Kwel kabisa kam hupendi fujo za dar jenga kigamboniUkitaka uishi kwa raha mustarehe pasi na fujo njoo ujenge Kigamboni.
Kilichonipendeza kingine ni upepo mwanana maana uoto wa asili bado upo pia maji ya kumwaga aisee.
Sehem ya uswahilini ni Vijibweni tu.
Miji mingine inayoendelea kujengeka taratibu ni kuanzia Kibada chekechea kuelekea Mwasonga nyuma karibia na magodani.
Kuanzia mji mwema kuelekea Cheka huko asahv wanauza viwanja kwa kupima.
Kwanini Avic haijahamiwa yote, wabongo wanaogopa vitu vizuri?Kaka kisota ni over Masaki.
Na sasahivi kiwanja Kisota ni bei kinyama.
Metre 20x20 waweza uziwa kwa 45milioni
Ndio nadhani ni Kota za NungeVijibweni ipi kota za Nunge ama??
Kota za Nunge bado zipo na hakuna sehem ya uswazi km vijibweni.
Yani mie simshauri mtu akae vijibweni.
Maana vijibweni ni kurasini part two
maendeleo ni namba EKwani maendeleo ni nini?
Why mnataka Dar yote iwe kama Sinza? Hayo mapori yanapitisha hewa na kuleta nature ..iwabariki...
Kwani mji mzima ukiwa umejaa nyumba na lami na mabar kila hatua 2 ndo maendeleo?.....
Kabla hatujasema maendeleo lazima tujiulize maendeleo ndo yapi kwanza?
Au kukiwa na foleni hadi usiku ndo maendeleo?
Avic town ipo kama 30km kutoka Ferry. Sasa niache viwanja huku karibu nikamunue over-priced house in the middle of nowhere?Kwanini Avic haijahamiwa yote, wabongo wanaogopa vitu vizuri?
Una mawazo ya 70sUshirikina
Miundo mbinu mibovu...mf maji ya chumvi
Miradi mingi imekufa...waliiba sana huko nyuma...sasa wanaogopa.
Laana za mauaji
Avic bei kaka nyumba ya chini 250 milioni.Kwanini Avic haijahamiwa yote, wabongo wanaogopa vitu vizuri?
1.Kigamboni ndiyo wilaya kubwa kuliko zoteNimekaa sana kigamboni na nmetembea sehem nyingi, sehemu kubwa ya kigamboni ni mapori tuu, miundombinu mibovu sana, barabara za lami ni chache mno, hakujajengeka sijui kwanini watu hawajengi Kwa Kasi.
Ukitoka mjimwemba mpaka Pemba mnazi Kuna sehemu lami inaishia, kimbiji ya miaka 10 iliopita na ya Leo hakuna tofauti, huko buyuni Sasa kama mkoani, njoo mwasonga hapo kati ni mapori tu na barabara mbovu, ukitokea kiwanda cha Nyati cement kupitia mwasonga-kibada barabara ni mbovu balaa, mvua zikinyesha hapapitiki, Kuna sehemu Kuna mashamba ya mpunga kunajaa maji balaa hakuna nyumba ni nyasi tuu na mapori unaweza ukasema sio dar.
nashangaa sana juzi nmetoka chanika nikataka kupotea, kumbe chanika kumekua mjini kabisa, nashangaa sana kwanini wilaya ya kigamboni maendeleo hamna au kwakua wilaya mpya ndio maana inakua ya mwisho Kwa maendeleo Kwa hizi wilaya 5 za dar??
Avic iko road kaka ukipita kabla hujaifikia Mwongozo unaona geti lakeAvic town ipo kama 30km kutoka Ferry. Sasa niache viwanja huku karibu nikamunue over-priced house in the middle of nowhere?
Ila huduma za afya bado hazijawa na ubora ule unaohitajika.1.Kigamboni ndiyo wilaya kubwa kuliko zote
2.Ndiyo Wilaya iliyo pangwa kuliko zote.
3.Kigamboni ndiyo inayojitoshereza kwa huduma ya maji.Serikali wamejenga mavisima makubwa sana.
4.Kigamboni haina vichochoro.
5.Kuna eneo kubwa la Viwanda
6.Ina hospitali ya Wilaya
7.Ina Polisi wilaya
8.Miradi mikubwa ya ujenzi wa apartments
9.Ina fukwe safi kuliko zote Dar.
10.Ina sehemu za starehe za kutosha
11.Ina maeneo ya stendi ya kutosha
12.Ina Mitandao ya barabara inayoendelea kuongezeka kila siku.
13.Ina huduma za kibenki.
14.Ina chuo Kikukuu
Kwani maendeleo kwako unapima kwa kuangalia kipi.
Bado zina watu japo baadhi zipo wazi.Ndio nadhani ni Kota za Nunge
Yani umeongea point...Kwani maendeleo ni nini?
Why mnataka Dar yote iwe kama Sinza? Hayo mapori yanapitisha hewa na kuleta nature ..iwabariki...
Kwani mji mzima ukiwa umejaa nyumba na lami na mabar kila hatua 2 ndo maendeleo?.....
Kabla hatujasema maendeleo lazima tujiulize maendeleo ndo yapi kwanza?
Au kukiwa na foleni hadi usiku ndo maendeleo?
Mmh mkuu huu uongo wa wapi?Ushirikina
Miundo mbinu mibovu...mf maji ya chumvi
Miradi mingi imekufa...waliiba sana huko nyuma...sasa wanaogopa.
Laana za mauaji
Na Kigamboni kwa aina yake ya ukuaji na ujengaji kamwe haitakuja kuwa kama Sinza.Kwel kabisa kam hupendi fujo za dar jenga kigamboni
Hapa nimekuelewa sana KakaAvic bei kaka nyumba ya chini 250 milioni.
Pia wabongo ama wakazi wa Kigamboni wanapenda maisha ya kienyeji yani mtu ananunua liwanja likubwa anajenga na kufuga na kulima bustani humo humo.
Avic huwezi kufanya hivyo kaka.
Itauzwa? WapiBado zina watu japo baadhi zipo wazi.
Ila inasemekana vijibweni yote itauzwa na washaanza kuuza kidongoni.
Daresalaam estate housing projects..nyingi ziko Kigamboni kuliko wilaya yeyote Ile Dar..1.Kigamboni ndiyo wilaya kubwa kuliko zote
2.Ndiyo Wilaya iliyo pangwa kuliko zote.
3.Kigamboni ndiyo inayojitoshereza kwa huduma ya maji.Serikali wamejenga mavisima makubwa sana.
4.Kigamboni haina vichochoro.
5.Kuna eneo kubwa la Viwanda
6.Ina hospitali ya Wilaya
7.Ina Polisi wilaya
8.Miradi mikubwa ya ujenzi wa apartments
9.Ina fukwe safi kuliko zote Dar.
10.Ina sehemu za starehe za kutosha
11.Ina maeneo ya stendi ya kutosha
12.Ina Mitandao ya barabara inayoendelea kuongezeka kila siku.
13.Ina huduma za kibenki.
14.Ina chuo Kikukuu
Kwani maendeleo kwako unapima kwa kuangalia kipi.
Kuanzia Nunge mpaka Kisiwani kuja Vijibweni Hospitali Mpaka kidongoni patauzwa kiuwekezaji.Itauzwa? Wapi
Sawa mkuuKuanzia Nunge mpaka Kisiwani kuja Vijibweni Hospitali Mpaka kidongoni patauzwa kiuwekezaji.
Na hivi tunavyoongea Kidongoni ishauzwa nusu bado nusu watu washalipwa na kuondoka.