kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Mdude ni zungu la unga lazima apewe ulinzi mkali.Anaefungwa pingu ni mdude peke yake sababu wanajua wao wengine hakuna pingu....sababu sio hatari kwa wanaomlinda....period
Sasa Sabaya ni jambaziMdude ni zungu la unga lazima apewe ulinzi mkali.
Kumbe una miungu yako? Sawa mkuu!Mkuu usiangaike Sana mungu yupo, binafsi Sabaya nilisha mkabidhi mikononi bwana, awe gerezani au nje atashughulika nae mpaka kiama, na ilishakua ,iwe wazi tu malipo atayalipa Hapa duniani iwe mvua au jua ,mungu wangu yupo up to date sana
Jambazi hawezi kuwa mheshimiwa. Kwa sasa hana uheshimiwa. Ambaye yupo mahabusu ni jambazi Sabaya. Ukuu wa wilaya, haufungwi wala kuwekwa mahabusu.Fanyakazi acha kuhangaika na Mh. Sabaya!
Wewe wasema kwangu bado ni Mheshimiwa tu.Jambazi hawezi kuwa mheshimiwa. Kwa sasa hana uheshimiwa. Ambaye yupo mahabusu ni jambazi Sabaya. Ukuu wa wilaya, haufungwi wala kuwekwa mahabusu.
He has been given already!The goon, extortionist, rapist and burglar Sabaya should not be given special treatment.
Push gang at work!Wewe wasema kwangu bado ni Mheshimiwa tu.
Sexless at work.Push gang at work!
Kama hivyo ni vyema ukampelekea huyo aliyepoteza matumaini ya kutoka gerezani kabisa,huyo unaye mpakazia alikuwa na uhakika wa kutoka gerezani kwani kesi zake zilikuwa za kubambikiwa na za kisiasa,Ila sii huyo ambae anajua kesi zake ziko live kabisa.Mbowe alipelekewa mpaka bange apunguze arosto.