- Thread starter
- #21
Kwahiyo Kwa akili Yako, tukiigawa Nchi vipande vidogo vidogo size ya ukubwa wa Rwanda tutafanikiwa?Ushasema nchi ndogo ya rwanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Kwa akili Yako, tukiigawa Nchi vipande vidogo vidogo size ya ukubwa wa Rwanda tutafanikiwa?Ushasema nchi ndogo ya rwanda
Nikuulize weweKwahiyo Kwa akili Yako, tukiigawa Nchi vipande vidogo vidogo size ya ukubwa wa Rwanda tutafanikiwa?
Ndo naustua ubongo wako Ili ufikiri sawasawa.Nikuulize wewe
Mlete Kagame afanye hivyo, awe kiongozi. Ameshavya hivyo. Atafanya hivyo ndani ya mwaka.Salaam, Shalom!!
Nimewahi kuandika Thread isomekayo,
Ushauri: Chakula Bure mashuleni kirudishwe Ili kuboresha uelewa wa wanafunzi.
Katika mada hiyo, Nimeshauri Serikali kuhakikisha inaweka mfumo Nchi nzima utakaosaidia wanafunzi shule za msingi angalau wapate kikombe Cha uji wawapo mashuleni.
Ikiwa jambo hili dogo halijatekelezwa Hadi sasa,
Je itachukua miaka mingapi Serikali ya CCM kuweza kuhakikisha Shule za msingi zinaunganishwa na Nishati ya umeme au solar Kila Kijiji, Ili Kila mwanafunzi aweze kupata na kutumia LAPTOP?
Ikiwa Nchi ndogo ya Rwanda imeweza,
Tujue, katika Nchi yetu chini ya utawala wa CCM itatuchukua muda Gani kama nchi kufika huko?
Ikiwa viongozi waliopo hawana MAONO hayo, tuchukue hatua Gani wananchi?
Karibuni.🙏
Amen.
Ni Kweli,Kama nyumba za Waalimu na kununua vitabu wamegoma,itakuwa kompyuta?
Serikali ya CCM hii tunayoijua wote au Kuna nyingine mpya imeundwa!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Mlete wewe na uongozi wenu ulioshindwa kutimiza majukumu hayo madogo.Mlete Kagame afanye hivyo, awe kiongozi. Ameshavya hivyo. Atafanya hivyo ndani ya mwaka.
Pia, maji, umeme, SGR, Bwawa la umeme vito vingekamilika kwa wakati.
Tatizo la elimu ya nchi hii si kukosekana kwa hizo laptops kwa hao wanafunzi ila kukosekana kwa utashi wa serikali hasa katika kusimamia maslahi ya watekelezaji wa mitaala ambao ni walimu wetu.Walimu wanadai maslahi yao kibao kama vile malimbikizo ya mishahara hela za likizo na hela za masomo.Hilo suala la malimbikizo ya mishahara limelalamikiwa kwa miaka mingi licha ya kisingizio cha enzi za mwendazake kwamba tunahakiki limekoma.Kwenye issue ya madaraja kwa kweli mh Rais apewe maua yake amejitahidi mwalimu akipanda anabadilishiwa mshahara wake ndani ya miezi miwili wakati wa yule jamaa mwalimu alikuwa anaweza akakaa mpaka miezi 20 yuko na barua ya cheo kipya ila mshahara mpya holaa.Tatizo sugu kwa sasa ni hizo arrears za watumishi wetu walio katika mamlaka za serikali za mitaa i.e halmashauri ambako maveo manesi na walimu wetu wanalilia malimbikizo yao .Tatueni changamoto hizo wanafunzi wataanza kupata elimu boraIsingebadilisha chochote. Sanasana kuna treatment ambayo mtoto wa kiongozi ataipata tofauti na wengine. Hapa namna ni kuboresha mazingira yaliyo kuanzia walimu, walipwe mishahara ya kueleweka na hii fani iwekwe mbali na wanasiasa na siasa
Nia ya ya serikali ni kuboresha mazingira ya kujifunza na kufundishia, lakini pia kuhakikisha kila mwanafunzi ana nyenzo muhimu ya kujifunzia yaani Laptop.Salaam, Shalom!!
Nimewahi kuandika Thread isomekayo,
Ushauri: Chakula Bure mashuleni kirudishwe Ili kuboresha uelewa wa wanafunzi.
