- Thread starter
- #41
Fafanua hili Kwa undani tafadhali.🙏Nyerere alikua na akiba ya pesa za kutosha alizoachiwa na wakoloni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua hili Kwa undani tafadhali.🙏Nyerere alikua na akiba ya pesa za kutosha alizoachiwa na wakoloni
Thus alimudu kufanya hayo ikiwemo kupigana vita vya kagera na ukomboziFafanua hili Kwa undani tafadhali.🙏
Hizo laptop zitaishia kuwekewa nyimbo za sukari,kamatia chini, enjoy,hanii aaahha hanii,amelowa amelowa
Tuikatae Hali hii Kwa nguvu,Madawati tu yamewashinda, laptop itakua ndoto
Nani amesimamia maadili hapo Rwanda Ili hayo yasitokee?Nani atasimamia maadili ya hizo laptop ili zisijazwe pono,game, Simba na yanga, diamond na zuchu
Achana na propaganda za mtu mrefu uliona hao wanafunzi wote wamepewa laptopNani amesimamia maadili hapo Rwanda Ili hayo yasitokee?
Hilo linawezekana kabisa,Mimi sitaki mwanangu amalize st kayumba akakopeshwa bodaboda.
Nataka ELIMU ya Shule za kata nchini zitoe Elimu Bora kuliko Elimu inayotolewa Feza international.
Enzi za Nyerere ilikuwa hivyo.
Ikiwa viongozi waliopo hawalioni Hilo,
Wanaruhusu Kenya wameiga alichofanya Nyerere ,shule zao sasa za umma zinatoa Elimu Bora kuliko binafsi.
Nataka mwanangu aje awe waziri akitokea Saint Kayumba!!
Stuka usingizini.Achana na propaganda za mtu mrefu uliona hao wanafunzi wote wamepewa laptop
Wewe ni Waziri wa wizara ipi?Hilo linawezekana kabisa,
Mimi mwenyewe kabla sijawa waziri nimesoma shule ya kata tena iliyozinduliwa na hayati Benjamin W.Mkapa tar.13.7. mwaka wake wa kwanza muhula wa pili.
So July 13 adi Dec.tayari nilikua nimemaliza formu1 na January mwaka ulofata nikaingia form2.
Na nilipiga div.2 O-level japo niliumia sana kwasababu nilihisi niliderseve dv 1. Form six ndio nikapiga div.1 ya 6 nikajiunga chuo kikuu na sasa hivi ni waziri.
Kwahiyo ndoto ya kijana wako unaweza ukaichochea na ikatimia bila wasi.
Habari ya kumtoa mtoto bagamoyo anakwenda kufeli Mwanza achana nayo.
Shule za kata zilizo nyingi ni nzuri na zinafaulisha vizuri na viongozi wengi nchini tumetoka huko.
Jiamini, chukua hatua....
Twende na CCM twendeni na Mama Samia Suluhu Hassan Urais 2025 atatuvusha Salama.
Ndo nasema, uongozi ni vitendo Si maneno.Elimu inayotolewa ya ushindani katika soko la ajira kimataifa na ndani zipo shule binafsi tu, shule za serikali changamoto ni nyingi ukianzia walimu, mazingira ya kazi, wanafunzi vitendea kazi, na stahiki za walimu kwa kifupi shule hizi zimesahaulika
In short mfumo wote wa Elimu uwe overhauled.Waanze na walimu
sio ufagio tu,Wewe ni Waziri wa wizara ipi?
Mtoto wako anasoma shule ya kata?
Anabeba ufagio akiwa anaenda shuleni?