towashi wa kushi
JF-Expert Member
- May 15, 2024
- 332
- 729
Jini hana uwezo wa kuwa kila mahali. Omnipresent ni sifa ya Mungu tu.Hivi Mbowe ndio Mpiga kura katika Kanda zote !.Huyu Mbowe hana tofauti na Jini maana kila mahali yupo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jini hana uwezo wa kuwa kila mahali. Omnipresent ni sifa ya Mungu tu.Hivi Mbowe ndio Mpiga kura katika Kanda zote !.Huyu Mbowe hana tofauti na Jini maana kila mahali yupo.
Nimekusoma, tena kwa uangalifu mkubwa sana mkuu 'Drifter' kwenye andiko lako hapa. Naona kuna namna fulani ya 'trend' katika maandiko haya, ambayo naanza kujifunza kuyadadavua vizuri niyaelewe.Basi ingekuwa vyema sana wewe “uvujishe” hao viongozi uliowasikia. Labda kama ID yako ni real na unafahamika. Manake hapa mjadala unawezekana tu kukiwa na uhakika uhakika wa taarifa.
Jinsi ulivyouliza inabidi usubiri “insiders” wa viongozi wa CHADEMA wajitokeze kukuthibitishia hizo tetesi unazoziulizia. Kitu ambacho si rahisi. Na sisi JF Great Thinkers inabidi tuwe kimya tukisubiria hizo za “ndani”.
It’s a rather uncomfortable situation you’re subjecting us to. Naamini kuna namna bora zaidi ungetumia kuleta mada inayojadilika moja kwa moja. Otherwise subiri mahasimu wa CHADEMA na Mbowe wajazane hapa kusema chochote cha kujifurahisha nafsi zao.
Hayo ni matamanio ya kila mwanaccm, lakini haitakuwa hivyo. Watu kuwa na mitizamo tofauti siyo uadui.Mbowe, Mnyika, Lissu na wakongwe wengine ndani ya chama kama Msigwa ata kama sasa ni mwanachama wa kawaida inabidi wakae chini na kujipanga kwa uchaguzi wa mwakani.
Iwapo uchaguzi wa vigogo ndani ya chama umejaa malalamiko hivi, mwakani kwenye kura za maoni za kupata wabunge na madiwani watu watakatana mapanga hasa kwenye nafasi za ubunge.
Labda ndio mwanzo wa kuelekea mwisho wa CDM.
Well said !Basi ingekuwa vyema sana wewe “uvujishe” hao viongozi uliowasikia. Labda kama ID yako ni real na unafahamika. Manake hapa mjadala unawezekana tu kukiwa na uhakika uhakika wa taarifa.
Jinsi ulivyouliza inabidi usubiri “insiders” wa viongozi wa CHADEMA wajitokeze kukuthibitishia hizo tetesi unazoziulizia. Kitu ambacho si rahisi. Na sisi JF Great Thinkers inabidi tuwe kimya tukisubiria hizo za “ndani”.
It’s a rather uncomfortable situation you’re subjecting us to. Naamini kuna namna bora zaidi ungetumia kuleta mada inayojadilika moja kwa moja. Otherwise subiri mahasimu wa CHADEMA na Mbowe wajazane hapa kusema chochote cha kujifurahisha nafsi zao.
Sasa mtu Chans ni chake si awatimue kama Zittto tuu..Kuna uvumi mkubwa sana ndani ya CHADEMA kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe hawataki ndani ya chama viongozi wenzake walioko ndani ya Kamati Kuu ya sasa CHADEMA.
Inasemekana kuwa Mbowe anahisi wajumbe hao wa Kamati Kuu wana mrengo wa kuunga mkono harakati za Makamu Mwenyekiti (Tanganyika) Tundu Lissu kuifanya CHADEMA iwe na mrengo wa siasa kali.
Wajumbe hao ni Godbless Lema, John Heche, Peter Msigwa, na Ezekia Wenje ambao inaonekana Mbowe HAWATAKI.
Huko nyuma nilikuwa sikubaliani na mitazamo ya aina hii, lakini kwa yale yaliyokuwa yanatamkwa kwenye mikutano ya kampeni kwenye chaguzi za kanda za chama nimeamini kuwa Chadema inamuhitaji Mbowe kwa siku nyingine kadhaa zijazo.tatizo mbowe akitoka chama kimekufa hawajiandaa kuwa na mwenyekiti mwingine
Inabidi nijieleze tu kwamba nilitaka kutia alama za "kicheko na kushukuru" kwa pamoja katika haya maneno yako, lakini naruhusiwa kuweka alama moja tu!Umoja wa Mbowe, Mdee na Esther Bulaya ukifadhiliwa na mabosi wa Utopolo SC unaenda kuiuwa Chadema
Nimekaa pale 🐼
Du, kagusa pabaya!Wewe ni wakili linda heshima yako njoo na vitu tangible
Naona kama umechokonoa mzinga wa nyuki. Ngoja tuendelee kujifunza.Heshima ya JF haitegemei ninachoandika.
Kwa ivo akitajwa Mbowe ndiyo wengine tunageuka chawa!!
HakikaMbowe ana uwezo mkubwa sana kisiasa na amefanya makubwa kama mwanasiasa, lakini kuhodhi madaraka kwa muda mrefu kuna haribu jina lake zuri alilowekeza kwenye siasa za Chadema na Tanzania kwa ujumla.
