hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Bei imeshashuka kule yanapotoka jinga kabisa wewe.
Acha matusi basi
Uwez kuongea bila matusi?
Huko ambako bei imeshuka ndio sehemu ambayo serikali inanunua?
Huko ambako imeshuka wanawauzia Africa?
Unataka kusema kwa east Africa ni Tanzania Tu ndio bei Iko juu?
Lete fact Acha matusi hapa sio Facebook