Katika mada hiyo, Nimeshauri Serikali kuhakikisha inaweka mfumo Nchi nzima utakaosaidia wanafunzi shule za msingi angalau wapate kikombe Cha uji wawapo mashuleni.
Ikiwa jambo hili dogo halijatekelezwa Hadi sasa,
Je itachukua miaka mingapi Serikali ya CCM kuweza kuhakikisha Shule za msingi zinaunganishwa na Nishati ya umeme au solar Kila Kijiji, Ili Kila mwanafunzi aweze kupata na kutumia LAPTOP?
Ikiwa Nchi ndogo ya Rwanda imeweza,
Tujue, katika Nchi yetu chini ya utawala wa CCM itatuchukua muda Gani kama nchi kufika huko?
Ikiwa viongozi waliopo hawana MAONO hayo, tuchukue hatua Gani wananchi?
Karibuni.🙏
Amen.
Nakiri, tatizo ni mfumo,Tatizo la elimu ya nchi hii si kukosekana kwa hizo laptops kwa hao wanafunzi ila kukosekana kwa utashi wa serikali hasa katika kusimamia maslahi ya watekelezaji wa mitaala ambao ni walimu wetu.Walimu wanadai maslahi yao kibao kama vile malimbikizo ya mishahara hela za likizo na hela za masomo.Hilo suala la malimbikizo ya mishahara limelalamikiwa kwa miaka mingi licha ya kisingizio cha enzi za mwendazake kwamba tunahakiki limekoma.Kwenye issue ya madaraja kwa kweli mh Rais apewe maua yake amejitahidi mwalimu akipanda anabadilishiwa mshahara wake ndani ya miezi miwili wakati wa yule jamaa mwalimu alikuwa anaweza akakaa mpaka miezi 20 yuko na barua ya cheo kipya ila mshahara mpya holaa.Tatizo sugu kwa sasa ni hizo arrears za watumishi wetu walio katika mamlaka za serikali za mitaa i.e halmashauri ambako maveo manesi na walimu wetu wanalilia malimbikizo yao .Tatueni changamoto hizo wanafunzi wataanza kupata elimu bora
Wewe! Watafilisi hawa wapenda cha juu, labda aitwe Magufuli asimamie.Salaam, Shalom!!
Nimewahi kuandika Thread isomekayo,
Ushauri: Chakula Bure mashuleni kirudishwe Ili kuboresha uelewa wa wanafunzi.
Katika mada hiyo, Nimeshauri Serikali kuhakikisha inaweka mfumo Nchi nzima utakaosaidia wanafunzi shule za msingi angalau wapate kikombe Cha uji wawapo mashuleni.
Ikiwa jambo hili dogo halijatekelezwa Hadi sasa,
Je itachukua miaka mingapi Serikali ya CCM kuweza kuhakikisha Shule za msingi zinaunganishwa na Nishati ya umeme au solar Kila Kijiji, Ili Kila mwanafunzi aweze kupata na kutumia LAPTOP?
Ikiwa Nchi ndogo ya Rwanda imeweza,
Tujue, katika Nchi yetu chini ya utawala wa CCM itatuchukua muda Gani kama nchi kufika huko?
Ikiwa viongozi waliopo hawana MAONO hayo, tuchukue hatua Gani wananchi?
Karibuni.🙏
Amen.
Una HAKIKA upatikanaji wa Fedha ndo kikwazo?Nia ya ya serikali ni kuboresha mazingira ya kujifunza na kufundishia, lakini pia kuhakikisha kila mwanafunzi ana nyenzo muhimu ya kujifunzia yaani Laptop.
Hata hivyo haya yote yatafanikiwa kulingana na upatikanaji wa fedha.
Asante
Fedha za v8, fine, laptops, Afya, Elimu, Maji n.k zote ni muhimu sana kwajili ya maendeleo ya nchi.Una HAKIKA upatikanaji wa Fedha ndo kikwazo?
Pesa za kulipa billion 75 fine, pesa za kununua mav8, pesa za makongamano, pesa za safari za nje za viongozi, pesa zinazoibwa Kwa billions zimepatika wapi ikiwa upatikanaji wa pesa ni kikwazo?
