Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wewe nadhani Ni wale watu wanaweza kusoma ila wasielewe walichosoma!Kijana uliingia JF oktoba 2021 umekuja mumtetea Lukuvi ambaye JPM alimwambia hawezi kuwa Rais b'se Nini Age ameshazeeka
Mimi ni team mama lakini Kumuondoa Lukuvi Ardhi haiko Sawa kabisa. Ni Waziri anayewajibika na kujibuidisha mno. Mh. Rais najua kuna watu wako humu. Tafakari Sana kuhusu Lukuvi.
Duuuuuu hata wewe?Business as usual
Wadanganyika tupo kwenye usingizi wa pono.
Kama kawaida yetu yaani.
Mkuu hata juzi kule Twitter nilisema Kati ya mawaziri wenye akili kubwa ni mh lukuvi Leo nashangaa Tena haya ya hangaya Nadhani utendaji wake ulio tukuka ndio umemgalimu, Nadhani namba anayo icheza inawezekana uwezo allo uonyesha umetishie kibaluwa cha kocha hivyo iri kibaluwa vha kocha kiwe na uhai niladhima lukuvi asepe1 Nchi yetu kupata maendeleo ya kweli, mpaka watu wote wenye wivu kwa watu wachapa kazi watakapoacha kuzaliwa!
2. Ili nchi yetu ifikie maendeleo ya kweli, tunapaswa tupate katiba itakayotoa mwongozo wa wananchi wenyewe kuwakataa wazembe na kuwakingia kifua wote wachapakazi na wapenda maendeleo katika nchi yetu
3. Ili nchi yetu tupate maendeleo ya dhati, nashawishika kusema, hata mgombea wa uraisi wananchi ndio watoe mapendekezo ya nani wanafikiri anaweza kupeperusha Bendera kutoka kwenye vyama vyao, hii itasaidia kuondoa hira za watu wachapa kazi!
Sifahamu njia bora itakayotumika kwa urahisi kufanyika hilo,
Watu wote wenye ndoto kubwa na Tanzania huwa wanaishia kufukuzwa chama, ama kufanyiwa mizengwe ili tu wasifikie huko, hasa wenye misimamo ya kweli isiyo yumba kuhusu ukweli wa haki za wananchi
Ndiyo, Tumekuwa na mawaziri wengi, ila Mh Lukuvi amekuwa zaidi ya waziri
Mh Lukuvu, popote ulipo, watanzania wanajua, dunia inajuwa kwamba wewe, ni mmoja kati ya watu wachache wenye uwezo Mkubwa wa kuchapa kazi na kusimamia kwa nguvu zote haki za wananchi
Wayahudi wakamuuliza Herode, Kwa nini umeamlisha Msalabani kuandikwe, Huyu ndiye mfalme wa wayahudi,?
Herode akasema, Lililoandikwa limeandikwa!
Mh Lukuvu, Kilichoandikwa juu yako, hakitajarisha chichote katika safari yako,Ni sharti kitimie, Mungu akubariki kwa kazi yako njema na kubwa sana kwa nchi yako unayoipenda kwa moyo wako wote!!
Nakupenda Tanzania nitakulinda kwa nguvu zangu zote!
Mkuu kama unampenda sana mfanye mumeo nafsi itasuuzika.1 Nchi yetu kupata maendeleo ya kweli, mpaka watu wote wenye wivu kwa watu wachapa kazi watakapoacha kuzaliwa!
2. Ili nchi yetu ifikie maendeleo ya kweli, tunapaswa tupate katiba itakayotoa mwongozo wa wananchi wenyewe kuwakataa wazembe na kuwakingia kifua wote wachapakazi na wapenda maendeleo katika nchi yetu
3. Ili nchi yetu tupate maendeleo ya dhati, nashawishika kusema, hata mgombea wa uraisi wananchi ndio watoe mapendekezo ya nani wanafikiri anaweza kupeperusha Bendera kutoka kwenye vyama vyao, hii itasaidia kuondoa hira za watu wachapa kazi!
Sifahamu njia bora itakayotumika kwa urahisi kufanyika hilo,
Watu wote wenye ndoto kubwa na Tanzania huwa wanaishia kufukuzwa chama, ama kufanyiwa mizengwe ili tu wasifikie huko, hasa wenye misimamo ya kweli isiyo yumba kuhusu ukweli wa haki za wananchi
Ndiyo, Tumekuwa na mawaziri wengi, ila Mh Lukuvi amekuwa zaidi ya waziri
Mh Lukuvu, popote ulipo, watanzania wanajua, dunia inajuwa kwamba wewe, ni mmoja kati ya watu wachache wenye uwezo Mkubwa wa kuchapa kazi na kusimamia kwa nguvu zote haki za wananchi
Wayahudi wakamuuliza Herode, Kwa nini umeamlisha Msalabani kuandikwe, Huyu ndiye mfalme wa wayahudi,?
Herode akasema, Lililoandikwa limeandikwa!
Mh Lukuvu, Kilichoandikwa juu yako, hakitajarisha chichote katika safari yako,Ni sharti kitimie, Mungu akubariki kwa kazi yako njema na kubwa sana kwa nchi yako unayoipenda kwa moyo wako wote!!
Nakupenda Tanzania nitakulinda kwa nguvu zangu zote!
Tuonyeshe huo ukubwa wa akili yakeMkuu hata juzi kule Twitter nilisema Kati ya mawaziri wenye akili kubwa ni mh lukuvi Leo nashangaa Tena haya ya hangaya Nadhani utendaji wake ulio tukuka ndio umemgalimu, Nadhani namba anayo icheza inawezekana uwezo allo uonyesha umetishie kibaluwa cha kocha hivyo iri kibaluwa vha kocha kiwe na uhai niladhima lukuvi asepe
Huyu Dogo mtegemee mengi .matatizo sugu yanakwenda kurudi wizara ya ardhi.
Na Mimi ilianza green ,amber na sasa ni red .siipendi na tufanye juhudi kuipiga chini .2025 dadeki bi kidude atakoma Ka mkwereAsilimia 100 zote, sasa Ni rasimi CCM naichukia yoote!
Lukuvu, popote ulipo, watanzania wanajua, dunia inajuwa kwamba wewe, ni mmoja kati ya watu wachache wenye uwezo Mkubwa wa kuchapa kazi na kusimamia kwa nguvu zote haki za wananchi
Utake usitake kukosewa ama kupatiwa kwa teuzi hizo lazima zilete athari kwako either positively or negativelySiwezi kutetea matumbo ya watu wakati Mimi mwenyewe Sina kazi.
Kwangu aliyepata hayaa aliyekosa hayaa.
Kila mtu ashinde mechi zake