Ni kweli hali ya maisha imekuwa ngumu, na pia ni kweli hizi tozo hazikubaliki, sasa wananchi tuseme kwa vitendo imetosha

Bei imeshashuka kule yanapotoka jinga kabisa wewe.

Acha matusi basi
Uwez kuongea bila matusi?

Huko ambako bei imeshuka ndio sehemu ambayo serikali inanunua?

Huko ambako imeshuka wanawauzia Africa?

Unataka kusema kwa east Africa ni Tanzania Tu ndio bei Iko juu?


Lete fact Acha matusi hapa sio Facebook
 
NI vyema pia, tunapohamasisha maandamano ,tuikumbushe serikali maeneo ya kusimamia yanayoweza kuwa mbadala endapo kama yatasimamiwa ipasavyo.
 
Kikubwa sahvi wananchi wawe wanahoji inapoonekana inafanyika
Jambo ndivyo sivyo,inayotokana na matumizi ya kodi,tozo nk
Wakiona mradi wa serikali unafanyika kimagumashi wananchi wawe wana hoji....
Tubanane huko huko

Ova
 
Kwa kweli they need to think about it.
Kodi na mitozo hii hatuwezi
Jiulize swali moja tu, kati ya Mwigulu Nchemba na Dr Charles Kimei Nañi mwenye uwezo wa kuwa best waziri wa fedha?

Ndio utapata majibu Mwigulu hayuko hapo Kwa akili ya wananchi Bali wana mikakati yao kabambe ya kukusanya pesa Kwa malengo yao na siyo malengo ya nchi.
 
Eee bhana eee !!
 

Tofautisha kuwa best na Serikali inataka nn Kwa wakati huo

Hata kama kimei angekuwa waziri mkuu still kama serikali inataka Ela na sehemu ya kupata ni kwenye tozo then yy ndio angekuwa wa kwanza kusaini
 
Hivi akili zenu huwa mnafungia kabatini? Ikiongelewa demokrasia hamtaki kufananishwa na Kenya na IPO East Africa, Ila likija swala Bei ndio mnataka kujifananisha, huwa mnatumia akili zipi?
 
Mimi sina chama chochote na naunga mkono, kuna kenge watakuja kukupinga, hawa ni wale wwanaochukua buku 7, 7, na wale wa tumuachie mungu, tanzania nchi ya amani tudumishe amani. 😠😠😡
 
Kwanza matumizi ya hili neno; "kulamba asali" watu mnalitumia bila uthibitisho wowote, siamini kama yupo yeyote kati yenu anayeweza kuleta ushahidi akiambiwa athibitishe huko kulamba asali kwa hao viongozi.

Nasisitiza bado, matumizi yangu ya hayo majina pale juu ni sahihi, hata kama nikiamua kwenda kwa mtazamo wako wa kulamba asali, bado ni Mbowe na Lissu waliokuwa na misimamo isiyoyumba kabla "hawajailamba hiyo asali".
 
Unapozungumzia "kafara" kwenye andiko lako unamaanisha kwamba uwepo wa serikali iliyopo madarakani unategemea nguvu za giza? na unaendelea kukiri kwamba hizo nguvu za giza zina nguvu sana mpaka umekatishwa tamaa!

Sikubaliani na hicho ulichoandika hapo juu, naamini wakati wa Mungu ndio wakati sahihi, na hakuna marefu yasiyo na ncha.
 
OK sawa ila kuna siku utakuja kuikumbuka hii post.. Najua ninachokiandika denooJ
 
Hao wanasiasa unaowaamini ndio walisema kuwa Lowassa ni fisadi na wanaushahidi na Ufisadi wake waliofanya lakini hao hao ndio wakamkaribisha kwenye chama chao na wakampa na ugombea wa uraisi kabisa narudia Tena usimuamini mwanasiasa yoyote kutatua matatizo yako
 
Sasa mbona unahama toka kwenye mjadala uliopo?

Kama tukianza kutazamana kwa jicho hilo, nikikwambia nioneshe aliye msafi asie na doa kati yetu utaweza?

Ukiwa na hiyo mentality uliyonayo yakumuhukumu kila mmoja utachelewa sana kuyafikia malengo, mwishowe utajihukumu mwenyewe.
 
MUDA BADO ACHA KWANZA MPAKA JINA LA JPM LITAKASIKE KABISA ..NDIYO TUCHUKUE HAKUA KWA KUWA HAKUTOKUWA NA MTU WA KUTETEA TENA WALA WAKUWAONEA HURUMA MAFISAFI YA MSOGA NA SAMIA
 
SUKUMA GANG LAZIMA WAKOMESHWE [emoji1787][emoji1787]
 
Sa100 ni mafii[emoji117][emoji90][emoji90][emoji90]
 
Huyo ni sehemu ya wapumbavu wanaojipachika uspin doctor kwenye mambo serious ya kitaifa.
 
MUDA BADO ACHA KWANZA MPAKA JINA LA JPM LITAKASIKE KABISA ..NDIYO TUKICHUKUA HAKUTA KWA KUWA HAKUTOKUWA NW MTU WA KUTETEA TENA WALA WAKUWAONEA HURUMA MAFISAFI YA MSOGA NA SAMIA
JPM ni agent wa Lucifer.
 
Bongo hakuna wa kuingia barabarani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…