Ameongeza kuwa,hiyo nchi ndogo haina bandari,maziwa wala bahari ambavyo vyote vingekua vinaongeza mapato,kwenye nchi hiyo,ila sisi tuna kila kitu tajwa hapo juu,yaani nchi ni kubwa,idadi ya watu ni kubwa,walipa kodi ni wengi,tuna bandari,mito,maziwa hadi bahari ya Hindi,lakini eti tunazidiwa na Rwanda.Aisee eti tuliwahi kukopa tuchimbe vyoo vya huko mashuleni,aisee sembuse kununua laptops?Ushasema nchi ndogo ya rwanda
Wananchi tuendelee kujiunga mkono Serikali Hadi lini ilhali wanamaliza shule za msingi watoto wasiojua hata kuandika barua ya maombi ya KAZI?Fedha za v8, fine, laptops, Afya, Elimu, Maji n.k zote ni muhimu sana kwajili ya maendeleo ya nchi.
Serikali usiku na mchana inapambana kukusanya mapato ya kutosha ili kusudi kuwahudumia waTanzania wote mahali walipo.
Tuendelee kuwa wastahimilivu na kuiunga mkono serikali wakati ikiendelea kuchukua hatua mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutafuta na kuhakikisha masuala mengi muhimu yanatengewa fedha za kutosha na kutekelezwa ikiwa ni pamoja na hilo unalopendekeza wewe.
Asanti...
Asee shida ni kubwa,Ameongeza kuwa,hiyo nchi ndogo haina bandari,maziwa wala bahari ambavyo vyote vingekua vinaongeza mapato,kwenye nchi hiyo,ila sisi tuna kila kitu tajwa hapo juu,yaani nchi ni kubwa,idadi ya watu ni kubwa,walipa kodi ni wengi,tuna bandari,mito,maziwa hadi bahari ya Hindi,lakini eti tunazidiwa na Rwanda.Aisee eti tuliwahi kukopa tuchimbe vyoo vya huko mashuleni,aisee sembuse kununua laptops?
Mi naona kuna shida kwenye uongozi.
Pole,Wananchi tuendelee kujiunga mkono Serikali Hadi lini ilhali wanamaliza shule za msingi watoto wasiojua hata kuandika barua ya maombi ya KAZI?
Output hiyo, itajiajiri vipi kusaidia Serikali kupata Kodi ya kutosha kuhudumia wananchi,
Mimi nikifika hapo,
Naona tunaenda kuwa watumwa wa vinchi vidogo tulivyovisaidia kujitawala mfano randa nk nk.
Nyerere alikua na akiba ya pesa za kutosha alizoachiwa na wakoloniIkiwa Mwl Nyerere aliweza kuhakikisha tunapata chakula mashuleni,
Tulipasa Awamu ya SITA shule za kata wanafunzi wawe na laptop kama kitendea KAZI katika ujifunzaji!!
Madawati tu yamewashinda, laptop itakua ndotoSalaam, Shalom!!
Nimewahi kuandika Thread isomekayo,
Ushauri: Chakula Bure mashuleni kirudishwe Ili kuboresha uelewa wa wanafunzi.
Katika mada hiyo, Nimeshauri Serikali kuhakikisha inaweka mfumo Nchi nzima utakaosaidia wanafunzi shule za msingi angalau wapate kikombe Cha uji wawapo mashuleni.
Ikiwa jambo hili dogo halijatekelezwa Hadi sasa,
Je itachukua miaka mingapi Serikali ya CCM kuweza kuhakikisha Shule za msingi zinaunganishwa na Nishati ya umeme au solar Kila Kijiji, Ili Kila mwanafunzi aweze kupata na kutumia LAPTOP?
Ikiwa Nchi ndogo ya Rwanda imeweza,
Tujue, katika Nchi yetu chini ya utawala wa CCM itatuchukua muda Gani kama nchi kufika huko?
Ikiwa viongozi waliopo hawana MAONO hayo, tuchukue hatua Gani wananchi?
Karibuni.🙏
Amen.
Mimi sitaki mwanangu amalize st kayumba akakopeshwa bodaboda.Pole,
Ondoa fikra za kua mtumwa mahali popote duniani kutoka Tanzania. Hilo halitatokea CCM ikiwa Madarakani.
Serikali makini ipo kazini,
hivi sasa kilimo na masoko ya mazao ya kilimo vimeimarika mno, vijana wengi wasomi kwa wasio wasomi wanachangamkia fursa hiyo muhimu ya ajira, vipato vyao vimeongezeka, maisha yao ni mazuri na yanasonga mbele kwelikweli.
Serikali pia inafanya makubwa katika kila halmashauri kuwapesha vijana mabajaji, matrekta na fedha kwajili ya biashara n.k
vyote hivi vinafanyika kuwainua vijana kiuchumi na kubiresha maisha ya kila mtanzania.
Asant