Ni kweli kuwa Shaka ni mpwa wa Rais Samia? Na kama ni kweli CCM mmebariki nepotism hii ndani ya chama?

Ni kweli kuwa Shaka ni mpwa wa Rais Samia? Na kama ni kweli CCM mmebariki nepotism hii ndani ya chama?

Hakuna sehemu yenye nepotism kama CHADEMA. Mwanzilishi wa Chama, Mtei, ni baba mkwe wa Mwenyekiti wa kudumu, Mbowe. Lema ni ndugu huko Machame. Lucy Owenya mtoto wa mmoja wa waanzilishi Ndesamburo. Wale Covid19 ukimtoa labda Mdee karibu wengine kama sio ndugu ni mke au kimada wa kiongozi. Yaani huko Ufipa balaa tupu. Fuatilieni. CHADEMA kuinyooshea kidole CCM kuhusu nepotism ni sawa na kuanzisha ugomvi wa mawe wakati wakiwa kwenye nyumba ya vioo.
 
Ridhiwani ni mtoto wa Kikwete rais mstaafu, Salma mama yake Riz1. Hussein ni mtoto wa mwinyi, Karume nao baba na mwana Marais. Sasa ajabu ya samia na Shaka iko wapi?
Mambo ya Ndugunaizeshen hayo tulikuwa tukisemaga zamani !! Pesa hazitoshagi ni tamaa kwa kwenda mbele mpaka siku ya mwisho !! Ambayo ipo tu na ni lazima ifike !!😅😅
 
Kwahiyo uwezo wa kiuongozi wa paymaster general (mpwa wa JPM) Dotto James ulifika mwisho mara tu Magufuli alipofariki?

Uwezo na umahiri wa kiuongozi wa mpwa wa Magufuli Herry James ulofika mwisho baada tu ya Magufuli kufariki?

Unapoleta kioja huku JF uwe umejipanga ndugu. Huku siyo Facebook.

Sexless ufahamu au ufuatiliaji wako ni mdogo sana kisiasa

Unasemaje uwezo wa Herí James umefikia mwisho ilhali kwasasa ni DC-Ubungo!??? Unafatilia mambo kweli au unakurupuka!??

Shaka alikuwemo kwenye siasa na kashika nyadhifa kadhaa ndani ya CCM na Serikalini kabla hii ya uenezi aliyoteuliwa na Samia

Pia, hili ukiliangalia kwa upande wetu huku Chadema ndio kuna nepotisms ya kiwango cha juu sana

Mbowe kapigiwa debe ya uenyekiti kutoka kwa baba mkwe Mzee Mtei,

Mbowe kazaa na Joyce Mukya kisha akaja akampigia debe ya ubunge viti maalumu.
Ndesamburo nae akamuweka mwanae Lucy ubunge viti maalum

Tundu Lissu nae hakubaki nyuma akampigia debe dada yake aitwae Christina Lissu awe Mbunge viti maalumu

Nenda kaangalie vyeo vingine vya kiutendaji ndani ya Chadema, uone kina John Mrema, Mallya, Tarimo nk walivyojazana chamani,,,, hapo utapata picha tuna upinzani/Chadema wenye taswira ipi
 
Sexless ufahamu au ufuatiliaji wako ni mdogo sana kisiasa

Unasemaje uwezo wa Herí James umefikia mwisho ilhali kwasasa ni DC-Ubungo!??? Unafatilia mambo kweli au unakurupuka!??

Shaka alikuwemo kwenye siasa na kashika nyadhifa kadhaa ndani ya CCM na Serikalini kabla hii ya uenezi aliyoteuliwa na Samia

Pia, hili ukiliangalia kwa upande wetu huku Chadema ndio kuna nepotisms ya kiwango cha juu sana

Mbowe kapigiwa debe ya uenyekiti kutoka kwa baba mkwe Mzee Mtei,

Mbowe kazaa na Joyce Mukya kisha akaja akampigia debe ya ubunge viti maalumu.
Ndesamburo nae akamuweka mwanae Lucy ubunge viti maalum

Tundu Lissu nae hakubaki nyuma akampigia debe dada yake aitwae Christina Lissu awe Mbunge viti maalumu

Nenda kaangalie vyeo vingine vya kiutendaji ndani ya Chadema, uone kina John Mrema, Mallya, Tarimo nk walivyojazana chamani,,,, hapo utapata picha tuna upinzani/Chadema wenye taswira ipi
Mwenzio ameongelea uhalisia wewe unaongelea hisia. Eti sijui nani kampigia debe nani. Una uhakika wowote kuwa waluwapigia debe.

