Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Naona unaongea tu bila kufikiri sawasawa. Kwani tatizo letu kubwa hulijui? Hizo laptop atazinunua nani? Zitatunzwa na nani? Kuna mtu anayejali kuhusu mali ya umma nchi hii? 👇👇👇Kwann tuzidiwe na Rwanda, Taifa dogo na ni waafrika wenzetu?
Rwanda hata bandari, ziwa au migodi ya Dhahabu hawana.
Tukienda hivi, watatutawala one day.
Kwani Rwanda na CCM Ina tofauti Gani?Mkuu uliyoyaandika ni mazuri ila kujifananisha na Rwanda inayopora mali za wakongo pamoja na kuwaua sio sawa. Ni aibu kubwa kujifananisha na watu wanaomwaga damu za waafrika wenzao. Au hujui Rwanda ilishawahi kumweka mnyarwanda mwenzao James Kabarebe kuwa mkuu wa majeshi ya DRC enzi za Kabila? Kabarebe alishawahi pia kuwa mkuu wa majeshi ya Rwanda. Tuikosoe serikali bila kujishusha thamani mbele ya watu wa hovyo.
Kwamba kujua kuwa njaa inachangia ufaulu hafifu wa wanafunzi darasani inahitaji takwimu!!Lete takwimu kuonyesha kuwa shida ya ufaulu wa wanafunzi shida ni mlo
Weka takwimu humu na source za hizo takwimu zako CCM tumejaa wenye akili nyingi tu
Weka takwimu kama failure ya wanafunzi kwa mawazo yako kuwa inasababishwa na mlo na kukosa laptop
Hata sijahitaji kusoma sana, Waandikie madaftari laptop atanunua Baba wakifika Chuo.Salaam, Shalom!!
Nimewahi kuandika Thread isomekayo,
Ushauri: Chakula Bure mashuleni kirudishwe Ili kuboresha uelewa wa wanafunzi.
Katika mada hiyo, Nimeshauri Serikali kuhakikisha inaweka mfumo Nchi nzima utakaosaidia wanafunzi shule za msingi angalau wapate kikombe Cha uji wawapo mashuleni.
Ikiwa jambo hili dogo halijatekelezwa Hadi sasa,
Je itachukua miaka mingapi Serikali ya CCM kuweza kuhakikisha Shule za msingi zinaunganishwa na Nishati ya umeme au solar Kila Kijiji, Ili Kila mwanafunzi aweze kupata na kutumia LAPTOP?
Ikiwa Nchi ndogo ya Rwanda imeweza,
Tujue, katika Nchi yetu chini ya utawala wa CCM itatuchukua muda Gani kama nchi kufika huko?
Ikiwa viongozi waliopo hawana MAONO hayo, tuchukue hatua Gani wananchi?
Karibuni.🙏
Amen.
Sawa,Hata sijahitaji kusoma sana, Waandikie madaftari laptop atanunua Baba wakifika Chuo.
Serkali ya CCM ina mambo mengi ya kufanya.
Wanakaa Hadi SITA dawati Moja,Kila mwanafunzi ana dawati kweli?! Naona tuanzie hapa kwanza!
Hapo point ni Masrahi ya walimu na miundo mbinu ya Shule, Mambo ya chakula na laptop ni uduanzi tu hatuna pesa za kuchezea wazazi watimize wajibu wao wa kusomesha.Sawa,
Wananchi tutachagua chama kitakachokuja na sera ya kuhakikisha chakula mashuleni kinarudishwa, walimu wanalipwa overtime, laptop wa watoto shule za msingi zinatumika, shule za kata zinaunganishwa Kwa Nishati ya dollar au umeme Nchi nzima.
Wao CCM wapuuze tu, vyama viko vingi😀
Unataka takwimu sio?Lete takwimu kuonyesha kuwa shida ya ufaulu wa wanafunzi shida ni mlo
Weka takwimu humu na source za hizo takwimu zako CCM tumejaa wenye akili nyingi tu
Weka takwimu kama failure ya wanafunzi kwa mawazo yako kuwa inasababishwa na mlo na kukosa laptop
We bloody ni mwongo sana ko ukisoma hujala hesabu haipandi? Inaelekea watoto wako ni vilaza sana yani inataka upewe kila kitu?Unataka takwimu sio?
Tutawapandisha watoto jukwaani tuwaulize ikiwa Huwa wanaelewa somo la HISABATI wakiwa hawajapata chochote tumboni.
Unasahau kuwa wazazi ndio walipa Kodi wanaonlipa mshahara mwalimu kupitia Kodi?Hap
Hapo point ni Masrahi ya walimu na miundo mbinu ya Shule, Mambo ya chakula na laptop ni uduanzi tu hatuna pesa za kuchezea wazazi watimize wajibu wao wa kusomesha.
