Ni lazima mtoto kusoma tution shuleni Kipindi hiki cha likizo?

Ni lazima mtoto kusoma tution shuleni Kipindi hiki cha likizo?

Walimu mna pepo Yenu hakika, Huduma yenu ni ya kiroho zaidi. Changamoto ni nyingi lakini fanyeni kazi ya Mungu Kwa kujitoa. Maana kwenye bible imeandikwa " Watu wangu Wana angamia Kwa kukosa maarifa" na jukumu Hilo akawabebesha. Pambaneni.

Huyu nae ni mzazi!
 
Walimu mna pepo Yenu hakika, Huduma yenu ni ya kiroho zaidi. Changamoto ni nyingi lakini fanyeni kazi ya Mungu Kwa kujitoa. Maana kwenye bible imeandikwa " Watu wangu Wana angamia Kwa kukosa maarifa" na jukumu Hilo akawabebesha. Pambaneni.

Huyu nae ni mzazi!
Amina 🙏
 
Kuna jirani yangu ametoka safari kumfata kijana wake Kipindi Cha likizo,,,amejikuta akilazimishwa na walimu kuwa mtoto aendelea na masomo Kipindi hiki Cha rikizo.

Kwenu wadau,,,naombeni mwongozo kuwa Kuna ulazima wa mtoto kusoma likizo shuleni??
Ninachojua mambo haya huwa mnakubaliana kwenye vikao kati ya wazazi/walezi wa Wanafunzi na walimu wa shule husika sidhani kama ni issue ya shule kujiamria tu.

Kingine inategemea dogo Yuko darasa la ngapi kama ni Yale madarasa ya mitihani mfano la 4 na la 7 , form 2 ni busara akaudhiria ila kama tofauti na hayo madarasa sidhani kama Kuna umuhimu wwte kuhudhuria hayo masomo ya ziada.
 
Kuna jirani yangu ametoka safari kumfata kijana wake Kipindi Cha likizo,,,amejikuta akilazimishwa na walimu kuwa mtoto aendelea na masomo Kipindi hiki Cha rikizo.

Kwenu wadau,,,naombeni mwongozo kuwa Kuna ulazima wa mtoto kusoma likizo shuleni??
Rikizo❌
Likizo✅
 
Back
Top Bottom