Ni kwanini wilaya ya Kigamboni maendeleo yapo taratibu sana?

Ni kwanini wilaya ya Kigamboni maendeleo yapo taratibu sana?

Ukitaka uishi kwa raha mustarehe pasi na fujo njoo ujenge Kigamboni.
Kilichonipendeza kingine ni upepo mwanana maana uoto wa asili bado upo pia maji ya kumwaga aisee.
Sehem ya uswahilini ni Vijibweni tu.
Miji mingine inayoendelea kujengeka taratibu ni kuanzia Kibada chekechea kuelekea Mwasonga nyuma karibia na magodani.
Kuanzia mji mwema kuelekea Cheka huko asahv wanauza viwanja kwa kupima.
Kwel kabisa kam hupendi fujo za dar jenga kigamboni
 
Kwani maendeleo ni nini?
Why mnataka Dar yote iwe kama Sinza? Hayo mapori yanapitisha hewa na kuleta nature ..iwabariki...

Kwani mji mzima ukiwa umejaa nyumba na lami na mabar kila hatua 2 ndo maendeleo?.....

Kabla hatujasema maendeleo lazima tujiulize maendeleo ndo yapi kwanza?
Au kukiwa na foleni hadi usiku ndo maendeleo?
maendeleo ni namba E
 
Nimekaa sana kigamboni na nmetembea sehem nyingi, sehemu kubwa ya kigamboni ni mapori tuu, miundombinu mibovu sana, barabara za lami ni chache mno, hakujajengeka sijui kwanini watu hawajengi Kwa Kasi.

Ukitoka mjimwemba mpaka Pemba mnazi Kuna sehemu lami inaishia, kimbiji ya miaka 10 iliopita na ya Leo hakuna tofauti, huko buyuni Sasa kama mkoani, njoo mwasonga hapo kati ni mapori tu na barabara mbovu, ukitokea kiwanda cha Nyati cement kupitia mwasonga-kibada barabara ni mbovu balaa, mvua zikinyesha hapapitiki, Kuna sehemu Kuna mashamba ya mpunga kunajaa maji balaa hakuna nyumba ni nyasi tuu na mapori unaweza ukasema sio dar.

nashangaa sana juzi nmetoka chanika nikataka kupotea, kumbe chanika kumekua mjini kabisa, nashangaa sana kwanini wilaya ya kigamboni maendeleo hamna au kwakua wilaya mpya ndio maana inakua ya mwisho Kwa maendeleo Kwa hizi wilaya 5 za dar??
1.Kigamboni ndiyo wilaya kubwa kuliko zote
2.Ndiyo Wilaya iliyo pangwa kuliko zote.
3.Kigamboni ndiyo inayojitoshereza kwa huduma ya maji.Serikali wamejenga mavisima makubwa sana.
4.Kigamboni haina vichochoro.
5.Kuna eneo kubwa la Viwanda
6.Ina hospitali ya Wilaya
7.Ina Polisi wilaya
8.Miradi mikubwa ya ujenzi wa apartments
9.Ina fukwe safi kuliko zote Dar.
10.Ina sehemu za starehe za kutosha
11.Ina maeneo ya stendi ya kutosha
12.Ina Mitandao ya barabara inayoendelea kuongezeka kila siku.
13.Ina huduma za kibenki.
14.Ina chuo Kikukuu


Kwani maendeleo kwako unapima kwa kuangalia kipi.
 
1.Kigamboni ndiyo wilaya kubwa kuliko zote
2.Ndiyo Wilaya iliyo pangwa kuliko zote.
3.Kigamboni ndiyo inayojitoshereza kwa huduma ya maji.Serikali wamejenga mavisima makubwa sana.
4.Kigamboni haina vichochoro.
5.Kuna eneo kubwa la Viwanda
6.Ina hospitali ya Wilaya
7.Ina Polisi wilaya
8.Miradi mikubwa ya ujenzi wa apartments
9.Ina fukwe safi kuliko zote Dar.
10.Ina sehemu za starehe za kutosha
11.Ina maeneo ya stendi ya kutosha
12.Ina Mitandao ya barabara inayoendelea kuongezeka kila siku.
13.Ina huduma za kibenki.
14.Ina chuo Kikukuu


Kwani maendeleo kwako unapima kwa kuangalia kipi.
Ila huduma za afya bado hazijawa na ubora ule unaohitajika.
 
Kwani maendeleo ni nini?
Why mnataka Dar yote iwe kama Sinza? Hayo mapori yanapitisha hewa na kuleta nature ..iwabariki...

Kwani mji mzima ukiwa umejaa nyumba na lami na mabar kila hatua 2 ndo maendeleo?.....

Kabla hatujasema maendeleo lazima tujiulize maendeleo ndo yapi kwanza?
Au kukiwa na foleni hadi usiku ndo maendeleo?
Yani umeongea point...
 
Avic bei kaka nyumba ya chini 250 milioni.
Pia wabongo ama wakazi wa Kigamboni wanapenda maisha ya kienyeji yani mtu ananunua liwanja likubwa anajenga na kufuga na kulima bustani humo humo.
Avic huwezi kufanya hivyo kaka.
Hapa nimekuelewa sana Kaka
Ni kweli hata mimi ningependa kufanya nachotaka kwenye nyumba yangu
 
1.Kigamboni ndiyo wilaya kubwa kuliko zote
2.Ndiyo Wilaya iliyo pangwa kuliko zote.
3.Kigamboni ndiyo inayojitoshereza kwa huduma ya maji.Serikali wamejenga mavisima makubwa sana.
4.Kigamboni haina vichochoro.
5.Kuna eneo kubwa la Viwanda
6.Ina hospitali ya Wilaya
7.Ina Polisi wilaya
8.Miradi mikubwa ya ujenzi wa apartments
9.Ina fukwe safi kuliko zote Dar.
10.Ina sehemu za starehe za kutosha
11.Ina maeneo ya stendi ya kutosha
12.Ina Mitandao ya barabara inayoendelea kuongezeka kila siku.
13.Ina huduma za kibenki.
14.Ina chuo Kikukuu


Kwani maendeleo kwako unapima kwa kuangalia kipi.
Daresalaam estate housing projects..nyingi ziko Kigamboni kuliko wilaya yeyote Ile Dar..
Watumishi housing
Avic town..
South beach geza
South beach Kisota
Nssf Mwongozo
Nssf kijichi
NHC kibada
NHC mwongozo
Hamidu city mikwambe...

Halafu mtu anasema Kigamboni haipigi maendeleo kisa hakuna bar nyingi kama Sinza
 
Back
Top Bottom