki mvune asali tu mkuu.Nimesoma comments, naona watu wanasifia walevi. Kwahio sisi wakunywa mirinda twende wapi?
Eeh achangie tu nauli,mbona sisi tunachangiaga kanisaniBado namsubiri baba mtumishi atume nauli ili akate ticket ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Na sisi ndio tupo sasa , wanywa soda kuna michongo wanaisikilizia bado.๐๐Mimi sipendi kabisa mwanaume mlevi.
Mnywapombe hana kiasi kuna siku vibe litabamba atawaka na atakurudia nyumbani amejiharishia na mtaa mzima utajua.... Je, huo sio mwanzo wa kuwa ammada?
Kadiri mwili unavyozoea pombe kiwango cha unywaji kitaongezeka tu.
Kingine leo ana kauwezo atakunywa hizo wine na nini ila siku maisha yakishake tu tunamkuta kwa mama muuza anafosi komoni... Je, huo sio mwanzo wa uammada?
Hahaa kumbe na wewe cha pombeNa sisi ndio tupo sasa , wanywa soda kuna michongo wanaisikilizia bado.๐๐
huyo mjomba wenu margan nilimGoogle na hapa JamboSupermaket mlimaniC namuona live jinzi alivyo kachangamka haswaaa ๐๐คฃ๐คฃ๐คฃKimsingi tuna mabinamu wawili, Captain Morgan anatokea Mbinga na John Walker anatokea Ikonda wote watapokelewa na mdogo wangu Lamomy pale Magufuli stand
Wanywa soda wanakuwaga wambea sana.Nyie chongeni mizinga ya nyuki mvune asali tu mkuu.
utasababisha fujo mama... ๐Wanywa soda wanakuwaga wambea sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] apana jamni natania tu[emoji119][emoji119][emoji119]Hahaa kumbe na wewe cha pombe
Mjanja mjanja sana cuzo Morgan,Bora hata yule mdogo wake Gordon's ๐huyo mjomba wenu margan nilimGoogle na hapa JamboSupermaket mlimaniC namuona live jinzi alivyo kachangamka haswaaa ๐
Ndio ukweliutasababisha fujo mama... ๐