Wanadai uongozi, uhuru, ati wanawake wanaweza, wasikae jikoni,.Kwani hizi 50/50 wanawake huwa wanadai nini??? Mie sijawahi kuzingatia hili.....
Kwamba 50/50 ni package yenye nini!??
Uongozi mbona wapo, jikoni means mme akate vitunguu na chinese mke akae sebleni??? AuWanadai uongozi, uhuru, ati wanawake wanaweza, wasikae jikoni,.
Bora tu ubishi uwepo kwenye familia
Usiombe ukutane na mwanamke aliyetoka kwenye semina za usawa.
Hata ukimwomba unyumba anaweza sema unataka kumbaka
JF ni mtandao wa kijamii mada inaongelea mambo yanatokea kwenye jamii kwa ujumla wala hakuna mtu alielengwa yeye binafsi. Hakuna aliejipa umuhimu kwenye maisha yako kama mada imekupiga kwenye mfupa basi nia haikua kukulenga wewe binafsi imetokea tu coincedence upo kwenye sample aliyoiongelea mtoa madaBro jifunze kutojipa umuhimu kwenye maisha ya mtu/watu 🤝
Nadhani haujanielewa......na sipo katika nafasi ya kueleza sana sahivi.JF ni mtandao wa kijamii mada inaongelea mambo yanatokea kwenye jamii kwa ujumla wala hakuna mtu alielengwa yeye binafsi. Hakuna aliejipa umuhimu kwenye maisha yako kama mada imekupiga kwenye mfupa basi nia haikua kukulenga wewe binafsi imetokea tu coincedence upo kwenye sample aliyoiongelea mtoa mada
Uongozi unaomaanishwa ni ule wa nyumbani yaani mune na mke wawe na madaraka sawaUongozi mbona wapo, jikoni means mme akate vitunguu na chinese mke akae sebleni??? Au
Ndo wanasema hivi???Uongozi unaomaanishwa ni ule wa nyumbani yaani mune na mke wawe na madaraka sawa
Anataka atawale sawa au zaidi ya mwanaume,Uongozi mbona wapo, jikoni means mme akate vitunguu na chinese mke akae sebleni??? Au
Ume hit the point mkuu, sema vichwa ngumu hawawezi kuelewa. Mwanamke atabaki kuwa mwanamke tu...Siku hizi zimeibuka NGOs zinazojiasibu kutetea mwanamke.
Huwa najiuliza wanamtetea mwanamke dhidi ya adui Gani bila shaka ni mwanaume.
Hakuna mwanaume asiyehusika na mwanamke, hawa wanawake mnaowafanya adui ili kuibua utengano na uvunjifu wa maadili ndo mama za mwanaume, ndo Binti zetu, ndo shangazi zetu, ndo wakwe n.k.
Hivi **** mwanaume atadhulumu haki ya mama yake, Binti, shangazi, bibi au rafiki?
NGOs ziliingiwa kuwatetea wanawake Sasa wanawake ambayo hawakuchuja wakajawa na ujuaji na kibri ati wanaweza ndo hao hawaolewi, wamekuwa ma single mother, mkopo ya vikoba na kausha damu inawaandama wanawake, wanafanya biashara bila faida, wamekuwa wasagaji, wadangaji maana wanaume hawataki wanawake wajuaji,
Wanawake nawambieni tu jiepushe na hizo hamasa na elimu bandia za usawa, mwanamke hawezi kuwa sawa na mwanaum
Mbona kama hii ni exaggration??? Yani umekutana na mwanamke....hauna chochote ukajenga nyumba hii hapa mke anakimbia mahakamani kuidai??Anataka atawale sawa au zaidi ya mwanaume,
Mwanaume asiwe na kauli.
Akiombwa unyumba aseme anabakwa.
Siku hizi wakiona umejitafuta umejenga kanyumba wanakimbia mahakamani kudai talaka wagawane mali huo ndo ushauri kutoka kwenye NGOs zao
We amka asubuhi siku Moja fika mahakama ya wilaya uone wanawake walivojaa nje wakidai talaka wagawane nyumba.Ndo wanasema hivi???
Ofisi itakuaje na viongozi wawili sasa
Fika mahakama iliyo karibu nawe utaona ujinga wa wanawakeMbona kama hii ni exaggration??? Yani umekutana na mwanamke....hauna chochote ukajenga nyumba hii hapa mke anakimbia mahakamani kuidai??
Una uhakika haujaoa mtu mwenye tatizo la akili, kama maelezo yako ni ya kweli?!
Ofisini, serikalini nafikiri uko wanaume hatuna shida napo tunaona maboss na mawaziri wanawake na mambo yanenda vizuri tu hata Rais wetu ni mwanamke na hakuna shida tatizo linaanzia pale ambao wanawake wanataka kuupeleka huo uboss nyumbani kwa waume zao.Ndo wanasema hivi???
Ofisi itakuaje na viongozi wawili sasa
Sawa, ukipata muda wa kunielewesha nitashukuru kupata mawazo yakoNadhani haujanielewa......na sipo katika nafasi ya kueleza sana sahivi.
Naomba nikutakie lunch njema
Nauliza.....umekutana na huyo ke, mkaishi ukiwa huna kitu ukaibuka na kujenga mwenyewe BILA MSAADA WA HALI WALA MALI?? then anaidai?We amka asubuhi siku Moja fika mahakama ya wilaya uone wanawake walivojaa nje wakidai talaka wagawane nyumba.
Ili wakawe ma single maza eti wapambane na maisha.
Wakipewa mali hawawezi wanafrisika wanaishia kudanga
Ofisini, serikalini nafikiri uko wanaume hatuna shida napo tunaona maboss na mawaziri wanawake na mambo yanenda vizuri tu hata Rais wetu ni mwanamke na hakuna shida tatizo linaanzia pale ambao wanawake wanataka kuupeleka huo uboss nyumbani kwa waume zao.
Anaweza akawa arishiriki labda Kwa kuchangia kunipa usingizi na utelezi usiku.Nauliza.....umekutana na huyo ke, mkaishi ukiwa huna kitu ukaibuka na kujenga mwenyewe BILA MSAADA WA HALI WALA MALI?? then anaidai?
Usiweke hisia
Mbona unaonekana kama vile na wewe ni wale wale waumuni wa 50/50 umekuja tu kwa mbinu ya reverseMbona kama hii ni exaggration??? Yani umekutana na mwanamke....hauna chochote ukajenga nyumba hii hapa mke anakimbia mahakamani kuidai??
Una uhakika haujaoa mtu mwenye tatizo la akili, kama maelezo yako ni ya kweli?!
Wanaume hutumia akili na wanawake hisia....stay on your lane.Mbona unaonekana kama vile na wewe ni wale wale waumuni wa 50/50 umekuja tu kwa mbinu ya reverse
Wewe ni ferminist wale wale wanawake wa 50/50 umekuja na mbinu ya reverse tu. Hatuwezi kufika hitimisho hapa acha tufunge mjadala tu ili kuokoa mudaUkiona mwanamke anataka kuwa boss ndani....I SWEAR mwanaume una shida
Sasa kama kashiriki, kwanini akidai mchango wake uichukulie negative???Anaweza akawa arishiriki labda Kwa kuchangia kunipa usingizi na utelezi usiku.
Sasa kwani hizo kesi za ujuaji ziibuke kipindi hiki?