Hapo sasa. Ndo ujiulize mwanamke anaelala na baba mlevi,avutae sigara au ngiba, anakuwa na hali gani. Hata mnywaji,labda wote muwe mnakunywa.Na walevi wanapenda kuongea km chiriku hawajui km midomo inanuka π€£π€£π€£
Hizi akili za makande zinachekesha sana π€£π€£Wasio tumia kilevi wanaboa. Kiufupi mtoko bila kilevi haunogi
ChalamilaUliwahi kuona mnywa bia hana akili?
Mzee,Hapo sasa. Ndo ujiulize mwanamke anaelala na baba mlevi,avutae sigara au ngiba, anakuwa na hali gani. Hata mnywaji,labda wote muwe mnakunywa.
Au jimama liwe linajiboost kwa bia af father house hagusi! Hapo mmoja atalala chumba cha wageni
Yanatoa harufu mbaya ni vile hayajijui π€£π€£π€£Hapo sasa. Ndo ujiulize mwanamke anaelala na baba mlevi,avutae sigara au ngiba, anakuwa na hali gani. Hata mnywaji,labda wote muwe mnakunywa.
Au jimama liwe linajiboost kwa bia af father house hagusi! Hapo mmoja atalala chumba cha wageni
Anakunywa mdindifu.Chalamila
Yanatoa harufu mbaya ni vile hayajijui π€£π€£π€£
Pole sana. Yawezekana uliwahi kuwa mhanga wa hili jangaπππππYanatoa harufu mbaya ni vile hayajijui π€£π€£π€£
Anaomba na kisosi cha mkalifya.Haaahaa
Iringa iyo
Labda badhi ya liquors. Mfano,mtu anywe Konyagi af kesho yake akusalimie! Dah! Balaa.Sio Kila pombe hutoa harufu mzee take an adventure πππ π
Sijawahi, nayaonaga tyuuu yanavyonuka nikipishana nayo malevi π€£π€£π€£Pole sana. Yawezekana uliwahi kuwa mhanga wa hili jangaπππππ
Wapo wanao zi mix na tonic water au strong energy drink kama mo energy Ina malimao mengi so harufu inakatika...Labda badhi ya liquors. Mfano,mtu anywe Konyagi af kesho yake akusalimie! Dah! Balaa
Zote zinatoa harufu zikiingia tumboni acha kuzipamba π€£π€£π€£Sio Kila pombe hutoa harufu mzee take an adventure πππ π
Acha kunywa pombe na wazee wenye vitambi mbonyeo.....unadate na mtu analima bamia rufiji ana kitambi asinuke mdomo?Na walevi wanapenda kuongea km chiriku hawajui km midomo inanuka π€£π€£π€£
Sasa na wewe,waache wawe na gubu. Akishalewa,anapewa miadi kibao. Tena anashawishiwa kuendeleza. Ngoja zimpande kisawasawa. Akiamka,ataambiwa anadaiwa na hela ya lodge,huku kalala kwenye kiti. Kama yupo home,atastuka kesho yake na mlango wazi.pesa hakuna, simu ndo kwishne, kama ana laptop,na begi lake halioni.Sema wanaume msiolewa mna gubu jamani
π€£π€£π€£ Ila wanaume wenye vitambi sijawahi kutaka hata mazoea nao aiseee!!! Sijui nawaonaje yani.!!Acha kunywa pombe na wazee wenye vitambi mbonyeo.....unadate na mtu analima bamia rufiji ana kitambi asinuke mdomo?
UnaijuaZote zinatoa harufu zikiingia tumboni acha kuzipamba π€£π€£π€£