Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
Ujinga huo, mzazi anashindwa hata kumlea mtoto wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jirani yangu ametoka safari kumfata kijana wake Kipindi Cha likizo,,,amejikuta akilazimishwa na walimu kuwa mtoto aendelea na masomo Kipindi hiki Cha rikizo.
Kwenu wadau,,,naombeni mwongozo kuwa Kuna ulazima wa mtoto kusoma likizo shuleni??
Tz Kila mtu anakula kazin kwake,,mwl haishiwi hoja ya kuchomoa pesa ya mzazNinachojua mambo haya huwa mnakubaliana kwenye vikao kati ya wazazi/walezi wa Wanafunzi na walimu wa shule husika sidhani kama ni issue ya shule kujiamria tu.
Kingine inategemea dogo Yuko darasa la ngapi kama ni Yale madarasa ya mitihani mfano la 4 na la 7 , form 2 ni busara akaudhiria ila kama tofauti na hayo madarasa sidhani kama Kuna umuhimu wwte kuhudhuria hayo masomo ya ziada.
🤣🤣🤣🤣🙌Hata wewe inabidi usome memkwa.
Ampereke au sio? 🤣🤣🤣mpereke tu hatakama ni rikizo sababu hapo nyumbani homeworks hautaweza kumsaidia,,,mpereke bwana kwa wewe ni razima.
Hahahaha lakini umeelewa
🤣🤣🤣🤣 Sio likizo ni “rikizo” mbona unapingana na mleta uzi??!Itabidi uende nae kusoma, yeye akiwa likizo ya shuleni na ww ukiwa likizo ya kibarua chako.
Haswaaa wacha dogo aperekwe tusheniAmpereke au sio? 🤣🤣🤣
Mi huyu? Mbona tuko pamoja mahi mtoto aende tusheni asikae nyumbani rikizo 😜Ndugu umenikalia kooni sawa umeeleweka ni likizo
😂😂😂😂mpereke tu hatakama ni rikizo sababu hapo nyumbani homeworks hautaweza kumsaidia,,,mpereke bwana kwa wewe ni razima.
Umenichekesha we fala!mpereke tu hatakama ni rikizo sababu hapo nyumbani homeworks hautaweza kumsaidia,,,mpereke bwana kwa wewe ni razima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aaah kaeni tu na hizo jero zenu, wazazi nongwa sana....[emoji81]