Mwenzio anaongelea kuhusu Samia kumteua Shaka kuwa Katibu mwenezi. Huo ni ukweli na ni uhalisia. Kitu kinachotakiwa kuthibitishwa, je, ni kweli kuwa Shaka ni mpwaa wa Samia?

Mjifunze namna ya kujenga hoja au kujibu hoja. Wewe unataka kulinganisha embe na pilipili.

Hivi kumteua mtu ni sawa na kumpigia debe? Una uhakika ulipwataja kama kweli waliwapigia debe watajwa? Hata kama ingekuwa ni kweli waliwapigia debe, hiyo inathibitisha kuwa wao wapiga debe siyo wa kuwafanya maamuzi. Maana yakewanawapigia debe kwa wafanya maamuzi. Rais Samia alimpigia debe Shaka kwa nani ili wafanye maamuzi? Hapa anazungumziwa kiongozi mfanya maamuzi kumbandika ndugu yake kwenye nafasi ya uongozi, tena mtu aliyekuwa amesimamishwa kazi kwa uhalifu wa kijinai.
 
Hakuna sehemu yenye nepotism kama CHADEMA. Mwanzilishi wa Chama, Mtei, ni baba mkwe wa Mwenyekiti wa kudumu, Mbowe. Lema ni ndugu huko Machame. Lucy Owenya mtoto wa mmoja wa waanzilishi Ndesamburo. Wale Covid19 ukimtoa labda Mdee karibu wengine kama sio ndugu ni mke au kimada wa kiongozi. Yaani huko Ufipa balaa tupu. Fuatilieni. CHADEMA kuinyooshea kidole CCM kuhusu nepotism ni sawa na kuanzisha ugomvi wa mawe wakati wakiwa kwenye nyumba ya vioo.
Tatizo hujaelewa hoja, umekimbilia kujibu. Tulia, usome vizuri kabla ya kuchangia.
 
Huu ni upotoshaji wa kiwango cha Lami,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa ndani ya CCM tangu enzi na enzi,

Shaka Hamdu Shaka amekuwapo tangu enzi za chipukizi,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa katibu Mkuu wa UVCCM Taifa chini ya Mkt Herry James,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa Katibu wa Mkoa wa Morogoro,
===
Shaka Hamdu Shaka amekuwako kwenye Siasa hata kabla ya Rais Samia kujiingiza fully kwenye Siasa toka Private Sector,

Leo kujadili na kumjadili Shaka Hamdu Shaka kuwa ni mpwa wa Rais Samia au Sio ni Uzwazwa kama Uzwazwa ulivyo,

Shaka Hamdu Shaka hajaletwa na Rais Samia kwenye Siasa bali kakutwa na Rais Samia akiwa mahiri na hodari sana kiasi cha kutamani amsaidie katika nafasi hii ya "Uenezi wa Chama "

#Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Mleta hoja kauliza kuhusu undugu kati ya wawili hawa.

Wewe unaongelea habari ya shaka kukulia CCM!

Jibu Swali acha blah blah!
 
Niko Zanzibar kutafuta namna ya kuufanya mkono uende kinywani. Katika stori mbili tatu mwenyeji wangu kagusia kuwa Shaka ni mpwa wa rais Samia.

Nimestushwa sana na hiyo kitu ambayo mwenyeji wangu ananiambia kuwa kwa hapa Zanzibar inajulikwna na kila mtu.

Hebu ndugu wadau nijuzeni. Habari hii nanyi mnayo? Mbona hamuisemi? Ina afya kwa chama na taifa? Kwann haikemewi ndani na nje ya chama? Kwann tunaruhusu nepotism hii?

Jiwe alimuweka mpwa wake kuwa paymaster general. Tukapiga kelele kwa pamoja japo hatukufanikiwa kuzibua masikio ya yule bwana. Sasa mbona huyu mama mwamnyamazia ?

NYONGEZA........,................
Nepotism ni mbaya, inaudhi wengi na inaminya haki na fursa za walio wengi. Alipofariki Rais Magufuli wapwa zake Hery James (alikuwa paymaster general) na Dotto James (alikuwa mwenyekiti UVCCM) walifukuzwa kwenye nyadhifa zao nyeti na kupewa vyeo vya kufutia machozi. Nikadhani wanaccm mmejifunza. Sasa mbona mnarudia makosa?
Sioni tatizo, hakuna ubaya, shaka anaimudu kazi yake na anauzoefu nayo!, Anaifaa ccm.
 
