Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
miguna anasema Baba hata cheti cha form four hana,na jana kasema Raila amataje hata mtu mmoja aliyesoma nae secondary school au Chuo.Miguna na Odinga ni kama Lowassa na JK...
Walikua chanda na Pete hadi Miguna kufikia kimuapisha Odinga kama Rais lakini baada ya Odinga kuungana na Uhuru kula keki akamgeuka swahiba wake wa siku nyingi kufikia Miguna kupigwa BAN kuingia Kenya.
hapana afrika inamteua raila odingaNdugu habari za muda huu, naomba kuuliza kwa wadau mbali mbali na hata serikalini kama inawezekana tupewe majibu kabla sijatoa ya moyoni...
Kuna tetesi huko huko duniani nazisikia naomba uthibisho wake maana kuuliza si ujinga.....
Je, Ni kweli mswahili wa msoga aliyepata kuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10, mwenye mtoto Naibu waziri na mke mbunge anagombea uenyekiti wa kamisheni ya umoja wa Afrika?
Nimeuliza kwanza kabla ya kutoa maoni ili tumtendee haki.
Ahsanteni.
wala hagombei hamani acheni kumsema huyu mzeeTamaa mbaya sana
wewe acha kulaumu kwa kitu usichokijua jk hagombeiHivi kuna binadamu hawatosgeki ? Ana shida gani ? Kuna shida mahali....maana hata mke hamna kitu kichwani amelazimisha ubunge khsaa mtoto kilaza wa karne....lakini fitna na shirkii
Wewe ndio unasogeza goal post.Mbaya zaidi anabishia kitu asichokijua! Nchi ina wapumbavu hii sijawai ona!!
Sasa ndo nnDuh aiseee
Walikosana Baada ya handshake ya Raila na Kenyatta. Na baadae Miguna kukamaywa na kurudishwa Canada. Tangia hapo akawa anamwita Raila Conman. Na kwenye kampeni za urais 2022, alikuwa upande wa Ruto.Walikosana lini?
Umesahau Miguna alishiriki kumuapisha Raila ?
Aiseeh! Yani anagombea kisa akapambane na Paul Kagame. Kweli Tanzania Kuna shida ya akili.Naomba iwe hivyo na apite akamyooshe Paka.
Wewe ndio umeongea ukweliMiguna na Odinga ni kama Lowassa na JK...
Walikua chanda na Pete hadi Miguna kufikia kimuapisha Odinga kama Rais lakini baada ya Odinga kuungana na Uhuru kula keki akamgeuka swahiba wake wa siku nyingi kufikia Miguna kupigwa BAN kuingia Kenya.
Sijakataa. Ila kwa kwa Sasa ni maadui anaweza kuongea chochote. Halafu hata uchaguzi uliopita alisema hayo ila hakufanikiwa.Miguna ndo alimuapisha Raila pale uwanjani kuwa Rais wa Kenya kwahiyo anayajua mengi ya Baba
kiherehere.wapi hapo palipoandikwa hivyo?Aiseeh! Yani anagombea kisa akapambane na Paul Kagame. Kweli Tanzania Kuna shida ya akili.
Mbona alishasema hayo wakati wa uchaguzi na bado Raila akapitishwa kugombea?. Miguna amepotea kisiasa anajaribu kupambana na Odinga Ruto amuone.miguna anasema Baba hata cheti cha form four hana,na jana kasema Raila amataje hata mtu mmoja aliyesoma nae secondary school au Chuo.
Leo umepatikana huwa unajifanya mjuaji. AU chairperson ni Mwenyekiti wa vikao na anawakilisha Marais wa nchi wanachama. Ila Chairperson wa AU Commission ni mtendaji mkuu wa AU na ndio msimamizi wa Mali za AU Kama Taasisi. Hiyo nafasi zamani kipindi OAU iliitwa Katibu Mkuu.Wewe ndio unasogeza goal post.
View attachment 2911472
Halafu hao AU pia wanashida ya ku defined roles.
AUC chairman and AUC chairperson kuna tofauti gani. Hata magazeti mengi hayajui tofauti.
Kiherehere mwenyewe stupid. Unadhani hapa wote watoto Kama wewe. Stupidkiherehere.wapi hapo palipoandikwa hivyo?
sibishani na watu wafupi vibonge,umechomokea shati pana la drafti na suruali ya kitambaa chini raba nyeupe.huwa ni wabishi sana nyinyi.Kiherehere mwenyewe stupid. Unadhani hapa wote watoto Kama wewe. Stupid
Nyie mkizeeka huwa mnakua wachawi..ashinde au ashindwe we inakusaidia nini?Kama ni kweli anagombea, basi mi naombea ashindwe, tena ashindwe vibaya!
Kwani akigombea ni kwa ajili ya shida!? Naamini ikiwa anagombea basi anataka kutoa mchango wake na nguvu zake kwa faida ya Africa.Hivi kuna binadamu hawatosgeki ? Ana shida gani ? Kuna shida mahali....maana hata mke hamna kitu kichwani amelazimisha ubunge khsaa mtoto kilaza wa karne....lakini fitna na shirkii
Chairperson = politicalHujui kinachoongelewa..
Ndo ubaya wa akili za kutegemea kila kitu u-google!
Kuna tofauti kati ya AU Chairperson na AU Commissioner.