Kabisa,Lissu angeisaidia sana chademaNi bora wafukuzwe kuliko kuwa mazombie kwa maslahi ya mtu binafsi. Na kama ni kweli ifahamike hao ndio roho ya hicho chama, wengi tunaimani na hicho chama kutokana na uwepo wa hao.
Mbowe anasimama Kwenye Misingi ya Waasisi kwamba lengo la Chadema Siyo kutwaa Dola bali mabwanyenye kuweka mifumo ya wao kunufaika katikati ya Itikadi tofauti tofautiInabidi nijieleze tu kwamba nilitaka kutia alama za "kicheko na kushukuru" kwa pamoja katika haya maneno yako, lakini naruhusiwa kuweka alama moja tu!
Mwenyekiti Mbowe kawa mwanafunzi mzuri sana, tena kwa uwezo wa haraka kubwa wa kumwelewa mwalimu wake katika mazungumzo ya "maridhiano,"Samia. Lugha za staha sasa, au kuyanyamazia maswala na kelele nyingi, huku mambo yakiendelea bila ya pingamizi, sasa ni mtindo maridhawa unaoendelea ndani ya CHADEMA.
Watakao penda kushangaa huko mbele ya safari mambo yatakapowekwa wazi, hilo ni shauri lao wenyewe. Chama kitakuwa kimekwishavuka na kuingia katika ngazi nyingine tofauti kabisa na sasa.
Ujanja ujanja katika nchi ya wajinga wengi hulipa sana!
Maneno yalikuwa ni mazito. Lakini kwa vyevyote iwavyo uchaguzi huu wa wenyeviti wa kanda haitaiacha CHADEMA salama. Kwani yaliyo tendeka kila mwananchi karudi nyumbani na kujiuliza- Hivi CHADEMA niliyojiunga nayo jana ndio CHADEMA niniyoitaka ichukue uongozi/urais Tanzania?Sumu haionjwi aliambiwa na Sumaye na Mbowe
????? Basi Wenje ni kiboko. Ila si kila unapolenga shabaha unapatia, inaweza kula kwako vile vile.Mnajadili upumbavu,kwamba kamati kuu ya CHADEMA wajumbe wake ni wenyeviti wa kanda tu au?
Wenje kapitaje sasa kuwa mwenyekiti wa kanda kama mbowe hamtaki,na umesema Mbowe ana nguvu ya kuamua chochote ndani ya CHADEMA?
Jibu ni rahisi sana! Jiulize, kama kuna mtafaruku kati ya Lissu na Mbowe itaongeza au kupunguza kura za uchaguzi S. mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025? Hapo ndiko kwenye Faida na hasara kwa CCM. Mambo yote ni ya kisayansi tu siku hizi. Hutumii Drones bali akili tu.CCM ya Samia je, wanawataka hao wajumbe kuwemo ndani ya CHADEMA?
Hili linaweza kuwa swali ambalo ukiliangalia kwa haraka usiweze kulielewa uhusiano wake na hayo uliyo andika hapo.
Kama uliyo andika yana chembechembe ya ukweli wowote ndani yake, hilo halitakuwa jambo la kushangaza sana kwa baadhi yetu wasomaji wako.
Inanibidi ni-'internalize" haya maneno, ni 'concept' mpya kwangu, lakini nauona uzito wake ulivyo; hasa nikiyaunganisha na aliyowahi kuyatamka Mbowe mwenyewe mara kadhaa kwa maandishi.Mbowe anasimama Kwenye Misingi ya Waasisi kwamba lengo la Chadema Siyo kutwaa Dola bali mabwanyenye kuweka mifumo ya wao kunufaika katikati ya Itikadi tofauti tofauti
Wewe mwenyewe umeona Wanamageuzi akina Selasini, Mtikila, Lwakatare, Kubenea walivyoshindwa kuendana na missions za Chadema na kurejea Kwenye vyama vyaoInanibidi ni-'internalize" haya maneno, ni 'concept' mpya kwangu, lakini nauona uzito wake ulivyo; hasa nikiyaunganisha na aliyowahi kuyatamka Mbowe mwenyewe mara kadhaa kwa maandishi.
Kwa Samia, naona adhma ya waasisi hao na kwa Mbowe mwenyewe hali hiyo haijawahi kuwa nzuri kuliko ilivyo sasa.
Unaamini Mbowe hawataki hao jamaa ndani ya chama? Na ana namna ya kuwaondoa?Mbowe anasimama Kwenye Misingi ya Waasisi kwamba lengo la Chadema Siyo kutwaa Dola bali mabwanyenye kuweka mifumo ya wao kunufaika katikati ya Itikadi tofauti tofauti
Tundu Lisu ana misimamo ya ile NCCR mageuzi asilia ya kushika Dola
Ndio unaona hata Zitto Kabwe mwanafunzi mtiifu wa Mbowe hana Mpango na kushika Dola yeye anachungulia fursa Tu sema OMO na Jussa wameshamweka pembeni
Ili Tundu Lisu aziendee Ndoto zake ni lazima Mbowe ang'atuke vinginevyo Lisu ahame chama
Ni mfumo wa Chadema ndio unawakataaUnaamini Mbowe hawataki hao jamaa ndani ya chama? Na ana namna ya kuwaondoa?
Ok so, unaufahamu na kuusoma mfumo wa CHADEMA. Interesting.🤔Ni mfumo wa Chadema ndio unawakataa