NI kweli kuwa mwanamke aliyekuwa na mahusiano mengi hawezi kutulia akiolewa?

NI kweli kuwa mwanamke aliyekuwa na mahusiano mengi hawezi kutulia akiolewa?

Asante kwa kurekebisha haya em tuambie iko vp
Kwa hiyo,unataka kupinga msemo wa wahenga,kwamba kunguru hafugiki! Kugegedana kawaida tu. Lakini,kuna cha kujiuliza. Mpaka anahesabu wanaume zaidi ya 100 waliomvua,una imani wa 101 atamtuliza? Kama ni wa kulipa kodi,siku zote atadai tu. Kama ndo alivyoumbwa,haachi. Hujawahi wasikia wanaoolewa kwenye miji yenye kila kitu,lakini zikipanda,lazima houseboy apige vitu?
Hii ina maana hata walioolewa,ni kama tu wamejiegesha,hawamo. Sema tu kuna siri ilifichwa. Ingekuwa mtu akifanya kuna ki alama kinajiongeza,au tundu kutoboka mwilini,walio wengi wangekuwa kama vyandalua.
 

Attachments

  • Screenshot_20240414-093300_121408.jpg
    Screenshot_20240414-093300_121408.jpg
    78.3 KB · Views: 5
Kwa hiyo,unataka kupinga msemo wa wahenga,kwamba kunguru hafugiki! Kugegedana kawaida tu. Lakini,kuna cha kujiuliza. Mpaka anahesabu wanaume zaidi ya 100 waliomvua,una imani wa 101 atamtuliza? Kama ni wa kulipa kodi,siku zote atadai tu. Kama ndo alivyoumbwa,haachi. Hujawahi wasikia wanaoolewa kwenye miji yenye kila kitu,lakini zikipanda,lazima houseboy apige vitu?
Hii ina maana hata walioolewa,ni kama tu wamejiegesha,hawamo. Sema tu kuna siri ilifichwa. Ingekuwa mtu akifanya kuna ki alama kinajiongeza,au tundu kutoboka mwilini,walio wengi wangekuwa kama vyandalua.
Hakuna nilichopinga
 
Elasticity ni maumbile ya mtu, Dr Restart atakuja kutoa maelezo zaidi kama ni dr wa wanawake
Mtu ana watoto 10 kazaa njia ya kawaida ila mnato anao wa kutosha sembuse mtu aliyeingiliwa na vibamia 10
Wewe mnato wa mama mtu mzima umeujuaje?

Maumbile hutofautiana kati ya mtu na mtu. Vivyo hivyo kwa elasticity.

Kuna mabinti hata mtoto hajapita, ila ana shimo la nguchiro. Kubwa ka pango la nguruwe pori.
 
Siku zote mwili wa binadamu una tabia ya kukumbuka past events, hivyo events zikiwa nzuri au mbaya zitakumbukwa na kufananishwa na currently events. Hapo ndio matatizo huanzia ie Yule alihonga sana huyu bahili, yule alizagamua vizuri huyu kimoko Chali, Yule alikuwa handsome huyu Chikumbalaga etc hapo ndipo msimamo huishaga😂😂😂😂
 
Wewe mnato wa mama mtu mzima umeujuaje?

Maumbile hutofautiana kati ya mtu na mtu. Vivyo hivyo kwa elasticity.

Kuna mabinti hata mtoto hajapita, ila ana shimo la nguchiro. Kubwa ka pango la nguruwe pori.
Sasa sindivyo nilivyosema mimi! Maumbile hayahusiani na body count ila ni nature ya mtu
 
Na vipi ikiwa huwezi mpata huyo bikra, utakufa bila kunanii.
Na kwa nin bikra iwe kwa mwanamke tu, ina maana mwanaume kuchezeana kabla ya ndoa ni ruksa?
Hakuna mwanamke anatamani kuwa na mwanaume ambaye hajawahi kufanya mapenzi kwasababu kwanza huyo mwanaume anakuwa hana uzoefu na sex wakati wao wanataka anayepeleka moto kweli kweli, wanakuwa hawajui mkumsoma mwanamke vizuri wakati wanawake wanahitaji mwanaume ambaye atayemuelewa vizuri.
ephen_ eti Evelyn Salt nakosea?
 
Ndiomana nimesema kuna koments zinachekesha sana .

Mwingine ni binti tu hajazaa ila kapita na watu lukukiii hao 10 wachache sanaaaa na still ana mnatrooo

Mwingine kapita na mmoja wawili ila bwawaaaaaaa

Kuna mwenye kapita na wachache still mnatro wakushatroo

Mwingine kazaa ana watoto ila mna mnatoo kam kauwaaaa anakitembeza hatariiiiiiii

Mwingine kazaa ana watoto plus mnato kama wote ila saivi katuliaaaa

Mwingine hajazaa kapita na wachache kaamua kutulia zakee

So inategemea mwananke na mwananke na umbile lake kule mazeeee

Yaniiii Hayanaga mwongozo / fomula in Smart911 voice
Kuna mambo yanafurahisha sana...
 
Bwana Yesu apewe sifa.

Kuna sehem nimesoma kua kama mwanamke ameshatumika sana na wanaume. Ikitokea ameolewa basi hataweza tulia kwenye ndoa yake kabisa.

Mshkaji anasema sababu ni wanaume ambao huyo mwanamke atakua katana nao watakua wameshamtumia kwa njia zote wanazojua wao, wameshamhonga, kumtumia nauli za kutosha.

Eti kaka zangu ambao mko single nyie mnasemaje kuhusu hili?😁😁
Na wadogo na dada zangu pia mnasemaje kuhusu hili?😜
Nimechelewa kuuona huu uzi. Kuna ushahidi wa kisaikolojia kwamba kwa kadri mwanamke anavyokuwa na body count kubwa ndivyo uwezo wake wa ku-bond na mmoja wao huko mbele ya safari unavyopungua. Labda tu atakuja kujifanyisha baada ya kuona mileage zimesoma lakini ile contentment kihisia kuridhika na mtu mmoja inakuwa ngumu sana.

Ngoja nikausake huo utafiti nitarudi lakini inavyoonekana, the less the body count, the better - physically, spiritually and emotionally!
 
Back
Top Bottom