Hawapewi Bure, ni Kodi zetu wazazi Nchi nzima tunalipia,We bloody ni mwongo sana ko ukisoma hujala hesabu haipandi? Inaelekea watoto wako ni vilaza sana yani inataka upewe kila kitu?
KAZI ya ubongo ni kuchakata mipango,Madarasa na vyoo ni mtihani,Leo unawaza computer!
Mbona wewe huna gari Kwa Mfano, lakini likipita vogue, unajisemea moyoni, one day nitanunua nami vogue!!Madarasa na vyoo ni mtihani,Leo unawaza computer!
Tuunge mkono jitihadi za serikali muelekeo ni mzuri tutafika tu, tunapoenda na ni pazuri kuliko tulipotoka, kweli nahisii serikali pia itazame mitaala ya ufundishaji shule za kata lugha wapo nyuma sana ukilinganisha na shule za English medium wakazanie lugha hii ya kibiashara maana ndiyo imekua ikitumika popote duniani kasoro sehemu chache kiswahili bado kina soko nje ila bila kuweka nguvu kwenye lugha ya Kiingereza tubapoteza dira kimataifa pia itusaidie kiushindani kidunianashukuru nawe unakiri kwamba shule hizi za kata zinaweza kuinua sekta hii ya Elimu.
Rejea matokeo ya darasa la saba, form 4 na 6, miaka miwili hii ya sasa na miaka miwili ya nyuma zaidi utangundua ubora na kiwango cha Elimu nchini unavyo kua na kuimarika kwa kasi nchini.
Hivi sasa kila kata ina shule yake,
Serikali inafanya kazi kubwa kuhakikisha shule zote zinakua na walimu wa kutosha, maabara zilizokamilika, viwanja vya michezo, mabweni, chakula n.k
Yote haya yanahitaji fedha nyingi, muda, mipango, na ustahimilivu.
Na serikali inafanya kila liwezekanalo yote kwa pamoja yafanyike.
Yote ni mema ,Tuunge mkono jitihadi za serikali muelekeo ni mzuri tutafika tu, tunapoenda na ni pazuri kuliko tulipotoka, kweli nahisii serikali pia itazame mitaala ya ufundishaji shule za kata lugha wapo nyuma sana ukilinganisha na shule za English medium wakazanie lugha hii ya kibiashara maana ndiyo imekua ikitumika popote duniani kasoro sehemu chache kiswahili bado kina soko nje ila bila kuweka nguvu kwenye lugha ya Kiingereza tubapoteza dira kimataifa pia itusaidie kiushindani kidunia
Pia maboresho ya kimazingira madarasa, maabara ofisi za walimu vyoo nk kuweka learning environment conducive,pia madaraja wapandishwe walimu wenye vigezo kwa wakati, maboresho ya mishahara, vitendea kazi viwe advanced technology imebadilika pia tusione vishikwambi pekee vitatosha.
Walimu wajengewe uwezo wa kimkakati ya kuwawezesha elimu, seminar, mikopo,
Nchi kama Finland [emoji1103] ndiyo nchi pekee kada ya walimu inalipa vizuri kushinda kada zote hata madaktari hawaoni ndani so ni mipango wachukue maoni wayafanyie kazi tuwe na jamii iliyoelimika wabunifu na taifa lenye maendeleo
Maofisini tu hazipo ndio apewe kila mwanafunzi!!?? Nchi ya hovyo sana ..... Nchi Zima inatumia mifumo lakini ofinisini hakuna internet hakuna laptops Wala desktops ....ndio ziende Kwa wanafunzi....Salaam, Shalom!!
Nimewahi kuandika Thread isomekayo,
Ushauri: Chakula Bure mashuleni kirudishwe Ili kuboresha uelewa wa wanafunzi.
Katika mada hiyo, Nimeshauri Serikali kuhakikisha inaweka mfumo Nchi nzima utakaosaidia wanafunzi shule za msingi angalau wapate kikombe Cha uji wawapo mashuleni.
Ikiwa jambo hili dogo halijatekelezwa Hadi sasa,
Je itachukua miaka mingapi Serikali ya CCM kuweza kuhakikisha Shule za msingi zinaunganishwa na Nishati ya umeme au solar Kila Kijiji, Ili Kila mwanafunzi aweze kupata na kutumia LAPTOP?
Ikiwa Nchi ndogo ya Rwanda imeweza,
Tujue, katika Nchi yetu chini ya utawala wa CCM itatuchukua muda Gani kama nchi kufika huko?
Ikiwa viongozi waliopo hawana MAONO hayo, tuchukue hatua Gani wananchi?
Karibuni.🙏
Amen.
Fedha Schools ni sawa na Mugabe Sm ya shekilango !!?Hata Mwigulu, Biteko, Nape, na vijana wengine?