Ni kwanini wanawake wengi huwa wapole sana pale wanapoihitaji ndoa ila wakishaipata wanakuwa wakorofi

Ni kwanini wanawake wengi huwa wapole sana pale wanapoihitaji ndoa ila wakishaipata wanakuwa wakorofi

Yataka moyo Sana brother, Hapo dangisi wanasemaje
Nishatoka kitambo chaliangu now Niko Huku kusini Niko na job nilijichanganya nikapata mamz wa kustay naye mwanzo akawa ananistandia furesh misosi Nini mazaga zaga ya Nazi mixer eh nguo uhakika Safi.

Baada ya miezi minne nikaanza kupigwa na vitu vizito kwa mdoo.....aloooo mjuber asikwambie mtu ukiwa single una enjoy.
 
Wanawake wengi wanaofanya mazoezi Magumu au Yale yakwenda Gym kunyanyua vitu vizito, SIO WA KUOA .

Na hili mlielewe hivo, Hawa viumbe Huwa wanajiletea Imbalance ya Oestrogen hormone matokeo yake, Homoni hii inashukaa, na Kwa kadiri inavyoshuka Utaona anakua na matendo ya kiunaume yaan Mkali, mgonv, hasira, mbabe ,Jeuri n k matendo ambayo ni ya kiume sababu wanaume ndio tuna Testosterone Hormone .

Kuna mademu wamejiondolea Uwezo wa kuzaa sababu ya Mazoez yalopitiliza .. utaniuliza kiaje ??? Kwa wanawake mazoez kupita kiasi hupelekea Ongezeko ya Endorphins , homoni ambayo ikiwa in excess inaenda kuingilia uzalishaji wa homoni za LH , FSH . n.k ... Akishika mimba , Njooo nikusalimie Shikamoo !!!

Sasa Mwanamke kama huyu, Ndani mtaishije ?? Anajiona nayeye Mwanaume

Waambieni Wanawake zenu wanaoenda GYM , kua Daktari Carlos The Jackal , MD kasema hivi, waachane na mazoezi mazito mazito

Mazoezi fanya Kwa wiki angalau Kwa siku tano... Kika siku tumia dakika 30 naaaaa hakikisha mazoez yakutie jasho .

Mfikishieni Taarifa, Demu wa Harmonize !!.
 
Nishatoka kitambo chaliangu now Niko Huku kusini Niko na job nilijichanganya nikapata mamz wa kustay naye mwanzo akawa ananistandia furesh misosi Nini mazaga zaga ya Nazi mixer eh nguo uhakika Safi....baada ya miezi minne nikaanza kupigwa na vitu vizito kwa mdoo.....aloooo mjuber asikwambie mtu ukiwa single una enjoy.
Aki wallahi, me mwenyewe nipo Kusini huku Janja, hukumzalisha huyo manta?
 
Wanawake wengi wanaofanya mazoezi Magumu au Yale yakwenda Gym kunyanyua vitu vizito, SIO WA KUOA .

Na hili mlielewe hivo, Hawa viumbe Huwa wanajiletea Imbalance ya Oestrogen hormone matokeo yake, Homoni hii inashukaa, na Kwa kadiri inavyoshuka Utaona anakua na matendo ya kiunaume yaan Mkal
Aminia mkaliwade.
 
Kulingana na matukio na hali za nyakati hizi kama ndoa au mahusiano yako hayakupi pumziko na furaha ya moyo..... achana na mtu huyo kwa faida ya afya yako na thamani ya uhai wako......
Ni kutafuta tuu namna nzuri ya Kulea watoto/mtoto Bila kuathiri ukuaji wake basi . Inauma sometimes ila nini fresh
 
Back
Top Bottom