Ni lazima mtoto kusoma tution shuleni Kipindi hiki cha likizo?

Ni lazima mtoto kusoma tution shuleni Kipindi hiki cha likizo?

Walimu mna pepo Yenu hakika, Huduma yenu ni ya kiroho zaidi. Changamoto ni nyingi lakini fanyeni kazi ya Mungu Kwa kujitoa. Maana kwenye bible imeandikwa " Watu wangu Wana angamia Kwa kukosa maarifa" na jukumu Hilo akawabebesha. Pambaneni.

Huyu nae ni mzazi!
Huwezi kulazimisha mtoto aendelee kwenda shule kipindi cha likizo, wengi wenu humu mnashadadia vitu tu ila kiuhalisia program za ziada shuleni ni kupotezeana muda
 
Kwani wanasoma bure hadi iwe ni lazima?.Hao walimu wanakazania hivyo kwasababu ndipo kula yao ilipo.
Sure,,,, serikalini iwe inawapa posho mana tuna henyeka Ile mbaya mtaani na watoto
 
Kama mwalimu kakushaur ivo ni fika anajua uwezo wa Mtoto wako
 
Back
Top Bottom