Ndo mnavyodanganyana walevi π€£π€£π€£Wapo wanao zi mix na tonic water au strong energy drink kama mo energy Ina malimao mengi so harufu inakatika...
Zote nazijua zikiingia tumboni unavyoongea lazima uhisi km kuna kitu kimeoza π€£π€£π€£Unaijua
SMIRNOFF BLACK ACE
FLYING FISH
GUINNESS SMOOTH
??
Ngoja wajuvi watakuja kukwambiaππππ
Jamani! Unapishana na yo ukienda wapi! Mbona na wewe unaibua maswali hapa sasa!Sijawahi, nayaonaga tyuuu yanavyonuka nikipishana nayo malevi π€£π€£π€£
Yaani una maanisha anakua kama kala mzoga!!!! Duh!!! Kali hii sasaZote nazijua zikiingia tumboni unavyoongea lazima uhisi km kuna kitu kimeoza π€£π€£π€£
Kwenye vikao vya familia π€£π€£π€£Jamani! Unapishana na yo ukienda wapi! Mbona na wewe unaibua maswali hapa sasa!
Eee! Ndio πππYaani una maanisha anakua kama kala mzoga!!!! Duh!!! Kali hii sasa
si ndio ni kutomasa tu , hatuna makuu.Eti kutomasa makalioπππ
Tunataka wanaogonga vitu vikali ila hawatetereki .Teh teh teh sasa,wale akistua tu Kili 2,hata kutembea hawezi. Huyo sawa? Au aagize tu home,haina shida!!
for sure wanawake wengi mno naweza kusema asilimia90, wana hamu sana na wanahitaji kutongozwa....Wasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.
Na ndo anaenda kuibiwa sasa π€£π€£π€£for sure wanawake wengi mno naweza kusema asilimia90, wana hamu sana na wanahitaji kutongozwa....
mlevi akishatoa lock na kisungura au nyagi anakua jasiri sana, haogopi kutongoza pisi ata iwe kali namna gani,
matoke yake sasa,
akitupa ndoanao tu kwa pisi ilovirugwa na mnywa kahawa ni chap direct mpaka lodge muda huo huo π
oh ooho na huku tena jamani mamaπ³Na ndo anaenda kuibiwa sasa π€£π€£π€£
Wanakuaga wanafiki kichizi akikukuta unasukuma Moja dar Moja njombe anaanza kuwaza Kwa siku unatumia 15k Kwa mwezi Sijui gn Kwa mwaka Sijui gn anaconclude kwa miaka mitatu ushanunua hiace ya Arusha moshiWazee wa soda π₯€ na juice π₯€ hawapogo REAL
Na ndo wana hela sisi kina Paul kagame hatuna fwedhaπ€£π€£π€£ Ila wanaume wenye vitambi sijawahi kutaka hata mazoea nao aiseee!!! Sijui nawaonaje yani.!!
Basi badilisha profile picture. Kwa sababu muonekano huo,hauendani na wanafamilia hao wanaohudhulia vikao. Vinginevyo,kuna shaka kwa kweli. Au unawasaidiaga majirani wasiingie milango isiyo yao.Kwenye vikao vya familia π€£π€£π€£
Walevi kokote wapo mpk kwenye familia za kilokole au ww ulikuwa unamaanisha wa kina nani.?!Basi badilisha profile picture. Kwa sababu muonekano huo,hauendani na wanafamilia hao wanaohudhulia vikao. Vinginevyo,kuna shaka kwa kweli. Au unawasaidiaga majirani wasiingie milango isiyo yao.
Hahahahahaha sasa hao,wabobevu,si hasira zikipanda atakunyanyua na mkono mmoja! Maana anakuwa kila kitu anakitambua.Tunataka wanaogonga vitu vikali ila hawatetereki .
Wanajua mlevi hawezi vitendoWasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.