Huu ni upotoshaji wa kiwango cha Lami,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa ndani ya CCM tangu enzi na enzi,

Shaka Hamdu Shaka amekuwapo tangu enzi za chipukizi,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa katibu Mkuu wa UVCCM Taifa chini ya Mkt Herry James,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa Katibu wa Mkoa wa Morogoro,
===
Shaka Hamdu Shaka amekuwako kwenye Siasa hata kabla ya Rais Samia kujiingiza fully kwenye Siasa toka Private Sector,

Leo kujadili na kumjadili Shaka Hamdu Shaka kuwa ni mpwa wa Rais Samia au Sio ni Uzwazwa kama Uzwazwa ulivyo,

Shaka Hamdu Shaka hajaletwa na Rais Samia kwenye Siasa bali kakutwa na Rais Samia akiwa mahiri na hodari sana kiasi cha kutamani amsaidie katika nafasi hii ya "Uenezi wa Chama "

#Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Shaka alifukuzwa na Magufuli Kwa rushwa mbona huongelei
 
Huu ni upotoshaji wa kiwango cha Lami,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa ndani ya CCM tangu enzi na enzi,

Shaka Hamdu Shaka amekuwapo tangu enzi za chipukizi,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa katibu Mkuu wa UVCCM Taifa chini ya Mkt Herry James,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa Katibu wa Mkoa wa Morogoro,
===
Shaka Hamdu Shaka amekuwako kwenye Siasa hata kabla ya Rais Samia kujiingiza fully kwenye Siasa toka Private Sector,

Leo kujadili na kumjadili Shaka Hamdu Shaka kuwa ni mpwa wa Rais Samia au Sio ni Uzwazwa kama Uzwazwa ulivyo,

Shaka Hamdu Shaka hajaletwa na Rais Samia kwenye Siasa bali kakutwa na Rais Samia akiwa mahiri na hodari sana kiasi cha kutamani amsaidie katika nafasi hii ya "Uenezi wa Chama "

#Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Tuwe tunajifunza kujibu maswali yanayoulizwa, hakuna asiejua historia yake ya siasa. Swali lilikuwa ni mpwa wa Rais?!
 
Wameanza kukiri wenyewe kuwa nchi inaongozwa na mbumbumbu
 
Niko Zanzibar kutafuta namna ya kuufanya mkono uende kinywani. Katika stori mbili tatu mwenyeji wangu kagusia kuwa Shaka ni mpwa wa rais Samia.

Nimestushwa sana na hiyo kitu ambayo mwenyeji wangu ananiambia kuwa kwa hapa Zanzibar inajulikwna na kila mtu.

Hebu ndugu wadau nijuzeni. Habari hii nanyi mnayo? Mbona hamuisemi? Ina afya kwa chama na taifa? Kwann haikemewi ndani na nje ya chama? Kwann tunaruhusu nepotism hii?

Jiwe alimuweka mpwa wake kuwa paymaster general. Tukapiga kelele kwa pamoja japo hatukufanikiwa kuzibua masikio ya yule bwana. Sasa mbona huyu mama mwamnyamazia ?

NYONGEZA........,................
Nepotism ni mbaya, inaudhi wengi na inaminya haki na fursa za walio wengi. Alipofariki Rais Magufuli wapwa zake Hery James (alikuwa paymaster general) na Dotto James (alikuwa mwenyekiti UVCCM) walifukuzwa kwenye nyadhifa zao nyeti na kupewa vyeo vya kufutia machozi. Nikadhani wanaccm mmejifunza. Sasa mbona mnarudia makosa?
Hiyo ni kweli wahuni wameshika hatamu ...mabeberu ya kizungu yanachekelea
 
Shaka yupo kwenye duru za CCM/ UVCCM kabla wewe hujaingia JF na kutengeneza account yako. Ni kwamba tu Mwendazake aliwavuruga mwaka 2016.
Hujajibu swali la msingi, na swali ni hili:
Je, Shaka ni "mpwa" wa Rais Samia??

Tupe jibu hilo halafu tuanzie hapo mjadala wetu.
 
Back
Top Bottom