Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Hapa Tanzania angepumzikia wapi wakati kila sehemu ni kuchafu, matope, vumbi na harufu zisizoeleweka.Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.
View attachment 2585662View attachment 2585663
Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Ya ishooooooMapumziko ya nyokweeeeeeeee
Kazi na bataTangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.
View attachment 2585662View attachment 2585663
Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Chawa wana kiherehere sanaPunguza hasira bwashee [emoji1787]
Kauli hiyo ya kifedhuli ilitolewa na yule mume mwenzake andunje Mramba.Naam hiyo ndiyo tuliyokaambiwa ata nyasi tule tu ila ndege lazima inunuliwe
Sawa mamaaHuna akili!! Siwezi soma pumba zako,maneno ya kwanza tu yanaonesha wewe ni zero
Labda ilienda Coco au msasaniMara nyingi hauoni destination ila sina uhakika kwa ndege ya rais wa Tz
Pia ndege kuwa tracked hvy sio ishu kubwa mana hakuna details muhimu za ndani kabisa za ndege mfano, huwezi kujua kuna idadi gn ya watu humo ndani, serial number huzioni. Tunachoona ni safari zake, namba za usajili ya ndege, mmiliki wa ndege (kama ni private mara nyingi hua hawamuandiki mhusika) n.k
Air force one sijawahi kuona wakitaja destination, VP wa USA alivoondoka siku kama 5 hv mbele Air force one ilipita Tena kwenye anga letu lkn haikuwa na destination, hy siku nilikuwa napoteza muda kwa kuangalia ndege zinazopita kwenye anga letu na nikaiona hy ndege ikiwa kwenye uelekeo wa JNIA lkn ikapitiliza kuingia bahari ya Hindi.
Ndiyo na kupeleka madini kama lile likilouzwa bilion of money badae tulipoanza kuhoji wakaja na hoja kuwa lile lilikuwa milion 4 walikosea hesabauUko sahihi mkuu na kila mwenye akili timamu yampasa kupitia post yako hii na kuifanyia kazi vizuri tu; si kwa hoja hii tu na ya mtu huyu tu, bali kwa hoja nyingine yoyote na inayomhusu yeyote. Ukipitia hizo comments unaona kabisa ni za watu wetu wale wenye shida zao za muda mrefu tu na huyo bi mkubwa; kwao, kutamka lolote baya dhidi yake ndiyo kipaumbele Chao namba 1. Tayari kadhaa yananenwa nao kwa furaha tele:-
-miradi dubai
-mjengo anaoujenga dubai
-sijui mbuga za wanyama n.k
Um-huh! BINADAMU!!!
Rais wa nchi lakini utasikiaTangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.
View attachment 2585662View attachment 2585663
Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Kwa hiyo kama yeye hakuwemo, ilienda kuchukua nini?Kabudi alivyoenda na ndege ya rais kwenda kuchukua zile Juice Madagascar kwani rais naye alikuwemo kwenye ile ndege?
Wewe mada yako ni rais au ndege ya rais?
Hii ndege ilienda matengenezo ya kifaa kimoja kwenye base ya gulfstream iliyoko Dubai. Hiyo ndege ilikuwa Tz siku zote, angalia history yake kwenye hiyo Flight Radar 24, imeenda under short test and maintenance.Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.
View attachment 2585662View attachment 2585663
Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Hiyo ni mada nyingineKwa hiyo kama yeye hakuwemo, ilienda kuchukua nini?
Ila hatazalisha akini kadogosa wengine wa 500blionSamia hana huo upuuzi! Ni mweupeee hana hata tone la mauchafu yenu! Na kwenye utawala wake hatazalisha wakuu wa mikoa/wilaya matajiri kama akina Makonda, Sabaya, Mnyeti!! Wezi now wanashughulikiwa kwa jicho la Umma, no kufichaficha or kumtimua na kumdhihaki CAG
Tukushangae wewe unaesema ilikuwa katika matengenezo kumbe mtu alienda kufanya shopping DubaiHii ndege ilienda matengenezo ya kifaa kimoja kwenye base ya gulfstream iliyoko Dubai. Hiyo ndege ilikuwa Tz siku zote, angalia history yake kwenye hiyo Flight Radar 24, imeenda under short test and maintenance.
Sijui kwanini mnakuwa wapotoshaji hivi, kwani hata Mh. Rais akiwa Dubai kuna tatizo gani..
Shauri yenu!Ndiyo na kupeleka madini kama lile likilouzwa bilion of money badae tulipoanza kuhoji wakaja na hoja kuwa lile lilikuwa milion 4 walikosea hesabau
ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai