ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Nishatoka kitambo chaliangu now Niko Huku kusini Niko na job nilijichanganya nikapata mamz wa kustay naye mwanzo akawa ananistandia furesh misosi Nini mazaga zaga ya Nazi mixer eh nguo uhakika Safi.Yataka moyo Sana brother, Hapo dangisi wanasemaje
[emoji38]Kelsea mke wangu mtarajiwa, naomba sana wewe usiwe mwanasiasa
Kumbe Evelyn Salt ni dume 🤣Okay Brother nimekuelewa ninashukuru KWA reply yako
Kumbe upoWanawake wengi wanaofanya mazoezi Magumu au Yale yakwenda Gym kunyanyua vitu vizito, SIO WA KUOA .
Na hili mlielewe hivo, Hawa viumbe Huwa wanajiletea Imbalance ya Oestrogen hormone matokeo yake, Homoni hii inashukaa,...
Kumbe upo
Ñipo Mchumba , za AsubuhiKumbe upo
Njema aisee,ukiniita Ivo na kibaridi hiki nahisi umeniweka ndan tayaree😜Ñipo Mchumba , za Asubuhi
Aina kwere chalii anguPole Sana arifuu, ndio maisha hayo.
Aki wallahi, me mwenyewe nipo Kusini huku Janja, hukumzalisha huyo manta?Nishatoka kitambo chaliangu now Niko Huku kusini Niko na job nilijichanganya nikapata mamz wa kustay naye mwanzo akawa ananistandia furesh misosi Nini mazaga zaga ya Nazi mixer eh nguo uhakika Safi....baada ya miezi minne nikaanza kupigwa na vitu vizito kwa mdoo.....aloooo mjuber asikwambie mtu ukiwa single una enjoy.
Aminia mkaliwade.Wanawake wengi wanaofanya mazoezi Magumu au Yale yakwenda Gym kunyanyua vitu vizito, SIO WA KUOA .
Na hili mlielewe hivo, Hawa viumbe Huwa wanajiletea Imbalance ya Oestrogen hormone matokeo yake, Homoni hii inashukaa, na Kwa kadiri inavyoshuka Utaona anakua na matendo ya kiunaume yaan Mkal
Tayareee Kwa ajili ya kushtua kimoja Cha dakika 40 iviiii 😚Njema aisee,ukiniita Ivo na kibaridi hiki nahisi umeniweka ndan tayaree😜
Hata sielewi jana nliandika nkiwa high nilivuta mjani wa mahusianoKumbe Evelyn Salt ni dume 🤣
Ni kutafuta tuu namna nzuri ya Kulea watoto/mtoto Bila kuathiri ukuaji wake basi . Inauma sometimes ila nini freshKulingana na matukio na hali za nyakati hizi kama ndoa au mahusiano yako hayakupi pumziko na furaha ya moyo..... achana na mtu huyo kwa faida ya afya yako na thamani ya uhai wako......
😳dk 40? Kwann,tunagombania kombe Kwan?🙌Tayareee Kwa ajili ya kushtua kimoja Cha dakika 40 iviiii 😚
Hahahaha we mamz inabidi utiwe mboko aisee, naona kibubu iko shazi yani. Zutu la kushato 😋Njema aisee,ukiniita Ivo na kibaridi hiki nahisi umeniweka ndan tayaree😜
NimekupendaKulingana na matukio na hali za nyakati hizi kama ndoa au mahusiano yako hayakupi pumziko na furaha ya moyo..... achana na mtu huyo kwa faida ya afya yako na thamani ya uhai wako......